Fundi manyumba
JF-Expert Member
- Nov 25, 2018
- 3,799
- 8,063
Daaah yaani dactar wewe unataka watu tusifaidi tuu nakusoma toka mwanzo ujueMungu fundi. Kwenye utamu akaweka magonjwa. Jichanganye kwa utamu wa sekunde kadhaa, utakugharimu maisha yako yote.
Rhythm ni muhimu sana kuijua. Kuna wanawake kufika orgasm wanakata moto. Sasa angalia kesi ya mauaji ya kutokukusudia ikakunasa.
Bahati mbaya sana awe mchepuko, ee Mola epushia mbali.
Sijasema msifaidi. Faidini kwa tahadhari.Daaah yaani dactar wewe unataka watu tusifaidi tuu nakusoma toka mwanzo ujue
Nipo na daftari langu nachukua summary endelea kutema madini🤸Mungu fundi. Kwenye utamu akaweka magonjwa. Jichanganye kwa utamu wa sekunde kadhaa, utakugharimu maisha yako yote.
Rhythm ni muhimu sana kuijua. Kuna wanawake kufika orgasm wanakata moto. Sasa angalia kesi ya mauaji ya kutokukusudia ikakunasa.
Bahati mbaya sana awe mchepuko, ee Mola epushia mbali.
Hapana mkuu wee nahisi utaki vijana tufurahie haka kamchezo..Sijasema msifaidi. Faidini kwa tahadhari.
Chaguo ni lako, peleka moto Mkuu.
Hakuna madini hapa. Wewe pelekewa moto.Nipo na daftari langu nachukua summary endelea kutema madini🤸
Nakuja tuongee ile ishu yangu ya surgeryHakuna madini hapa. Wewe pelekewa moto.
Easy for u to say...wee hujui tuu jinsi inavyotuuma upo una pump mwenyewe demu kakolea wee nae ndiunaenjoy...unashangaa wadhungu haoooo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] muhimu unakojoa na kusikia utamu, hayo mengine yasikuumize kichwaa mzab, woiiiiih
Ile ya viona aibu? Aya, kuja 😁.Nakuja tuongee ile ishu yangu ya surgery
Hiyohiyo! Nakuja chap🤸Ile ya viona aibu? Aya, kuja 😁.
Karibu. Waiting!.Hiyohiyo! Nakuja chap🤸
Ukienda kuyatumia hayo madini utakata motoNipo na daftari langu nachukua summary endelea kutema madini🤸
Kama hapendi atasema we peleka moto nginjanginjaHard sex mpende. Ila tafadhali jueni status za wenza wenu.
Hard sex zina nafasi kubwa sana ya kusababisha michubuko. Nafasi ya kuambukizwa inaongezeka.
Lakini pia, nguvu kubwa isitumike. Siyo unampiga mwenzako ngeta kama kibaka wa Ngarenaro.
Sikilizia rhythm ya pumzi ya mwenzako. Ujue tofauti ya kilio cha maumivu na kilio cha raha. Usitombe ka unaua.
Muhimu kujua, si kila mwanamke anapenda aina hiyo. So, ambianeni ili isiwe kero.
kibonge na hardsex wapi nawapi?watakuua acha kuigaigaNipo na daftari langu nachukua summary endelea kutema madini🤸
Ukiniita kibonge nasikia rahaaa..!🤸kibonge na hardsex wapi nawapi?watakuua acha kuigaiga
basi kilasiku nitakuitahivyo sawa kibonge?Ukiniita kibonge nasikia rahaaa..!🤸
Usihofu kuna maisha zaidi ya kugegeda.Dah wenye vibamia na ambaonhatujui kuhegeda tunasemwa sana jmani. Mtupumzishe basi
WoteHiii inaapply kwa wanene au wembamba?