Njia bora ya kumuweza mwanamke ni kuweka misimamo ambayo hauhitaji kuielezea kwake.Wanawake ni supernatural😂😂
Unakuta anapika, huku ananyonyesha mtoto hapo hapo kichwani anakuundia risala kama zile hotuba za hitler😂...
Wanawake hubishana kulingana na hisia. Wanaume hubishana kwa kuzingatia mantiki.
Usiingie kwenye mtego wa kugombana na mwanamke yani utapoteza hata kabla hujaanza.
Ukimshinda yeye anahuzunika kwa bahati mbaya umeshindwa tayari. Ukishindwa wewe, umeshindwa na haimuhusu kushindwa kwako.
Hakuna faida ya kubishana naye.
Sikiliza, lakini usibishane
Lakini all in all women ni very special
Kupayuka shit ndio argument?Wanawake ni supernatural😂😂
Unakuta anapika, huku ananyonyesha mtoto hapo hapo kichwani anakuundia risala kama zile hotuba za hitler😂...
Wanawake hubishana kulingana na hisia. Wanaume hubishana kwa kuzingatia mantiki.
Usiingie kwenye mtego wa kugombana na mwanamke yani utapoteza hata kabla hujaanza.
Ukimshinda yeye anahuzunika kwa bahati mbaya umeshindwa tayari. Ukishindwa wewe, umeshindwa na haimuhusu kushindwa kwako.
Hakuna faida ya kubishana naye.
Sikiliza, lakini usibishane
Lakini all in all women ni very special
Hizi ndizo kauli za kina Benito Mussolini, alhaj iddi amini dada, na aldolf Hitler bila kumsahau mnzilankende hayati JPMNjia bora ya kumuweza mwanamke ni kuweka misimamo ambayo hauhitaji kuielezea kwake.
Mume wangu mbonaaaa umefanya hivi na hivi,wewe mjibu kwamba huo ndio utaratibu wangu wa maisha tokea zamani hata kabla hatujakutana,love me the way I am
Si shida zangu ni mwendo wa radio kufanya kazi[emoji3][emoji3][emoji3] kama ulipanga siku iwe poa kwako sahau siku iyo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama muda huu nakuona risala imefika 75%
Women ni very special 🥰Wanawake ni supernatural😂😂
Unakuta anapika, huku ananyonyesha mtoto hapo hapo kichwani anakuundia risala kama zile hotuba za hitler😂...
Wanawake hubishana kulingana na hisia. Wanaume hubishana kwa kuzingatia mantiki.
Usiingie kwenye mtego wa kugombana na mwanamke yani utapoteza hata kabla hujaanza.
Ukimshinda yeye anahuzunika kwa bahati mbaya umeshindwa tayari. Ukishindwa wewe, umeshindwa na haimuhusu kushindwa kwako.
Hakuna faida ya kubishana naye.
Sikiliza, lakini usibishane
Lakini all in all women ni very special