Hakuna Rais wa Tanzania aliyewahi kumteua Joseph Sinde Warioba kuwa Jaji wa Mahakama yoyote hapa nchini, awe mkweli asipotoshe

Ona Hii Ng'ombe
 
wewe utakuw c kijana wa afu 2000 nadhan utakuw kijana wa afu 2005, ko hyo jina ya jaji warioba unadhan amepewa kam kama heshma mnayowapa viongoz wenu ya dakta kikwete au samia?
 
Unaweza kunianishia matusi niliyokutukana?
Kama Ndio Fanya hivyo nikuombe Radhi tafadhali.
Ni Imani yangu pia umepata darasa huru!
sijakukatalia na maelezo yako yako sawa, tatizo ni kunitukana
 
wewe utakuw c kijana wa afu 2000 nadhan utakuw kijana wa afu 2005, ko hyo jina ya jaji warioba unadhan amepewa kam kama heshma mnayowapa viongoz wenu ya dakta kikwete au samia?
Bora Dakta Kikwete Sina mashaka nayo sana, kuliko zilizofuatia! Na naona baada ya kupewa Dakta Kikwete wajinga wakaanza kuzitafuta mpaka kwa Amri za kisiasa. Ukiacha kina Babu Tale na Msukuma!
 
Jitahidi watu wasijue huna akili
 
Akili za kichawa chawa hizi...Jibuni hoja na zaidi fanyieni KAZI maonyo ya Mzee Waryoba . Mtakumbuka baadae Sana mambo yakiwa yameharibika
 
Akili za kichawa chawa hizi...Jibuni hoja na zaidi fanyieni KAZI maonyo ya Mzee Waryoba . Mtakumbuka baadae Sana mambo yakiwa yameharibika
Mambo aliyaharibu enzi akiwa Mwanasheria Mkuu wa serikali kwa kutunga sheria za hovyo, na katiba ya 1977, labda kama anataka kutubu kabla hajafa
 
aliwahi kuwa jaji wa Hamburg, Korti ya kimataifa ya makao yake makuu ya Ujerumani ya Sheria ya Bahari kutoka 1996 hadi 1999. Zaidi ya hayo, mnamo 1996, Rais Benjamin Mkapa alimteua kama mwenyekiti wa Tume ya Rais Dhidi ya Serikali Rushwa, inajulikana zaidi kama Tume ya Warioba.
 
Ngoja nikwambie jambo ndugu yangu chiembe ni kweli Jaji Warioba sio Jaji wa Mahakama Kuu ya Tanzania.

Lakini ni Jaji wa iliyokuwa Mahakama ya Juu ya Afrika Mashariki kama unaifahamu hii ndio ilikuwa Mahakama ya Rufaa kwa Afrika Mashariki. Hivyo yule sio Judge tu bali ni Justice

Pia amekuwa Jaji Ujerumani kwenye Baraza la kimataifa la mambo ya Bahari.

Ulichokiandika ni wazi hauna uelewa wa mambo haya Mkuu, wapo watu wamekuwa mawakili wakujitegemea wakaitwa kuwa majaji muda mfupi sana hasa wakati tunaianza safari ya uhuru na baadae wakarudi kuwa mawakakili binafsi na wengine walienda kusaidia nchi zingine kama majaji hasa nchi za jumuiya ya madola.

Ninachotaka kusema hapa, wadhifa wa ujaji unapatikana hata nje ya Tanzania na una nguvu na hadhi ile ile kimataifa. Sio maswala ya kubahatisha hayo.

ACHA KUMCHAFUA MZEE WARIONA, J.A
 
Alihitimu kutoka Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki jijini Dar es Salaam, Tanzania mnamo 1966. Kuanzia 1966 hadi 1968, aliwahi kuwa wakili wa serikali jijini Dar es salaam, na kutoka 1968 hadi 1970, kama wakili wa Halmashauri ya Jiji. Mnamo mwaka wa 1970, alihitimu kutoka Chuo cha Hague cha Sheria ya Kimataifa. Kuanzia 1976 hadi 1983, aliwahi kuwa Wakili Mkuu wa Tanzania. Kuanzia 1983 hadi kuchaguliwa kwake kama waziri mkuu, alihudumu kama waziri wa haki
 
Vijana kama ninyi ni hasara kwa taifa.
Disgusting.
 
Unaweza kuwa umeshajibiwa ila elewa kuwa Jaji Waryoba haitwi Jaji kwa kuwahi kuwa jaji wawa Mahakama Kuu ya Tanzania bali alikuwa Jaji wa Mahakama ya Kimataifa inayosimamia sheria za baharini (The International Tribunal for the Law of the Sea); hakuteuliwa na rais wa Tanzania bali aliteuliwa na katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa. Wikipedia nao wameweka rekodi hiyo hapa

Katika list ya former judges, utakutana na jina lake kama nilivyzungusia hapo.


 
Una nakala ya hukumu wakati akiwa Mahakama ya Afrika Mashariki? E.A.C.A? au E. A? Haipo! Hajawahi kuwa Jaji huko, pitia hata H. C. D hayumo,
 
Una nakala ya hukumu wakati akiwa Mahakama ya Afrika Mashariki? E.A.C.A? au E. A? Haipo! Hajawahi kuwa Jaji huko, pitia hata H. C. D hayumo,
Maneno yake kuhusu uchaguzi wa serikali za mitaa umekuumiza sana? Kwa nini usijikite katika hoza za uchuguzi kuliko kushambulia credentials zake ambazo huwezi kuzifuta?
 
Ujaji wake si wa kichawa. Alipewa na mahakama ya kimataifa inayoshughulikia sheria za bahari.
 
Wakuu, Mhe Warioba aliteuliwa kuwa jaji wa mahakama ya Umoja wa Mataifa inayoshughulikia masuala ya bahari
 
Hoja ni kwamba ni wapi Warioba aliwahi kuwa Jaji wa Mahakama Kuu? au ni wale Majaji wa Wajita na Wakwaya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…