Umeongea urojoNakubaliana na wewe. Ni heri kumvumilia machinga anayeuza mahindi ya kuchoma, miwa, cripsy, karanga, maziwa ya ndani n.k kuliko yule anayezunguka na saa, handkerchief, vehicle accessories (spana, crew driver n.k) vijola n.k kutoka nchi zingine. Hapa usitegemee nchi kukua, tutabaki kutegemea wahisani kutoka ughaibuni.
Kuchamba unajua ila Umekosa dera na shanga kiunoni tu. HongeraElimu elimu elimu...hakuna nchi ambayo haikupita hatua ya kuwa na wamachinga..hata new york hata jerusalem..hata london hata dubei at a time iliwai kuwa na machinga.soo mtoa mada nao a ni elimu tu ndio shida..pole sana...huyo bakhersa mwenyew alikua chinha...pumba.f sana mtoa mada
Jibu hoja zangu acha maneno...nijib kuwa nmeongea uongo au ukwel..ili nijue kama umeenda shule kwel au bla blaUmekosa dera na shanga tu. Hongera
Na ma toy ya watoto, mavipodozi, manywele bandia n.k haya mavitu hayana tija yoyote, yangepigwa marufuku tu ili kukuza ubunifu wa ndani na kuokoa fedha za kigeni kutumika hovyoSerikali inatakiwa kufanya haya strategically ili isijezuia bidhaa ambazo haziwezi kutengeneza. Mfano, huwezi zuia simu wakati huwezi kutengeneza. Lakini unaweza kuzuia au kuweka kodi kubwa kwenye vichanio/vitana, nguo za mitumba, tootpick na vikolokolo vingine vingi huku ukisaidia wazalishaji binafsi kuweza kuzalisha vitu hivyo.
Hakuna nchi imewahi kuendelea bila kupitia njia hii, hii habari ya soki huria ni uongo mtupu.
Na zifuate sheria na taratibu kama kazi nyingineUmachinga ni kazi kama zilivyo kazi zingine[emoji23]
Elim elim elim.dah..haya mchana mwema ostaz juma..mnaambiwa kila siku madrasa hazisaidii..peleken watoto shule...matokeo ndo haya...mtu hujui hata historia ya uchumi ya dunia..unakuja andika ujinga unasahau jukwaa lina wasomi hili.hahahahaVaa shanga kiunoni kwanza ndio nitakujibu.
Hakuna nchi iliwahi kuendelea kwa kuruhusu soko lake kufurika bidhaa cheap na za kiwango duni kutoka nchi nyingine.
Serikali inatakiwa kubana uangizaji wa bidhaa kutoka nchi zingine huku ikisaidia wazalishaji wa ndani. Nchi zote zimekuza hivyo chumi zao.
Kwani kipindi kilichopo ni chepesi? Ugumu umeongezeka mara 10 zaidi
Hatuko uchumi wa kati, tulishushwa ila tupo uchumi wa kati kwenye vyombo vya habari
Miss u baby!Elim elim elim.dah..haya mchana mwema ostaz juma..mnaambiwa kila siku madrasa hazisaidii..peleken watoto shule...matokeo ndo haya...mtu hujui hata historia ya uchumi ya dunia..unakuja andika ujinga unasahau jukwaa lina wasomi hili.hahahaha
Comments reservedusipokuwa makini utaishia hapo hapo katikati ya mapaja.
na hivi unadhani machinga wanakusababishia njaa!!!
Ulishajiuliza kwanini uchaguzi mkuu wa 2020 yalibebwa mabegi yaliyo jaa......Mchawi siyo CCM bali mchawi ni kura, wamerogezewa kwenye kura kwani muda wote mwaka mzima wanawaza kura tu! Hiyo ndiyo CCM.
Ukitaka uchomwe na bisibisi muulize kibaka kwanini anaiba.Ulishajiuliza kwanini uchaguzi mkuu wa 2020 yalibebwa mabegi yaliyo jaa......
Machinga hawapo kwa ajili ya kufanya biashara ili Serikali ipate kodi na inapotokea wakachangaia kwenye kodi ya Serikali hiyo inakuwa ni by the way, ila si kusudi la uwepo wao. Machinga wapo kwa ajili ya kujitafutia kipato cha kila siku ili waweze kula kwa siku hiyo, halafu siku inayofuata inakuwa na mahesabu mengine tena. Uwepo wa machinga unasababishwa na ukosefu wa ajira pamoja na ukosefu wa elimu pia. Uwepo wa viwili hivi huwa hauwezi kuchangia kukua kwa uchumi wa nchi na katika hali ya kawaida hatutakiwai kuwa tunawapigia mahesabu ya aina hiyo, inabidi tuwa-excludeKuweka rekodi sawa, Duniani kote hakuna nchi iliyoendelea kupitia MACHINGA, eg. US, UK, UAE, Qatar, Kuwait, Botswana, SA.
1. Hawalipi Kodi.
2. Ni bomu linalosubiri kulipuka kwa usalama wa biashara rasmi na mji kwa ujumla.
NB:
Warasimishe biashara kwa kujiunga vikundi na kuvisajili Kisha wapewe Mikopo
Ni kweli kwa hawa ndugu zetu kupata mkopo ni ngumu sana, lakini hakuna namna lazima solution itafutwe tuu la sivyo litakuwa tatizo la kila mtuKwa biashara ya Umachinga huwezi kukopa Benki sio tu kwasababu hutakubaliwa bali pia ni hatari zaidi kumudu unless wewe uwe machinga kivuli ( wale wenye maduka wanaojiita machinga). Katika taasisi yoyote ya fedha mtu anae kopesheka ni kati ya hawa
1. Ana Cash Collateral/ any Collateral Security
2. Ana Umiliki wa Asset which can be valuated
3. Mwajiriwa wa taasis (binafsi/serikali) na ana salary slip za miezi kadhaa ya karibuni
4. Ana referee au mtu aliyekubali kumwekea dhamana na mtu huyo lazima awe na kimoja kati ya hivyo juu
sasa kwa unavyoona Machinga anamudu hayo?
Nafikiri zaidi ni ukosefu wa ajira, kuna chinga wamesoma nasikia, miji,masoko etc ianze kuwatumia kuwapa temporary work kama kusafisha mitaro,barabara,masoko,kupanda miti & maua etc inaweza kusaidia kidogo kupunguza njaa zao na uchafu wa miji yetu kwa bei rahisiElimu elimu elimu...hakuna nchi ambayo haikupita hatua ya kuwa na wamachinga..hata new york hata jerusalem..hata london hata dubei at a time iliwai kuwa na machinga.soo mtoa mada nao a ni elimu tu ndio shida..pole sana...huyo bakhersa mwenyew alikua chinha...pumba.f sana mtoa mada