Nimesikia watu wakisema kwamba eti Dr Mpango ni mzalendo lakini cha ajabu yeye mwenyewe anasema tatizo ni umri sio ufisadi.
Yeye mwenyewe hajawahi kukemea lolote kwa miaka yake . Hajawahi kupigania katiba wala uwazi.
Sasa uzalendo wake uko wapi?. Kama yeye ni mzalendo basi ni uzalendo bubu na tuache propaganda za kijinga na kutunga
Yeye mwenyewe hajawahi kukemea lolote kwa miaka yake . Hajawahi kupigania katiba wala uwazi.
Sasa uzalendo wake uko wapi?. Kama yeye ni mzalendo basi ni uzalendo bubu na tuache propaganda za kijinga na kutunga