Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,085
- 4,890
Tanzania itakuwa ya kwanzaKuweka rekodi sawa, Duniani kote hakuna nchi iliyoendelea kupitia MACHINGA, eg. US, UK, UAE, Qatar, Kuwait, Botswana, SA.
1. Hawalipi Kodi.
2. Ni bomu linalosubiri kulipuka kwa usalama wa biashara rasmi na mji kwa ujumla.
NB:
Warasimishe biashara kwa kujiunga vikundi na kuvisajili Kisha wapewe Mikopo
Machinga ni zao la ndoto ya wanasiasa. Nchi huendelea kwa shughuli za uzalishaji, si umachinga.Kuweka rekodi sawa, Duniani kote hakuna nchi iliyoendelea kupitia MACHINGA, eg. US, UK, UAE, Qatar, Kuwait, Botswana, SA.
1. Hawalipi Kodi.
2. Ni bomu linalosubiri kulipuka kwa usalama wa biashara rasmi na mji kwa ujumla.
NB:
Warasimishe biashara kwa kujiunga vikundi na kuvisajili Kisha wapewe Mikopo
Aliyekuwa anajinadi ni mfuata sheria aligeuka ni mvunja sheria(rejea uvanjaji wa jengo la tanesco ubungo na suala la wamachinga)Machinga na boda boda ni baadhi ya 'magenge' ambayo ni kama bomu la muda kwa usalama wa taifa letu, sijui wenye mamlaka kwanini wameyaacha haya magenge yakaendela kukua kwa kasi, akili na hela nyingi zitatumika kwa muda huu kuweka mambo sawa (st least boda boda wanajipanga siku hizi), ikishindikana basi itakuja kumwagika damu hapo baadae...tuishi kwa utaratibu na kila mmoja aheshimu sheria zilizopo
Walidanganywa na yule mchimbachumvi.Zile id walizopewa si waliambiwa wanaweza ombea mkopo
Ova