Huyu kijana inabidi apunguze majigambo kwa jinsi wasanii wakubwa wa nje wanavyohitaji au wanavyopenda kuwa chini ya lebo yeye anaponda hata sijamuelewa.Wakati mwenzie alipohojiwa hakuonesha dharau wala kinyongo kama kama yeye.Kweli jamaa bado ana asili yake ya ule uswazi wa Tandale.
Tatizo akifanya diamond kinaonekana ooohh sjui maringo mara maskini akipata but ukweli ni kuwa diamond anathink as if the're no boundaries anajiamin and ana malengo.DIAMOND KESHAGONGA VICHWA VYA HABARI KWA MARA NYINGINE TENA HII KAMA HAIJAJADILIWA WIKI 2 BASI 3. Yule mwingine akisema anaishi maisha yake ni sawa, ila DIAMOND mnataka haishi maisha ya wengine mpoje wabongo ............. Ndio keshasema kwake kusainiwa na hizo kampuni sio ishu vipi mnataka aseme na yeye anasainiwa kesho au .............. Kipi watamfanyia cha kuridhika yeye ........... Mnapowaorodhesha waliopo kwenye kampuni pia mkumbuke kuna kundi kuuuuuuuuuuuuubwa la wasanii nao wapo kwenye kampuni zao vipi hao hamjawaona ......... HUWA MNALETA MIFANO YA WIZKID JE, HAPA HAFAI KUWA MFANO AU NI VILE UNAWACHOMA ?????????
Sababu amazitoa sasa lete hoja kupingana na hizo sababu!kuna uhusiano wa moja kwa moja wa uswahili na utandale yeye ni nani mbona wakina chris brown lil wayne kanye jay z nk wapo chini ya record lebel yan huyu ni ili mradi tu aonekane hamkubali kiba ila akubali akatae ishamuingia haina namna atulie na kiki zake #aje
Yani upo serious kabisa unashindwa kutofautisha mkataba wa sonny na tangazo la tomato?Anafanya kila kitu ili deal la kiba ionekane KA bug mtu anakubal tangazo la tomato akatae deal la Sony inaamaana davido Hana pesa za video au promotion maana nikisema Chris natania
Wivu utawauwa pumbavu
Hivi analipa kodi kweli?Huyu kijana inabidi apunguze majigambo kwa jinsi wasanii wakubwa wa nje wanavyohitaji au wanavyopenda kuwa chini ya lebo yeye anaponda hata sijamuelewa.Wakati mwenzie alipohojiwa hakuonesha dharau wala kinyongo kama kama yeye.Kweli jamaa bado ana asili yake ya ule uswazi wa Tandale.
Shule ni muhimu,acheni kumjaza ujinga Diamond. Menejiment yake haimshauri vizuri.Pesa ndio muhimu sana. Shule c unayo JE PESA UNAYO Y KUMFIKIA YY?
Sure mkuu, hapo sina la kumlaumuShule ni muhimu.