Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Kasome Wasifu wa Judge warioba Kutoka Ofisi ya makamu Wa Rais,ofisi ya Rais na Ofisi ya Waziri Mkuu na ofisi ya Jaji mkuu... Halafu Jiulize kwanini Makamu wa Rais,Rais na Jaji mkuu na Waziri Mkuu wadanganye..

Nimeishi Kipindi waryoba Akiwa Madarakani..





 
Ebu tueleze, kwann anaitwa jaji ,ujaji kaupataje? Kwamba kajipachika tu kweli!?kwann ukusema miaka yote
Following his tenure as prime minister, he served as a judge on the Hamburg, Germany-based International Tribunal for the Law of the Sea from 1996 to 1999.
 
Huyu mbumbumbu anaandika kumshambulia Mzee Warioba bila hata kielelezo cha kuthibitisha hoja yake. Kwa hiyo anadhani Mzee Warioba hana sifa ya kuwa Jaji? Mbona wapuuzi wanatumiwa kuweka wazi upuuzi wao? Hao wanaowatumia watakuwa wanafanana nao?
 
unajua bunda, wajita neno jaji maana yake ni mjomba, ukitaka kumwita mjomba unasema yego jaji warioba, sasa tutumie jina kamili yego jaji warioba
Wacha kutuongopea hapa. Hujui maana ya neno Jaji. Neno Jaji kwa Mkoa wa Mara linatumiwa na Wajita tu likimaanisha Babu. Warioba si Mjita yeye ni Mhikizu
 
Sisi tutamuita Jaji sasa usitupangie.
Wale ma Dr wanaopewa u Dr pasipo kusoma umewahi kuhoji?
 
Upumbavu ni kipaji ulichozaliwa nacho.

Umeshindwa kufanya tafitikwa nini anaitwa Jaji halagu unatuletea ujinga ujinga tu.

Jaji Warioba anawakera sana kwa kusimamia haki, ukweli na Katiba.

Majambazi ya kura mwisho haupo mbali
 
Matako yako
 

Wewe ni mjinga kweli...

Kwani Ili uwe Jaji ni lazima uwe uliteuliwa na Rais wa Tanzania na awe na kumbukumbu za hukumu za Mahakama za Tanzania...?
=====================================

HUYU NDIYE JAJI JOSEPH SINDE WARIOBA MWENYE UMRI WA MIAKA 84 SASA :

Warioba was born in Bunda District of Mara Region in Tanzania. He graduated from the University of East Africa in Dar es Salaam, Tanzania in 1966. From 1966 to 1968, he served as state attorney in Dar es Salaam, and from 1968 to 1970, as solicitor for the City Council. In 1970, he graduated from The Hague Academy of International Law. From 1976 to 1983, he served as the attorney general of Tanzania. From 1983 until his election as prime minister, he served as minister of justice....

Following his tenure as prime minister, Warioba served as a judge on the Hamburg, Germany-based International Tribunal for the Law of the Sea from 1996 to 1999. Furthermore, in 1996, President Benjamin Mkapa appointed him as chairman of the Presidential Commission Against Government Corruption, better known as the Warioba Commission....

Warioba was chosen to lead the Commonwealth Observer Group in the April 2007 Nigerian elections. He gave a positive assessment of the elections, deeming them to be progress while also saying that there were irregularities.....

Following President Jakaya Kikwete's announcement for a referendum for Tanzania's constitution in 2014, he appointed Warioba as the Chairperson of the Constitutional Review Commission (CRC). The CRC was tasked with reviewing and proposing amendments to Tanzania's constitution. In this capacity, Judge Warioba played a crucial role in facilitating stakeholder engagement and communication throughout the constitutional review process. He oversaw a series of public consultations and engagement initiatives to gather input and perspectives from various segments of Tanzanian society. However, it's important to note that the proposed new constitution faced some challenges and controversies in the subsequent stages, ultimately, the process did not lead to the adoption of the proposed constitution in its entirety....

In 2015, the Tanzanian government decided not to adopt the new constitution, and the constitutional review process effectively came to a halt. As a result, the 1977 constitution, with some amendments, continued to be in effect.....

Warioba was appointed in November 2016 by the President of Tanzania John Magufuli as the Chancellor of Sokoine University of Agriculture in Morogoro, Tanzania....
 
Acha kuokoteza mitandaoni, leta barua ya kumteua ya J. K. Nyerere, A. H. Mwinyi, B. W. Mkapa, J. M. Kikwete, au JPM au Samia kutoka Magogoni.

Au basi weka hukumu yake hapa
 
Ndio maana alizabuliwa vibao na DAB 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…