Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Mpaka sasa hakuna mawasiliano rasmi juu ya uhamisho wa kiungo Feisal Salum ambae amebakisha mwaka mmoja na nusu na Azam fc.
Taarifa za kuaminika kabisa zinaeleza kuwa namna pekee ya Feisal kuondoka Azam ni kumaliza mkataba au kuuzwa kwa 1B kwa klabu ya πΉπΏ.
Yanga atapata 25% ya mauzo ya mchezaji huyo iwapo atauzwa nje ya nchi na iwapo atauzwa au kwenda kwa mkopo ndani ya Tanzania, Azam fc wata lazimika kuilipa Yanga 1B.
Taarifa za kuaminika kabisa zinaeleza kuwa namna pekee ya Feisal kuondoka Azam ni kumaliza mkataba au kuuzwa kwa 1B kwa klabu ya πΉπΏ.
Yanga atapata 25% ya mauzo ya mchezaji huyo iwapo atauzwa nje ya nchi na iwapo atauzwa au kwenda kwa mkopo ndani ya Tanzania, Azam fc wata lazimika kuilipa Yanga 1B.