ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nimetembea nchi zote hizi zinazotuzunguka hamna nchi Tamu Kama Tanzania hii nchi laini sana just imagine unazaliwa kwenye familia ya kimaskini ila probability ya kutoboa inakuwepo..nenda Kenya kaone hata ardhi kuipata Ni ngumu Kama kwenu masikini. Nchi nyingine ndo zinachekesha kabisa just imagine unaenda nyumbani kwa Malaya unamkuta baba yake na hakwambii kitu kisa umebeba karanga,mahindi na mazaga zaga.
Nimecheka eti Zaganza. ,[emoji16][emoji16]Ni kweli mkuu, Zaganza la kenya si la kitoto
Ndio wp hapoNenda maboneng hapo ukaone starehe za Dunia na pisi kali hatari hapo hawana jumatatu wala jumamosi kila siku bata tuu..
Tanzania nchi nyepesi sana kuishi.. posta city centre machinga wanaweka genge ama mzigo wa milion hata 100, na hakuna cha TRA kuwagusa wala nani.. machinga anamuogopesha afisa wa TRA hata kumsogelea... ukimgusa tu kiongozi wa machinga akampigia simu namba moja, hiyo ajira ya TRA inaisha siku hiyo hiyo
Mfano balozi Donald Wright aliwahi ishi bongo mwaka jana karudi tena kama baloziKipimo kimojawapo ni wasio raia wa TZ, wakikaa TZ kwa muda fulani, huhitajika winji kurejea walikotoka, hata ikiwa ni zile nji za 'mamtoni'. Aghalabu, wengi wao hurejea TZ kupitia NGO, makampuni au bendera nyingine mradi tu waendeleze uhalali wa kukaa kwao TZ. Wanarejea kwao tu kula Thanksgiving / Kiri-si-Maasi.
Mfano balozi Donald Wright aliwahi ishi bongo mwaka jana karudi tena kama balozi