Uchaguzi 2020 Hakuna pingamizi atawekewa mgombea wa CHADEMA

Uchaguzi 2020 Hakuna pingamizi atawekewa mgombea wa CHADEMA

K
I think that was a tricky bro ....ile walichokifanya chadema ni bonge moja la akili kwa sababu kadhaa .
1.kuwafanya wawe kwenye midomo ya watu na media for a long time before selection kuliko vyama vyingine..hili wamefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.
2.kuchelewesha zoezi la wao kutangazwa ili kuepusha wale wenye mapingamizi wasije kuwa na mda wa kufanya hivyo.
3. Hili linaweza kuwa halikuwa kwenye sababu za kwanini hawwakuhakiki huko majimboni nalo ni kuwakeep busy watu wa nec na chadema pekee maana chadema walikuwa na uhakika na kazi yao
4.kama wangepitishwa mchana kama ilivyokuwa kwa chauma au act etal isingekuwa breaking news kama ambavyo umetokea ....hapa haiihitaji ushahidi kulitambua......yote Tisa, Kumi ni hili la kutuweka roho juu Takriban masaa sita aisee that was tough time amongst the tough time ever...Hali ya jana sikumbuki ni lini katika maisha yangu nimewahi kuwa nayo ...nadhani asingepita ningeumia sana lakini yawezekana mimi ni strong ila kunawatu wengezimia kama siyo kufa....

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app

Kabisa wewe Ni strong sana,Jana nimeharisha sijapata ona Sasa angekatwa sijui ningekua katika Hali gani
 
Zile saa nane ama yale masaa manane jana ya tar 25. August. 2020 ya kumsubirisha mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kuanzia saa sita mchana mpaka jioni ya saa moja na dk 40 yalikuwa ni faida tupu kwakwe.

Trust me wale wagombea wengine waliopewa kipaumbele na kuharibu ratiba wakaingia fasta wakapokelewa na kupitishwa haraka wamefanya makosa mengi ya kisheria na hili litawagharimu pakubwa.

Mgombea wa CHADEMA ndie pekee kazunguka mikoa 16 katika uhalisia wake kutafuta wadhamini...hii imempa credit kubwa sana..ni awali njema..awali iliyokosa mawaa wananchi katika uhalisia wao na kwa furaha bila shuruti wakamdhamini kwa mikono yao na vidole vyao wenyewe..hii kiroho ni hali chanya yenye uhai.

Wagombea wengine wamepata wadhamini kupitia daftari la kupigia kura(pengine kupitia tume ya uchaguzi) yamenyofolewa majina wakajaziwa...akidi ikatimia tume ikapitisha kwa mtazamo wa haraka unaweza kudhani hakuna shida...! Lakini kiroho kuna shida kubwa sana.

Udhamini wa hawa wagombea wengine ni mfu hauna uhai kwakuwa mgombea hajakutana ana kwa ana na hao anaotaka wamdhamini. Udhamini wa hawa hauna msingi chanya kwakuwa baadhi ya hayo majina kuna marehemu ndani yake. kuna wengine hawampendi tena mgombea..kuna wengine wameshahama vyama nknk. Nina hakika hata wengine number zao za simu hazipatikani tena ama wao wenyewe hawajulikana walipo. Kwahiyo hapa tunaona wazi kabisa hakuna muunganiko wa kiroho na hata kimwili kati ya mdhamini na mdhaminiwa

Ukiachana na hayo upangaji wa mipango na ratiba ya kuomba udhamini kwa CHADEMA vilikuwa vizuri na vya viwango vinavyotakikana na tume ya uchaguzi na kwa sheria za uchaguzi..namna watu walivyojikusanya na kukusanyika..vibe chanya waliyokuwa nayo..zoezi zima la udhamini lilivyoenda nknk..ukiachana na delayments zisizozuilika zoezi zima la kutafuta wadhamini lilikuwa perfect..Hili limekishape chama na kukiongezea credit kubwa!

Uwezo na matumizi ya fedha...kwenye hili tena CHADEMA wamepiga bao lingine la haja..Jamani inahitajika mipango kabambe na fungu la kutosha kuweza kuzunguka mikoa 16 na mfasara wa watu wasiopungua 20 na wote hao wapate chakula malazi nk na magari yapate mafuta nk

Udhamini wa kimyakimya ni udhamini wa kificho na uliojaa makandokando mengi hata kijamii pia ukiachana na kisheria..hauleti tumaini na hisia za umoja na kuwa wamoja kati ya mdhamini na mdhaminiwa.

Tuna masaa chini ya 15 kwa ajili ya kuwekeana mapingamizi ni masaa machache lakini yaliyobeba simulizi nyingi...wewe wakati uko kitandani mwako umelala kuna watu hawajalala wala kupumzika wako busy kuhakikisha wanaruka na kukwepa vizingiti na hila zote za pingamizi.
GREAT POST, UBARIKIWE.
 
*ANAANDIKA MHE.TUNDU LISSU*

ACTION ALERT! Nimetaarifiwa kwamba watu wasiojulikana wakiwa kwenye magari matatu yenye usajili T370 DRD Toyota Noah; T721 CYT Toyota Landcruiser and T132 CUP Toyota Landcruiser wananisubiri kunikamata au kuniteka nyara nje ya ofisi za Tume ya Uchaguzi mara nitakapotoka nje ya jengo la NEC.

Watu hao wanasemekana kuwa mapolisi au usalama wa taifa na wana silaha. Lengo lao ni kuniondoa Dodoma ili nisiwepo kujibu mapingamizi ya kijinga yaliyopangwa ili kuniondoa kwenye Uchaguzi wa Rais.

Simameni imara. Tutashinda mapambano haya. Hawawezi kuzuia jambo ambalo muda wake umewadia. Tafadhali sambaza taarifa hii kila mahali. #SasaBasi #NiYeye2020 #TunduLissu2020.
 
Tundu ni mtu wa pekee sana, ana utofauti na hao wengine wagombea, sikuwahi sikia hata mkuu wa nchi kuzunguka kutafuta saini mbali na pale alipopokea lile gimbi. Hivi hakujua mtaani au kijijini mtu mpaka ufuge gimbi lifikie pale linakuwa limebeba maroho yote, hili mtani utalijua kiroho.

Gimbi linaona watu wakizaliwa, wakiroga, wakitambika, wakifa, limeshughudia misiba limesikia watu wakisema na linaongea na ardhi, leo hii mkuu top leader unalishika kwenye kadamnasi, haikuwa nzuri.

Mwalimu Nyerere alipokuwa anapewa zawadi walikuwa wanampokelea. Na akitoka hapo anaenda kwa kiongozi wa mila kusema naye.

Anyways hayatuhusu,

Ya Lissu leo ni makubwa, ni nini kimewalazimisha kushezesha orodha? Suala la kiroho sana hilo.

Je hao wagombea wengine waliopitishwa tu yaani bora liende si ni lazima watakuwa bora liende, tutaona.

Ni nini kilikusudiwa kimtokee, mpaka ikafika tunaona namba za magari kuwa yanamngoja nje tukasikia mengi mengi vile.

Mwisho nguvu zao zikamezwa, Ikawa kimyaaa.

Sitaki kumalizia kuandika kitu ambacho kilishaandikwa, ardhi ni shahidi. We will see.

Mshana Jr hulali ?
Mwaka huu hawajakimbiza mwenge sasa tutawakimbiza wao....kwa mbaaaali nanza kuona Lissu akikabidhiwa nchi kwa mbinde Sana....baada ya figisu watesi wanasarenda.
 
Tundu ni mtu wa pekee sana, ana utofauti na hao wengine wagombea, sikuwahi sikia hata mkuu wa nchi kuzunguka kutafuta saini mbali na pale alipopokea lile gimbi. Hivi hakujua mtaani au kijijini mtu mpaka ufuge gimbi lifikie pale linakuwa limebeba maroho yote, hili mtani utalijua kiroho.

Gimbi linaona watu wakizaliwa, wakiroga, wakitambika, wakifa, limeshughudia misiba limesikia watu wakisema na linaongea na ardhi, leo hii mkuu top leader unalishika kwenye kadamnasi, haikuwa nzuri.

Mwalimu Nyerere alipokuwa anapewa zawadi walikuwa wanampokelea. Na akitoka hapo anaenda kwa kiongozi wa mila kusema naye.

Anyways hayatuhusu,

Ya Lissu leo ni makubwa, ni nini kimewalazimisha kushezesha orodha? Suala la kiroho sana hilo.

Je hao wagombea wengine waliopitishwa tu yaani bora liende si ni lazima watakuwa bora liende, tutaona.

Ni nini kilikusudiwa kimtokee, mpaka ikafika tunaona namba za magari kuwa yanamngoja nje tukasikia mengi mengi vile.

Mwisho nguvu zao zikamezwa, Ikawa kimyaaa.

Sitaki kumalizia kuandika kitu ambacho kilishaandikwa, ardhi ni shahidi. We will see.

Mshana Jr hulali ?
News Alert: - Shahidi ashindwa kumleta Tundu Lissu Mahakamani Kisutu, Kesi yaahirishwa hadi tarehe 24 Septemba 2020
 
Ndugu yangu, uwe na aibu. Tusishabikie haya mambo kama timu za mpira. Hauoni kabisa udhalimu unaofanyika? Wakara wamelazimika kuchukuwa hatua mikononi mwao.
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
 
LAKINI: Mshana jr was it deliberate kutohakikiwa mikoani au walikuwa hawajui? Kama walikuwa hawajui, that is a grave mistake to recorn!
CDM walijua kwani sio mara ya kwanza kusimamisha mgombea. Unafikiri wangepona kama walikwenda kinyume. Hiyo ingekuwa zawadi kubwa kwa JPM na wange waengua mapema kabisa bila huruma. (I stand to be corrected).
Kusema kweli haya mambo mengine ni ukiritimba tu (wa CCM na serikali zao), after all wanaochagua ni wananchi kwa kura zao.
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Mzee nenda kaweke pingamizi

Ova

Sent from my SM-N920T using JamiiForums mobile app
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
We we ndiye hopeless kwa kuwa umejisahaulisha kuwa kwa ubunge kutangazwa tu na msimamizi haitoshi, kuna kupelekana mahakamani, kuna rafu za wazi lazima mambo yatapinduka tu katika baadhi ya maeneo. Wenzenu wametulia tu wanafanya gathering ya ushahidi. Uzuri ni kwamba wakati kesi zinasikilizwa wao ndio watakuwa wamekabidhiwa dola na wananchi!
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Unaweza kuyataja?
 
Huu ni mpngo mkubwa sana kukwepa gharama za uchaguzi ili pasiwe na çhaguzi sehemu nyingi ndiyo maana hàpahitajiki fedha nyingi kuendesha uchaguzi

Lakini katika katiba ya Tanzania ibara ya 66 imetaja makundi ya wabunge sijaliona hilo kundi la wabunge wanaopitishwa bila kupingwa katika katiba inatambua a) wabunge wa kuchaguliwa b) wabunge wa kuteuliwa na Rais na c) wabunge wanawake wanaochaguliwa kutoka katika vyama vyenye wabunge. Sasa hawa wanaopitishwa na tume kabla ya uchaguzi wao kundi lao ni lipi na bungeni watakuwa wanamuwakilisha nani hiyo tume iliyowapitisha au na kwa kutumia katiba ipi.maana katiba iliyopo haitambui hili kundi lao.
 
Zile saa nane ama yale masaa manane jana ya tar 25. August. 2020 ya kumsubirisha mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA kuanzia saa sita mchana mpaka jioni ya saa moja na dk 40 yalikuwa ni faida tupu kwakwe.

Trust me wale wagombea wengine waliopewa kipaumbele na kuharibu ratiba wakaingia fasta wakapokelewa na kupitishwa haraka wamefanya makosa mengi ya kisheria na hili litawagharimu pakubwa.

Mgombea wa CHADEMA ndie pekee kazunguka mikoa 16 katika uhalisia wake kutafuta wadhamini...hii imempa credit kubwa sana..ni awali njema..awali iliyokosa mawaa wananchi katika uhalisia wao na kwa furaha bila shuruti wakamdhamini kwa mikono yao na vidole vyao wenyewe..hii kiroho ni hali chanya yenye uhai.

Wagombea wengine wamepata wadhamini kupitia daftari la kupigia kura(pengine kupitia tume ya uchaguzi) yamenyofolewa majina wakajaziwa...akidi ikatimia tume ikapitisha kwa mtazamo wa haraka unaweza kudhani hakuna shida...! Lakini kiroho kuna shida kubwa sana.

Udhamini wa hawa wagombea wengine ni mfu hauna uhai kwakuwa mgombea hajakutana ana kwa ana na hao anaotaka wamdhamini. Udhamini wa hawa hauna msingi chanya kwakuwa baadhi ya hayo majina kuna marehemu ndani yake. kuna wengine hawampendi tena mgombea..kuna wengine wameshahama vyama nknk. Nina hakika hata wengine number zao za simu hazipatikani tena ama wao wenyewe hawajulikana walipo. Kwahiyo hapa tunaona wazi kabisa hakuna muunganiko wa kiroho na hata kimwili kati ya mdhamini na mdhaminiwa

Ukiachana na hayo upangaji wa mipango na ratiba ya kuomba udhamini kwa CHADEMA vilikuwa vizuri na vya viwango vinavyotakikana na tume ya uchaguzi na kwa sheria za uchaguzi..namna watu walivyojikusanya na kukusanyika..vibe chanya waliyokuwa nayo..zoezi zima la udhamini lilivyoenda nknk..ukiachana na delayments zisizozuilika zoezi zima la kutafuta wadhamini lilikuwa perfect..Hili limekishape chama na kukiongezea credit kubwa!

Uwezo na matumizi ya fedha...kwenye hili tena CHADEMA wamepiga bao lingine la haja..Jamani inahitajika mipango kabambe na fungu la kutosha kuweza kuzunguka mikoa 16 na mfasara wa watu wasiopungua 20 na wote hao wapate chakula malazi nk na magari yapate mafuta nk

Udhamini wa kimyakimya ni udhamini wa kificho na uliojaa makandokando mengi hata kijamii pia ukiachana na kisheria..hauleti tumaini na hisia za umoja na kuwa wamoja kati ya mdhamini na mdhaminiwa.

Tuna masaa chini ya 15 kwa ajili ya kuwekeana mapingamizi ni masaa machache lakini yaliyobeba simulizi nyingi...wewe wakati uko kitandani mwako umelala kuna watu hawajalala wala kupumzika wako busy kuhakikisha wanaruka na kukwepa vizingiti na hila zote za pingamizi.
Bado shughuli ni changa mno, amini nakwambia' mtoto Ndio kaanza kushikishwa ujiti asome alifu
 
Majimbo aliyozunguka Lisu kutafuta wadhamini Ni 20 CCM tayari imeshachukua majimbo 22 ambayo wabunge wa CCM wanepita bila kupingwa

Hapo unaweza kuona kuwa ziara zake Ni hopeless sababu Hadi Sasa Hana mbunge kote alikozunguka
Wewe hutumii kichwa. Unatumia kitu kingine
 
Back
Top Bottom