Hakuna namba 6 kama Sergio Busqet!!

Amecheza stakhishari Fc
Mbona ukawa unazunguka kama msichana mkuu!! Si ungejibu tu!!

Kwa kifupi jemedari hapimwi kwa kupigana vita moja!! Ukiona umepigana vita moja ujue bado sana kuwa jemedari mkamilifu!!

Watu wamepigana ya pili ya dunia, vita ya vietnam...vita baridi...vita ya iraq na afghanistan alafu akamalizia syria!!

Japo wote ni wanajeshi ila huwezi mlinganisha na mtu aliyepigana vita ya kagera tu!!

Mtu wa vita moja atangoja sana kwa jemedari aliyepigana vita nyingi na akashinda zote!!
 
Leo nimeamin kuna baadhi ya mashabiki wa Madrid ni vilaza kama ww

Mimi sio wa Madrid ila naona kama unatumia hasira sana kujibizana na wapenda soka wenzio. Ujue mdau anaweza kukujibu kwa utani tuu so pima kiaina na sio kujibu makavuu. Huwa hurushi ngumi kweli wakati wa games?????
 
Hususani Casemiro, ndio maana hata Pepe aliwakuwa akimchezesha Namba 6. Anapenda watu wa kukanyaga.
 

Kuna mda wa ushabiki na mda wa uchambuzi,ukishindwa kuondoa ushabiki kwenye uchambuzi wa mchezaji/timu/mechi flani utakua umefeli.
 
Vita na mpira wapi na wapi timu ipi nzuri yenye ubora unayoijua ambayo hajakutana nayo
Umepoteza kuandika maandishi kibao ambayo hayana maana Mara kagera,iran ,Vietnam,kumbe taarabu tupu
 
Mimi sio wa Madrid ila naona kama unatumia hasira sana kujibizana na wapenda soka wenzio. Ujue mdau anaweza kukujibu kwa utani tuu so pima kiaina na sio kujibu makavuu. Huwa hurushi ngumi kweli wakati wa games?????
Leo unaikataa timu yako pendwa cio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…