Noel france
JF-Expert Member
- Oct 8, 2012
- 1,104
- 917
- Thread starter
- #21
Hakuvunja katiba yeyote,lakini tunahoji Dadema imenifanya nini Mama? Kwanini anaigopa kuliko msaafu?Kwani kukutana na ACT zazibar ni kosa? Kavunja katiba, watu wa bara tuna roho mbaya ubinafsi na visasi, tunachukia chadema unadhani sio ndg zetu, unadhani Mbowe angekua anatokea Zazibar angefungwa mda wote huo bila kosa linalo julikana?