ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Nimetembea nchi zote hizi zinazotuzunguka hamna nchi Tamu Kama Tanzania hii nchi laini sana just imagine unazaliwa kwenye familia ya kimaskini ila probability ya kutoboa inakuwepo.
Nenda Kenya kaone hata ardhi kuipata ni ngumu kama kwenu masikini. Nchi nyingine ndo zinachekesha kabisa just imagine unaenda nyumbani kwa Mwanamke unamkuta baba yake na hakwambii kitu kisa umebeba karanga, mahindi na mazaga zaga.
Nenda Kenya kaone hata ardhi kuipata ni ngumu kama kwenu masikini. Nchi nyingine ndo zinachekesha kabisa just imagine unaenda nyumbani kwa Mwanamke unamkuta baba yake na hakwambii kitu kisa umebeba karanga, mahindi na mazaga zaga.