Uchaguzi 2020 Hakuna pingamizi atawekewa mgombea wa CHADEMA

Na watu wanajipanga hujui watakuja kwa njia gani. Lissu mwenyewe kasema sasa anajiandaa kwa ajili ya pingamizi. Yeye ambaye anajielewa. Haya mambo yanataka uelewe sayansi ya siasa.
Kujihakiki tu kwa msimamizi wa uchaguzi huko alikopita kumemshinda atswezaje jujipanga kwa mengine au ni kimuhemuhe tu
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Kwa akili zako kabisa alizo kuzaa nazo Mama yako wamepita bila kupigwa!?
Wajinga sana nyinyi
 
Utopolo mtupu fikiria kabla ya kuandika eti..bonge la tricky amna tricky hapo na amna anayeizungumiza cdm kama unavyofikiria
 
Kwanini wapite bila kupingwa, ccm wanaogopa uchaguzi? Hili halikubaliki, tunawanyima wananchi haki yao
Waulize sasa mtu anakubali anachukua chake unakuja kutoka povu huku yanatuhusu sisi
 
Kwaiyo CCM wametumia sayansi nani aliye waloga nyie watumwa wa fikra!
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
mbuzi wew
 
Tuombe yule bwana afe
 
Acha kufikiria kwa kutumia mapigo ya moyo
Mnajitia hofu isiokuwepo,hakatwi mtu hapa hata likitoka pingamizi,tunata mshindwe mapema tena bila visingizio
What a Pathetic reply...pole sana
 
Ni ngumu kuelewa mtazamo wangu kwakuwa sikuandika kisiasa bali kiroho
 
Na watu wanajipanga hujui watakuja kwa njia gani. Lissu mwenyewe kasema sasa anajiandaa kwa ajili ya pingamizi. Yeye ambaye anajielewa. Haya mambo yanataka uelewe sayansi ya siasa.
Soma kwa makini nilichoandika .soma para ya mwisho
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Ni kama vile uko kwa shemeji halafu unajifariji na kuwatukana wengine lakini hujui siku dadako akiachana na mumewe utakuwa wapi!

Hao wasimamizi wa uchaguzi walioleta figisu na mbinu zenu za kunyang'anya fomu za wapinzani zina mwisho
 
Kama mtu anaweza kuangushwa na konyagi alafu akatangazia dunia ameangushwa na wasiojulikana bila shaka hawezi kushindwa kutunga orodha feki ya watu kupita bila kupingwa.
 
Utopolo mtupu fikiria kabla ya kuandika eti..bonge la tricky amna tricky hapo na amna anayeizungumiza cdm kama unavyofikiria
Naona uko busy kujibu hoja nzito lakini badala nawe kujibu kwa hoja unajibu vioja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…