Pascal Ndege
JF-Expert Member
- Nov 24, 2012
- 2,977
- 1,897
Katika quote maarufu za siasa Kuna hii ambayo inatabiri maendeleo ya nchi na watu wake.
Inasema "katika nchi ambayo utajiri wa haraka kabisa ni kuwa MWANASIASA kuliko kufanyabiashara, kulima, na kuwa mwekezaji"
Basi umasikini wa hiyo nchi mkubwa wa kutupwa kwasababu katika hiyo nchi wanasiasa wanalima umasikini na kupalilia umasikini na kuvuna umasikini.
Wananchi wake ni masikini sana.
Tanzania. je kuwa MWANASIASA na kufanyabiasha nini kina Lipa kwa haraka?
Inasema "katika nchi ambayo utajiri wa haraka kabisa ni kuwa MWANASIASA kuliko kufanyabiashara, kulima, na kuwa mwekezaji"
Basi umasikini wa hiyo nchi mkubwa wa kutupwa kwasababu katika hiyo nchi wanasiasa wanalima umasikini na kupalilia umasikini na kuvuna umasikini.
Wananchi wake ni masikini sana.
Tanzania. je kuwa MWANASIASA na kufanyabiasha nini kina Lipa kwa haraka?