Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,104
- 917
Wanajukwaa nawasalimia Kwa jina la Jamhuri.
Wanandugu kunajambo naomba niwashirikishe tujadiliane.
Kama hakuna nyongeza ya mishahara,hakuna ajira mpya, tozo kama kawaida na mikopo ipo pale pale. Je, kuna kipi kinaendelea Tanganyika? Au Kuna mchezo tunachezewa sisi watanganyika Kwa manufaa ya Wanzanzibari?
Wanandugu kunajambo naomba niwashirikishe tujadiliane.
Kama hakuna nyongeza ya mishahara,hakuna ajira mpya, tozo kama kawaida na mikopo ipo pale pale. Je, kuna kipi kinaendelea Tanganyika? Au Kuna mchezo tunachezewa sisi watanganyika Kwa manufaa ya Wanzanzibari?