Uchaguzi 2020 Hakuna pingamizi atawekewa mgombea wa CHADEMA

Wakati mnaendelea kujipamba mtandaoni, CCM inaendelea kujikusanyia wabunge majimboni.
 
Sawa kabisa, nakubaliana na wwe. Wangelipata sababu nzuri sana! Ni uabtili, waachie wananchi wachague, hakuna sababu ya Mkurugenzi na tume kumpitisha mtu, wacha wanachi wawapitishe kwa kura!
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka

Wewe nae Ni shida
 
Naona watakuwa wanawakilisha Wajumbe
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka

Upuuzi pitishenu watu wagombee mnaogopa nin achen hoja za kitoto
 
Kimsingi kuna wagombea fake wamepandikizwa uchaguzi huu, sikuamini hata yule Mbobezi wa TISS anasema walisaka wadhamini kimya kimya, kuna jambo hapo la kuchukua.
Hao wengie akina mapumba na shibudi tunawajua kitambo, hakuna haja kuwajadili.
 
Je kukubalika kwa Lissu ni kwa sababu
A; Lissu anapendwa kuliko Jiwe au
B: Watu wanamchukia Jiwe?
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Hopeless anapoandika hopeless inakuwa Ni HOPELESS+
 
Zile saa nane ama yale masaa manane jana ya tar 25. August. 2020 ya kumsubirisha mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kuanzia saa sita mchana mpaka jioni ya saa moja na dk 40 yalikuwa ni faida tupu kwakwe.

Trust me wale wagombea wengine waliopewa kipaumbele na kuharibu ratiba wakaingia fasta wakapokelewa na kupitishwa haraka wamefanya makosa mengi ya kisheria na hili litawagharimu pakubwa
 
Nasubiri kuona namna Lisu atakavyoweza kupata asilimia 7,ya kura! Asilimia saba
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Aisee lakini muda bado sana lolote kisheria linawezekana kuhusu hao walipita bila kupingwa na nn tafasiri ya neno hill kisheria bado kazi ipo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…