Hakuna Nchi iliyowahi kufanikiwa kwa Teuzi za kulenga Chaguzi badala ya Maendeleo

Hakuna Nchi iliyowahi kufanikiwa kwa Teuzi za kulenga Chaguzi badala ya Maendeleo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kichwa cha Habari Chajieleza , Uongozi wowote wa Umma Duniani kote ni dhamana ya muda mfupi sana , tena ni dhamana ya kusaidia kuboresha maisha ya jamii husika (BOTTOM UP) , ni fursa kwa aliyechaguliwa kuongoza kuonyesha Uwezo wake wa kuisaidia jamii yake .

Maana yake ni kwamba viongozi wa Umma kazi yao kuu ni kuhakikisha wanainua Jamii yao kutoka chini na kuipeleka juu kiuchumi , na baada ya hapo tutaona maendeleo binafsi ya mwananchi mmoja mmoja na hatimaye Jamii nzima .

Jambo hili ni tofauti kidogo kwa Nchi ya Tanzania , huku kwenyewe Viongozi wanateuliwa ili kuwezesha Chama chao kushinda Uchaguzi Ujao , kwa njia zozote zile ikiwemo Mauaji , Wizi wa kura , uonevu na ubambikaji kesi , Ushahidi wa Jambo hili ni idadi kubwa ya Mawaziri ambao uchaguzi uliopita Walipita bila kupingwa , Akiwemo Waziri Mkuu , hawa wote walipita hivyo baada ya washindani wao kupotezwa , kuteswa , kupigwa ama kudhulumiwa .

Nchi yenye viongozi wenye akili kama hizi haiwezi kuendelea milele , hata kama itauza Bandari , mbuga , misitu pamoja na Raia wake .

Naona Aibu sana kuwa miongoni mwa Raia wa Tanzania wa Kuzaliwa , Kiukweli Najuta

Screenshot_2023-09-01-21-40-13-1.png
 
Kichwa cha Habari Chajieleza , Uongozi wowote wa Umma Duniani kote ni dhamana ya muda mfupi sana , tena ni haiwezi kuendelea milele , hata kama itauza Bandari , mbuga , misitu pamoja na Raia wake .

Naona Aibu sana kuwa miongoni mwa Raia wa Tanzania wa Kuzaliwa , Kiukweli Najuta

View attachment 2736651
AKILI ZA CCM ZINAWAZA UCHAGUZI BADALA YA MAENDELEO YA WANANCHI WAKE MASIKINI
 
Hiyo habari inasaidia vp tatizo la chadema kushindwa kuchukua dola?!!
 
Lowassa alipokelewa chadema kwa lengo gani?!!!!
watakwambia walimpokea kuimarisha vita ya kupambana a Ufisadi

hawa Jamaa Chadema wakipata ka point kamoja tu wanawaza kuchukua dola

2010 walizunguka mikoa yote na hoja ya Buzwagi, Rixhnond na Epa na walipoona watu wanakuja kuwashangaa wakajiona washachukua dola, wakatia miguu 2010 wakapigwa konzi

2015 walivyoona CCM wamevurugana wakadhani ndio uchochoro wakamkaribisha lowassa awasaidie kufupisha safari ya Ikulu

na sasa hivi washajiridhisha hoja ya Bandari watachukua nchi

Tatizo la wao kutochukua dola ni tatizo la wao wenyewe lakini kutwa kusingizia Katiba mpya utadhan kote walipochukua dola walikuwa na Katiba mpya au Polisi walikuwa hawasaidii chama tawala!

hakuna utawala usiopenda kuwa na Wanasiasa wa aina ya hawa Jamaa
 
watakwambia walimpokea kuimarisha vita ya kupambana a Ufisadi

hawa Jamaa Chadema wakipata ka point kamoja tu wanawaza kuchukua dola

2010 walizunguka mikoa yote na hoja ya Buzwagi, Rixhnond na Epa na walipoona watu wanakuja kuwashangaa wakajiona washachukua dola, wakatia miguu 2010 wakapigwa konzi

2015 walivyoona CCM wamevurugana wakadhani ndio uchochoro wakamkaribisha lowassa awasaidie kufupisha safari ya Ikulu

na sasa hivi washajiridhisha hoja ya Bandari watachukua nchi

Tatizo la wao kutochukua dola ni tatizo la wao wenyewe lakini kutwa kusingizia Katiba mpya utadhan kote walipochukua dola walikuwa na Katiba mpya au Polisi walikuwa hawasaidii chama tawala!

hakuna utawala usiopenda kuwa na Wanasiasa wa aina ya hawa Jamaa
Uongo hautakusaidia kitu wewe
 
Kichwa cha Habari Chajieleza , Uongozi wowote wa Umma Duniani kote ni dhamana ya muda mfupi sana , tena ni dhamana ya kusaidia kuboresha maisha ya jamii husika (BOTTOM UP) , ni fursa kwa aliyechaguliwa kuongoza kuonyesha Uwezo wake wa kuisaidia jamii yake .

Maana yake ni kwamba viongozi wa Umma kazi yao kuu ni kuhakikisha wanainua Jamii yao kutoka chini na kuipeleka juu kiuchumi , na baada ya hapo tutaona maendeleo binafsi ya mwananchi mmoja mmoja na hatimaye Jamii nzima .

Jambo hili ni tofauti kidogo kwa Nchi ya Tanzania , huku kwenyewe Viongozi wanateuliwa ili kuwezesha Chama chao kushinda Uchaguzi Ujao , kwa njia zozote zile ikiwemo Mauaji , Wizi wa kura , uonevu na ubambikaji kesi , Ushahidi wa Jambo hili ni idadi kubwa ya Mawaziri ambao uchaguzi uliopita Walipita bila kupingwa , Akiwemo Waziri Mkuu , hawa wote walipita hivyo baada ya washindani wao kupotezwa , kuteswa , kupigwa ama kudhulumiwa .

Nchi yenye viongozi wenye akili kama hizi haiwezi kuendelea milele , hata kama itauza Bandari , mbuga , misitu pamoja na Raia wake .

Naona Aibu sana kuwa miongoni mwa Raia wa Tanzania wa Kuzaliwa , Kiukweli Najuta

View attachment 2736651
So sad
 
watakwambia walimpokea kuimarisha vita ya kupambana a Ufisadi

hawa Jamaa Chadema wakipata ka point kamoja tu wanawaza kuchukua dola

2010 walizunguka mikoa yote na hoja ya Buzwagi, Rixhnond na Epa na walipoona watu wanakuja kuwashangaa wakajiona washachukua dola, wakatia miguu 2010 wakapigwa konzi

2015 walivyoona CCM wamevurugana wakadhani ndio uchochoro wakamkaribisha lowassa awasaidie kufupisha safari ya Ikulu

na sasa hivi washajiridhisha hoja ya Bandari watachukua nchi

Tatizo la wao kutochukua dola ni tatizo la wao wenyewe lakini kutwa kusingizia Katiba mpya utadhan kote walipochukua dola walikuwa na Katiba mpya au Polisi walikuwa hawasaidii chama tawala!

hakuna utawala usiopenda kuwa na Wanasiasa wa aina ya hawa Jamaa
Eti 'walipigwa konzi'!🤣🤣🤣

Wanakuwa kama watoto wasiojielewa yaani, dola ingekuwa inachukuliwa kirahisi hivyo kila mtu si angelikuwa raisi?
 
Na bado...atatengua tena. 2025 ni mbali.
Inawezekana tu kwasababu yeye anaongoza nchi, anapaswa kuleta maendeleo kwa wananchi. Nyie mpo mpo tu kwa ajili ya ramli chonganishi na kuropotoka msiyoyajua........uzuri anawapuuza tu
 
Nimesikia mwakani kivumbi nimekuchagua wewe kwasababu najua unaweza [emoji1787]
 
Back
Top Bottom