Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Hivi, aliuzwa, au alivunja mkataba?MKE UMUACHE AFU UKADAI POSA ALIKOOLEWA TENA?????πππππππππππππππππππ
Wachezaji karibu wote ulaya wakiuzwa kuna asilimia hua inaenda mpaka kwenye club iliyomkuza, watu washakua wajanja lazima uweke mkakati, unaweza uza kitu elfu 5 baada ya miaka mitano kikawa na dhamani ya B, lazima uweke mikataba ya kujilindaMKE UMUACHE AFU UKADAI POSA ALIKOOLEWA TENA?????πππππππππππππππππππ
Feisal ameolewa?MKE UMUACHE AFU UKADAI POSA ALIKOOLEWA TENA?????πππππππππππππππππππ
Mlimuwowa nyie...Feisal ameolewa?