Vipi wewe ulipotembea uliziona mjumbe?Si uende ukatembee uone kukaa tandika pekee utajuaje hazina zilizojaa tulizopewa na Mwenyezi Mungu.
Kwanza HAKUNA AWAMU YA 6.Lete takwimu zako sahihi Kisha tutofautishe na Awamu tangulizi kama upo sahihi na hicho unacho kiunga mkono.
Tukiangalia Awamu tangulizi Kabla ya Awamu ya 5 na 6 zote zilikuwa zinaongeza mishahara Kwa watumishi wote pia Madara wanapandishwa Kwa wakati na hakukuwa na umati wa wahitimu wa vyuo uraiani kama ilivyo Awamu ya 5 na 6
Chizi mara nyingi uwa ajioni kama anamapungufu lakini sisi ndiyo tunaelewa yule mbili katika tatu hakuna. Vivyo hivyo wewe uliye kwenye mfumo wa ovyo kama ccm huto ona kama mnakosea. Mfano mzuri ndugu polepole yeye hakuna kama akiwa ndani ila Sasa anajifanya Kuwakosoa wenzakeUsingeingiza uzenji na ubara ungekuwa na swali lenye hoja nzuri tu ila kumbe mwenyewe hukutaka kuleta hoja masikini ulitaka umbea na mipasho
Acheni ubaguzi na ubinafsi
Mimi sikatai kwamba nchi ina rasilimali kibao bali hiyo ya kutuambia jiwe lina tani ngapi sijui likiuzwa shida baibai kwa kila mtanza na nia na mahesabu kedekede uliyoyaorodhesha hapo mmh hizo ni STORI ZA KWENYE KAHAWASi uende ukatembee uone kukaa tandika pekee utajuaje hazina zilizojaa tulizopewa na Mwenyezi Mungu.
We madini,mito, mapori, udongo,milima kwa uchache ujayaona?Vipi wewe ulipotembea uliziona mjumbe?
Ukisema hatuna Awamu ya 6 tupo Awamu ya 5 unamaanisha nini? Mimi ninavyoelewa tunaongozwa na Awamu ya 6 ya uongozi wa nchi.Kwanza HAKUNA AWAMU YA 6.
Naomba ieleweke ivyo.
Hawa si ndo wale wanaishi kwa kukalilli kauli mbiu, huyo bado kakalili yale ya awamu ya tano kesha sahau kuwa tusha toka hukoSi kweli kwamba hakuna ajira mpya. Walau litendee haki jina lako.
Unajua bei ya gram moja ya madini ya spinel, google tu hata bei ya leo ucheck ndugu,tani mbili ni gram ngapi zinaingia.Kama mtu alipata kilo 32 na akauza bilioni 26 ambayo bado ni ndogo sana kulingana na bei halisi sokoni.Mimi sikatai kwamba nchi ina rasilimali kibao bali hiyo ya kutuambia jiwe lina tani ngapi sijui likiuzwa shida baibai kwa kila mtanza na nia na mahesabu kedekede uliyoyaorodhesha hapo mmh hizo ni STORI ZA KWENYE KAHAWA
Fanya kazi kama mshahara hautoshi acha tafuta kazi nyingine simple acha kuja kulialia humuWanajukwaa nawasalimia Kwa jina la Jamhuri.
Wanandugu kunajambo naomba niwashirikishe tujadiliane.
Kama hakuna nyongeza ya mishahara,hakuna ajira mpya,tozo kama kawaida na mikopo ipo pale pale. Je,kunakipi kinaendelea Tanganyika? Au Kuna mchezo tunachezewa sisi watanganyika Kwa manufaa ya Wanzanzibari?
Nchi imeshafunguliwa😂😂😂
Bado 'anafungua nchi' mkuu.
Tumpe muda..
Mi-5 tena!
Wewe ni mjinga pia ni mpumbavu,mambo yanavyo kwenda huoni kabisa. Maisha mtani ni magumu gharama za maisha zimepanda alafu unasema nini nikuelewe....?Fanya kazi kama mshahara hautoshi acha tafuta kazi nyingine simple acha kuja kulialia humu
ajila gani unataka radio karibu zote nchini zinachezesha kamali makampuni ya kubeti pia yapo kila mtaa na kamali za wachina mtaani zimejaa bodaboda zinakopeshwa kila mtaa jiajili sio lazima uajiliweWanajukwaa nawasalimia Kwa jina la Jamhuri.
Wanandugu kunajambo naomba niwashirikishe tujadiliane.
Kama hakuna nyongeza ya mishahara,hakuna ajira mpya,tozo kama kawaida na mikopo ipo pale pale. Je,kunakipi kinaendelea Tanganyika? Au Kuna mchezo tunachezewa sisi watanganyika Kwa manufaa ya Wanzanzibari?
Mawazo kama yako ni sumu mbaya mno na inaweza kulifisha Taifa letu Teule la Tanzania ya Tanganyika na Zanzibar.Pamoja na juhudi zote la kuelimishana na Watawala wetu wa PhD's na Prof's wa kumwaga bado tunaamini katika wazee wa bwagamoyo?Aibu?Rejea makubaliano ya mapangoni bagamoyo Kati ya wazee na shetani walipoomba msaada wa kuwaondoa wazungu kwa shetani,moja ya masharti waliyopewa na shetani Ili kuwaondoa wazungu ni kwamba mkubali wazungu wataondoka lakini mtakuwa masikini wazee wakakubali wakatia saini.Bila kuyavunja maagano yale ni ngumu kutoboa Ili tuendelee ni lzm amaleki atolewe rejea speech ya mzee wa ufufuo na mzee wa Efatha wanajua amaleki ni nani na yupo wapi na kwann kashika mafanikio yetu.
Amaleki bila macho ya kiroho haonekani.
Wale wazee wa mapangoni bagamoyo hovyo Sana si bora wangeacha tu wakoloni Ili tuendelee.
Nani kasema hakuna ajira mpya?,nani kasema hakuna nyongeza ya mishahara? we ni mtanzania kweli?Wanajukwaa nawasalimia Kwa jina la Jamhuri.
Wanandugu kunajambo naomba niwashirikishe tujadiliane.
Kama hakuna nyongeza ya mishahara,hakuna ajira mpya,tozo kama kawaida na mikopo ipo pale pale. Je,kunakipi kinaendelea Tanganyika? Au Kuna mchezo tunachezewa sisi watanganyika Kwa manufaa ya Wanzanzibari?
Katiba ya mwaka 77 ni muendeleze wa Yale makubaliano ya wazee.Mawazo kama yako ni sumu mbaya mno na inaweza kulifisha Taifa letu Teule la Tanzania ya Tanganyika na Zanzibar.Pamoja na juhudi zote la kuelimishana na Watawala wetu wa PhD's na Prof's wa kumwaga bado tunaamini katika wazee wa bwagamoyo?Aibu?
Tunapodai Katiba tunamaanisha.CCM chini ya Katiba tuliyotengenezewa mwaka 1977 haiwezi kuiacha Tanzania salama.Ni suala la Wanzania kuamua kusuka ama kunyoa.
Mara nyingi sipendi kujibishana na wapotosha kama wewe,viongozi wetu wenyewe wanatofautia kwenye kutoa takwimu za wanao ajiliwa mara Rais anasema hatoajili hukija huku waziri mkuu anasema zimetoka ajira laki moja ( mfano) alafu waziri wa fedha anakwambia ajira zimetoka mia moja (Kwa mfano), alafu ukija mtaani Kuna wimbi kubwa walikosa ajira Baada ya kumaliza masomo. Je,unataka tumuamini nani?Nani kasema hakuna ajira mpya?,nani kasema hakuna nyongeza ya mishahara? we ni mtanzania kweli?