Hakuna mwana JF asiekosa kuwa na ndugu singomaza kama wawili au watatu hivi, hili lishakuwa janga ambalo both mwanaume na mwanamke wanacheza 50/50

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Nyakati ngumu huunda watu wenye nguvu, watu wenye nguvu huunda nyakati nzuri, nyakati nzuri huunda watu dhaifu, na watu dhaifu huunda nyakati ngumu."
by G. Michael Hopf.

Its simple mabibi na mabwana, Wadada wengi wamekuwa VIBURI MTU na TAMAA KAMA ZOTE huku vijana wa kiume wengi wamekuwa "DHAIFU na MOTIVES ZA KIPORNO PORNO KAMA ZOTE"

Sasa either way, mmoja anaweza kuwa stable angalau then mwingine akawa na majanga kama hayo, au wote wakakukatana wa namna hio.

To conclude, tujitahidi tusiwanyime hawa viumbe wadogo malezi bora ya pande mbili kama tuliyopata sisi.
 
Vyanzo Vya Single Mather
1. kuchagua sana watu Wenye Fedha( Wanawake)
2.Kukosekana kwa Upendo wa Dhati
3. kuvunjika kwa maadili, unaoa mke anasema aridhishwi wakati amefanya mapenzi na wanaume zaidi na wanaojaza uwanja Taifa.
4.Wanawake wajuaji sana
5. Mwanamke wa Digital amemgeuza mwanaume kua Sehemu ya kipato, Mapenzi au Ndoa kwa mwanamke amegeuza kua ndio source of income.
 
Vyanzo Vya Single Mather
1. kuchagua sana watu Wenye Fedha( Wanawake)
2.Kukosekana kwa Upendo wa Dhati
3. kuvunjika kwa maadili, unaoa mke anasema aridhishwi wakati amefanya mapenzi na wanaume zaidi na wanaojaza uwanja Taifa.
4.Wanawake wajuaji sanam
Ili tendo la ndoa lifanyike ni lazima mwanaume awe active ... Kutokana na hilo mwanaume ndiyo chanzo wa single mothers na likely zinaa.

Kama unabisha fanya tafiti ,mwanaume anatka kulala na kila mwanamke anayemuona...Sisi wanaume ukidhibiti tamaa za ngono basi umejipunguzia matatizo.

Kuna dogo hapa kitaa miaka 17 kampa mtu mimba , mtoto mwenzie anawezkana yuko chini ya miaka 17 ila hawezi kuzidi 18 ...Bado dogo hajielewi ni mdogo hata ndoa hatoiweza maana anasoma bado.
 
Kwani kulala na kila mwanamke ndio kubebea mimba?
Mwanamke ndiye anajua na ni jukumu lake kukwepa kubeba.
 
CHANZO KIKUU CHA USINGO MAZA NI UMALAYAAAAA......PERIOD!!!


📌📌📌KATAA SINGO MAZA,KATAA NDOA UEPUKE LAANA!!!
 
Kwani kulala na kila mwanamke ndio kubebea mimba?
Mwanamke ndiye anajua na ni jukumu lake kukwepa ua kubeba.
''Ili sigara iwake lazima upige pafu, we baba usimtume mtoto ataugua mapafu''

Sex katika siku hatari kuna asilimia kubwa ya kupata mimba hata uvute vip, hao vichaa wanapewa mimba na nan?
 
Kama ilivyo kwa mashoga,
Chanzo cha masingo maza ni matokeo ya harakati za feminism.
kwamba mwanamke anaweza, anaweza kufanya kazi, anaweza kulea mwenyewe, anaweza hiki, anaweza kile.
Ukija kwenye uhalisia, BABA NDIYE MWANYE KUJENGA UTU WA NDANI WA MTOTO.
  • Kemeo la baba ni tiba kwa watoto!
  • kemeo la baba ni sawa na fimbo kwa mama!
Kinyume na hapo, ni kuwepo kwa Kizazi cha watoto walio changanyikiwa kwa sbb ya kukosa malezi ya baba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…