Kingmairo
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 4,936
- 3,542
achana na upande wa tatu,naomba uniambie maana ya kukufuru ili tuendelee
Naona una ustaarabu lakini uliamua kujitoa kwa makusudi. Unapobeza watoto wa wenzako wanao soma shule za kata na zinginezo zilizo na inferior standards kisa tu mwenyezi Mungu kakujalia uwezo (at least kwa sasa) huko ni kukufuru baraka alizokupatia mwenyezi Mungu. Na hapa ndipo msingi wa hoja yangu ulipolala, kwamba hata ambao hawajapewa uwezo sio wote wamelala. Wapo wengi tu ni wapiganaji lakini they are unfortunate. Kwanini they are unfortunates? God knows!