Hakuna mwanaume aliyeweza kumshinda mwanamke katika argument kwa sababu siku nzima alikuwa anahifadhi energy kwa jili yako hata kama alikuwa busy 12hr

Hakuna mwanaume aliyeweza kumshinda mwanamke katika argument kwa sababu siku nzima alikuwa anahifadhi energy kwa jili yako hata kama alikuwa busy 12hr

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Wanawake ni supernatural😂😂

Unakuta anapika, huku ananyonyesha mtoto hapo hapo kichwani anakuundia risala kama zile hotuba za hitler😂...

Wanawake hubishana kulingana na hisia. Wanaume hubishana kwa kuzingatia mantiki.

Usiingie kwenye mtego wa kugombana na mwanamke yani utapoteza hata kabla hujaanza.

Ukimshinda yeye anahuzunika kwa bahati mbaya umeshindwa tayari. Ukishindwa wewe, umeshindwa na haimuhusu kushindwa kwako.

Hakuna faida ya kubishana naye.

Sikiliza, lakini usibishane

Lakini all in all women ni very special
 
Wanawake ni supernatural😂😂

Unakuta anapika, huku ananyonyesha mtoto hapo hapo kichwani anakuundia risala kama zile hotuba za hitler😂...

Wanawake hubishana kulingana na hisia. Wanaume hubishana kwa kuzingatia mantiki.

Usiingie kwenye mtego wa kugombana na mwanamke yani utapoteza hata kabla hujaanza.

Ukimshinda yeye anahuzunika kwa bahati mbaya umeshindwa tayari. Ukishindwa wewe, umeshindwa na haimuhusu kushindwa kwako.

Hakuna faida ya kubishana naye.

Sikiliza, lakini usibishane

Lakini all in all women ni very special
Njia bora ya kumuweza mwanamke ni kuweka misimamo ambayo hauhitaji kuielezea kwake.

Mume wangu mbonaaaa umefanya hivi na hivi,wewe mjibu kwamba huo ndio utaratibu wangu wa maisha tokea zamani hata kabla hatujakutana,love me the way I am
 
Fear us🤣
Pale unapoingia ndani tu,

MKE WAKO:

20250204_080036.jpg
 
Wanawake ni supernatural😂😂

Unakuta anapika, huku ananyonyesha mtoto hapo hapo kichwani anakuundia risala kama zile hotuba za hitler😂...

Wanawake hubishana kulingana na hisia. Wanaume hubishana kwa kuzingatia mantiki.

Usiingie kwenye mtego wa kugombana na mwanamke yani utapoteza hata kabla hujaanza.

Ukimshinda yeye anahuzunika kwa bahati mbaya umeshindwa tayari. Ukishindwa wewe, umeshindwa na haimuhusu kushindwa kwako.

Hakuna faida ya kubishana naye.

Sikiliza, lakini usibishane

Lakini all in all women ni very special
Kupayuka shit ndio argument?
 
ivo viumbe chenga sana, mi huwa natulia vinajiongelesha vyenyewe vikimaliza najibu sawa then naamisha mada au navigeuzia kibao
 
Njia bora ya kumuweza mwanamke ni kuweka misimamo ambayo hauhitaji kuielezea kwake.

Mume wangu mbonaaaa umefanya hivi na hivi,wewe mjibu kwamba huo ndio utaratibu wangu wa maisha tokea zamani hata kabla hatujakutana,love me the way I am
Hizi ndizo kauli za kina Benito Mussolini, alhaj iddi amini dada, na aldolf Hitler bila kumsahau mnzilankende hayati JPM
 
Wanawake ni supernatural😂😂

Unakuta anapika, huku ananyonyesha mtoto hapo hapo kichwani anakuundia risala kama zile hotuba za hitler😂...

Wanawake hubishana kulingana na hisia. Wanaume hubishana kwa kuzingatia mantiki.

Usiingie kwenye mtego wa kugombana na mwanamke yani utapoteza hata kabla hujaanza.

Ukimshinda yeye anahuzunika kwa bahati mbaya umeshindwa tayari. Ukishindwa wewe, umeshindwa na haimuhusu kushindwa kwako.

Hakuna faida ya kubishana naye.

Sikiliza, lakini usibishane

Lakini all in all women ni very special
Women ni very special 🥰
 
Back
Top Bottom