technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 12,706
- 52,355
Vieri hatakuja atokee namba 6 kama ile dunianiLabda Scholes wa huko kwenu Manzese ndio aliwahi kucheza namba 6 ( kiungo wa kukaba ).
We umekataa kwa kusema kama xabi ni 6 nzur mbona timu ya taifa alichezeshwa mido ya juu, busquet akacheza nafas yake c ndio, mie ndio nmekujib inategemeana na coach anahitaji nin kwenye game kupangwa position hyo haimaanishi kwamba xabi si namba 6 mzur, ndio maana nkakwambia mbona fabregas alicheza 9 je torres si namba 9 nzur, ama fabregas ni 9 nzur kumzid torres!!??Tunamuongelea natural mamba 6 ambaye yupo static kwenye namba yake hayo ya fabregas hayaa saiidii kwenye huu Uzi
Ngoja nikuulize basi point yako ni ipi katika hayo maelezo yako?
Sijaikataa hyo role nnachotaka kumuonesha coach anapompanga mtu sehem ni jinsi anavyohtaji game plan yake iwe, unaweza ukashangaa alonso akacheza nne ujue kuna kitu coach anatafuta..Kuna role inaitwa false 9 ndio alipewa fabregas kwenye hiyo mechi
Sent using Jamii Forums mobile app
Je km kaona uwezo wa alonso kwenye 6 na 8 ni sawa halaf busquet anaiweza 6 tu 8 hawez ulitegemea afosi alonso kucheza 6 na busquet 8 ambayo haiwez!!??Sasa kama kocha anawajua wote anamuacha huyu sita na huyo anampanga namba nyingne si ni uthibitisho tosha kua Segio ni zaidi ya Alonzo kwenye namba sita?
Yale ni mapafu ya mbwa..Vieri hatakuja atokee namba 6 kama ile duniani
Sasa kama kocha anawajua wote anamuacha huyu sita na huyo anampanga namba nyingne si ni uthibitisho tosha kua Segio ni zaidi ya Alonzo kwenye namba sita?
Mnaweza kutaja fomation aliyokuwa anatumia vicente, niwaelekeze kituu..Mbona Spain word cup 2014 alichezeshwa pengine ili kumpisha Sergio dimbani
Kwann isimaanishe ni bora wakati kamsogeza mtu mbeleWe umekataa kwa kusema kama xabi ni 6 nzur mbona timu ya taifa alichezeshwa mido ya juu, busquet akacheza nafas yake c ndio, mie ndio nmekujib inategemeana na coach anahitaji nin kwenye game kupangwa position hyo haimaanishi kwamba xabi si namba 6 mzur, ndio maana nkakwambia mbona fabregas alicheza 9 je torres si namba 9 nzur, ama fabregas ni 9 nzur kumzid torres!!??
Kumpanga alonso namba 8 busquet 6 ujue kuna kitu alikuwa anakitaka, au alonso anapiga namba 8 vzru kuliko ambavyo busquet anacheza so akaona alonso akae hapo ila haimaanishi kuwa busquet ni bora zaid ya alonso
Sio kitu coach anatafuta jua kwenye namba yake kuna mtu bora na sahihiSijaikataa hyo role nnachotaka kumuonesha coach anapompanga mtu sehem ni jinsi anavyohtaji game plan yake iwe, unaweza ukashangaa alonso akacheza nne ujue kuna kitu coach anatafuta..
Pirlo hajawah kucheza sita acha uongo kumbe mpira hujui brohMnaweza kutaja fomation aliyokuwa anatumia vicente, niwaelekeze kituu..
Unajua km timu inaweza kucheza pia na cdm wawili kwa wakati mmoja.. alonso alikuwa anafanya kazi mbili kwa wakat mmoja kukaba na kushambulia, alikuwa anapunguza kasi ya maadui, wakat pia anashambulia, kimsingi alonso alikuwa mkabaji sababu juu yake alikuwepo xav na iniest.. hawa ndio walikuwa waunda mashambuliz na msingi wa mashambuliz ga timu nzima.. ufaransa waishawah kucheza na makelele na viera hawa kimsing wote ni 6 ila viera alikuwa anapiga kazi mbili kwa wakat mmoja kukaba na kushambulia kidogo sababu juu yao alikuwepo zidane anaratibu mipango miji yoote.. ac milan waishamtumia gatusso na pirlo at the same time ancelloti alikuwa anawapanga ana maana yake cz juu anawatumia kaka na seedorf kuratibu mipango ya mashambulizi.
Unasemaje ww.. ushawahi kutizama mpira vizur, sio kosa lako..Pirlo hajawah kucheza sita acha uongo kumbe mpira hujui broh
Pirlo hajawah kucheza sita acha uongo kumbe mpira hujui broh
Sio kitu coach anatafuta jua kwenye namba yake kuna mtu bora na sahihi
Niishie hapa nmeujua uwezo wako kwenye masula ya soka.. kwaher[emoji125] [emoji125]Kwann isimaanishe ni bora wakati kamsogeza mtu mbele
Timu zote alizocheza kumekuwa na wakabaji Wa maana kuanzia Ac Milan had juveUnasemaje ww.. ushawahi kutizama mpira vizur, sio kosa lako..
Hoja zimesha ndyo maana unasema pirlo 6 Cjui Gatuso,Vidal,Marchisio walikuwa wanacheza ngap?Niishie hapa nmeujua uwezo wako kwenye masula ya soka.. kwaher[emoji125] [emoji125]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] ndio maama nikasema uwezo wako wa soka dhaifu, kwa taarifa yako mara kadhaa pirlo kacheza chin, inategemea kocha anahitaji nin, game plan yake ni ipi, euro 2012 spain wanachukua lile kombe pirlo alikuwa anacheza deep, nakumbuka ile fainali baada ya kuzidiwa kati kocha wa italy cesare prendelli akamtoa ricardo montolivo aliyekuwa anapiga attack midfilder akamuingiza thiago motta ili akapige 6 then pirlo aende juu, bahat mbaya thiago motta akaumia msuli n km we umecheza kweli mpira lazima unue msuli hauna tiba pale uwanjan ukikushika ww ndio basi, ikapelekea wachez pungufu sababu ilikuwa sub ya mwisho, wakapigwa 2 za nyongeza game imeisha wamekula 4.. formation walipiga 4-1-3-2.. na mjomba pirlo akapiga as a DM saaa sijui unabishia nin tena hao marchisio wako walikuwepo, tena nini marchisio kuna mjomba mtoto wa roma born here here de rossi tena huyu mkabaji kuliko huyo marchisio wako nae alikuwepo lakin Dm ikawa ya mjomba pirlo, juu hake kuna marchisio, de rossi na montolivo, striker akipiga cassano na balotteli..Hoja zimesha ndyo maana unasema pirlo 6 Cjui Gatuso,Vidal,Marchisio walikuwa wanacheza ngap?
Sawa sheikh yahayaAisee hakuna ambae atakuja kutokea kuwa kama mm Sergio busquets katika tasnia ya soccer
Thiago Motta wa PSG na miaka yake 35 lakini bado anatesa vilivyo eneo la kiungo cha chini.Katika viungo wa kati ninao wakubali Sergio Busquets ni namba moja, akifuatiwa na mtu anaitwa Thiago Motta halafu Granit Xhaka
Marco sena aliacha kuitwa ili nan? AchezeNyongeza ndogo.. na sijuj kama ulibahatisha kumtizama marco senna