makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
Plus huyu kiumbe casemiro... huyu namuelewa kidogo kidogo ila jamaa ni hatar.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ni heshima wanazopeana tuu, ulitaka ferguson amponde sergio on media ni ngumu..Tatzo nyie mnaongea kishabik fergerson yeye mwenyewe alishakili kwamba hajawah ona kiungo mkabaji mwenye skills kma sergio
Hakai bench kwa kuwa hawez lahasha, didier deschamps amekosa njia sahihi ya kuwatumia pogba,matuid na kante kwa pamoja.. wakicheza hawa wanapoteana kabisa kama ushawahi kuzichunguza game zao vzur hata hii euro iliyofanyika kwao.. game alizocheza kante walipoteanaKante ni kiungo mzuri lakn anakosa ubunifu ndyo maana sometimes France national team anakaa bench
Na hao ndio walimpa jeuri, toka wasepe timu imekufilia mbali..Tuko mwaka 2017 wewe unazungumzia story za 2010,Umeona kiwango cha Busquet baada ya Xavi na Alonso kustaaafu timu ya Taifa ?
Yule panya anaehangaishwa na xhakaDuniani kwa sasa no.6 ipo chelsea the blues peke yake
Wengine wasubir sanaaaa!
sent from TanDaLe
Hapo alipofika mchango wa sergio ni 70 percent
Alonso alikuwa anasogezwa 8 ili busquets acheze 6 kwasababu anaimudu kuliko alonso sasa hao wengne uliowataja ni kichefu chefuSipingani nawe sababu kila mtu na jicho lake kweli busquets ni bonge la mido ya chin ila naamin xabi alonso ni bora zaid ya mtoto huyo wa catalan... same to michael carrick kwenye ubora wake, kuna mtu pia wakuitwa ander herrera huyu ni hatar.. watizame kwa jicho la 3 hao utagundua kitu fulani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ulivyoandika hivi nikaprove kwamba uwezo wako wa kufikir ni mdgo hao watu wamekutana mara ngap hebu tupe statisticsSergio anafaa sana kwenye timu inayo hold mpira lakin c kushambuliwa utamkimbia huyu jamaa, kilichompa jeur barca ni uwepo wa xavi na iniesta kipindi kile... ila sidhan km anasogea hata kwa yule carrick kwenye ubora wake..
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann unasema mchango wa sergio ni 70%Hapo alipofika mchango wa sergio ni 70 percent
Thiago ametokea wap na wakati yupo mdgo kina sergio ndyo wamempa inspiration
Hapo ndipo unapofeli kucheza 6 haimaanishi km anaimudu kuliko alonso bali inategemea na coach anahtaji amtumke vipi mchezaj, yaan anamuoffer nn coach so ukifanya comparison ya namna hyo unafeli, kila coach ana matumiz yake ana game plan yake, usishangae fabregas akatumika as namba 7, wenger aishawah kumtumia hvyo, javi martinez kuwa centre back haimaanish 6 haiwez, kuna vtu coach anakuwa anavhtaji, ushawah kuishuhudia namba 6 ya pirlo wewe... carrick unaweza ukamuita kichefu chefu ni mawazo yako dhambi kukupinga, nakuwa sijakuheshimu ila tungekuwa tunarudisha miaka nyuma tungerewind kidogo upatd kumuona huyu jamaa, tena uzur wanacheza mpira unaofanana.Alonso alikuwa anasogezwa 8 ili busquets acheze 6 kwasababu anaimudu kuliko alonso sasa hao wengne uliowataja ni kichefu chefu
Sikushangai wewe kuniona mimi nauwezo mdogo wa kufkir, ntakuwa mjinga kukushangaa labda akili yako ndio ilipofkia mwisho kufkiri ni kutusi anyway mie situs twende point kwa pointi..Ulivyoandika hivi nikaprove kwamba uwezo wako wa kufikir ni mdgo hao watu wamekutana mara ngap hebu tupe statistics
Hahaa.. sasa hyo haitoshi kusema kiwa 70% ya kiwango cha thiago ni sergio, hv unaijua vizur asilimia 70 kweli mr sergio5, guardiola atakuwa na ngap sasa.Thiago ametokea wap na wakati yupo mdgo kina sergio ndyo wamempa inspiration
Kumbe ni kina sergio, means wapo wengi sasa hiyo 70% inakwendaje kwa mmoja?Thiago ametokea wap na wakati yupo mdgo kina sergio ndyo wamempa inspiration
Naomba unitajie mechi pirlo aliyocheza 6 wakiti yupo Ac milan Gatuso alimkabia Juve martchisio na Vidal walimkabia kumbe nabishana na kilaza kbsa sasa kma mtu unahamishwa natural position yako inamaanisha huna competence na hyo namba na unatolewa ili kuwapisha wenye uwezo wacheze tumia kichwa kufikir sio kufugia nyweleHapo ndipo unapofeli kucheza 6 haimaanishi km anaimudu kuliko alonso bali inategemea na coach anahtaji amtumke vipi mchezaj, yaan anamuoffer nn coach so ukifanya comparison ya namna hyo unafeli, kila coach ana matumiz yake ana game plan yake, usishangae fabregas akatumika as namba 7, wenger aishawah kumtumia hvyo, javi martinez kuwa centre back haimaanish 6 haiwez, kuna vtu coach anakuwa anavhtaji, ushawah kuishuhudia namba 6 ya pirlo wewe... carrick unaweza ukamuita kichefu chefu ni mawazo yako dhambi kukupinga, nakuwa sijakuheshimu ila tungekuwa tunarudisha miaka nyuma tungerewind kidogo upatd kumuona huyu jamaa, tena uzur wanacheza mpira unaofanana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimegundua ww ni shabik wa Manchester united na sifa ya mashabiki wa hyo timu yenu ni kujitoa ufahamu kujifanya wajinga kwaiyo sikulaumuSikushangai wewe kuniona mimi nauwezo mdogo wa kufkir, ntakuwa mjinga kukushangaa labda akili yako ndio ilipofkia mwisho kufkiri ni kutusi anyway mie situs twende point kwa pointi..
Si lazma wakutane ndio tujue nani mkali, kuna game wilshere alipiga mpira mwing akawapoteza xavi,busquet na iniesta kwa pamoja so unataka kuniaminisha wilshere ni bora zaid yao!? wamekutana mara chache sana katika career zao, tuangalie tu mtu jinsi kila mtu anavyocheza, kiwango chake kwa ujumla..
Nakubaliana nawe kiwa busquet ni mmoja kati ya namba 6 chache zilizopo kwa sasa, ila sio ndio best kwamba hayupo n wala hajawah kutokea kama yeye.. mtu kama mourinho ukimpa namba 6 busquet ataishia wa 12 kwenye ligi..
Sent using Jamii Forums mobile app