Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
cheka sana, ongea sana, kejeli sana ILA OMBA YASIKUKUTEMkuu Chuma Ulete ni Uongo Mwingi,
Hakuna kitu kama hicho
Weka na weweNasikia ukiweka kipisi cha mkaa kwenye droo ya hela chumaulete haitakuwepo
Mkuu mbona povuWeka na wewe
Mzee shemahonge uwezo wa kupambanua mambo umeishia hapo?Dah! Kwa hiyo unawashauri wafanyabiashara wote kuhamia mwenye biashara ya mkaa ili wasipigwe na hao chuma ulete siyo!!
Ukweli wa wazi hakuna chuma ulete katika uhalisia, ni ni ile namna ya mwanadamu kutafuta njia rahisi ya kutatua changamoto zake anapo shindwa hutafuta pa kusingizia .Hivi Chuma ulete inafanya kazi nchi masikini tu au na kwenye $ na ยฃ na yen zinapigwa kwa mbinu hizi hizi?
Naombeni mbinu sasa ili na mimi niwe naingia nazo kwa wazungu
Au ni kwa muuza vitumbua tu kahawa ndio wanaibiwa na mama ntilie?
Mkuu hata mimi huu ujinga huwa siamini kabisaUkweli wa wazi hakuna chuma ulete katika uhalisia, ni ni ile namna ya mwanadamu kutafuta njia rahisi ya kutatua changamoto zake anapo shindwa hutafuta pa kusingizia .
Sijawahi ona fahari na faida yoyote katika umaskini.
Hata nikiomba hayawezi kunikuta kwasababu ni kitu ambacho akipo .cheka sana, ongea sana, kejeli sana ILA OMBA YASIKUKUTE
Kweliii humu ndani kuna majoblesss kibao mtu mweny biashara hawez kuongea hivi na kama akiongea jua bado hayajamkutaHata nikiomba hayawezi kunikuta kwasababu ni kitu ambacho akipo .
We ni fala si eti?Mkuu Chuma Ulete ni Uongo Mwingi,
Hakuna kitu kama hicho
Maisha yamekuchapa ? au una stress za maisha ?We ni fala si eti?
Ukishakuwa low minded dude huwezi kuacha kuamini uchawi kwenye kufanikiwa.Kweliii humu ndani kuna majoblesss kibao mtu mweny biashara hawez kuongea hivi na kama akiongea jua bado hayajamkuta
๐ฎMaisha yamekuchapa ? au una stress za maisha ?
Mara nyingi wao huwa ndo machuma ulete yenyeweKweliii humu ndani kuna majoblesss kibao mtu mweny biashara hawez kuongea hivi na kama akiongea jua bado hayajamkuta