madmankache
JF-Expert Member
- Sep 20, 2012
- 836
- 589
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] nimecheka sanaa #Aje ina watia wazimuAtakapochuja atasainiwa na hawavumi lakini wamo
Mkuu hii Simu sijui kama Leo inaweza kutumikaJitu bayaaaaaaa bin laden simbaaaaaaaaa
Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
Yaani uongo mbaya domo anapenda misifa ya kijinga mbona AY Ana mkwanja wa maana kuliko hata huyo domo lkn hajitangazi,Siwezi nunua nyumba USA, nimenunua SA by DIAMOND
AY hana hela ya kumzidi SimbaYaani uongo mbaya domo anapenda misifa ya kijinga mbona AY Ana mkwanja wa maana kuliko hata huyo domo lkn hajitangazi,
huyu kijana anatudhihirishia kushuka sana, na kwenye mziko hakuna anachokifahamu, sasa asubiri hao madogo wake wampge chini ndo atajua
una nyumba wapi?Yaani uongo mbaya domo anapenda misifa ya kijinga mbona AY Ana mkwanja wa maana kuliko hata huyo domo lkn hajitangazi,
Umejuaje?Yaani uongo mbaya domo anapenda misifa ya kijinga mbona AY Ana mkwanja wa maana kuliko hata huyo domo lkn hajitangazi,
Kambona andika vizuri basi uandishi gani huu wa Facebook?Kaongea point na hajamlenga m2 amejiongelea yy n nn anataka.... Kwan ata hzo leble kubwa zilianzia chin pia ata wakina Dr. Dre walianzia uko... Anamaanisha kuwa anataka leble yake sku 1 ifịke levẹl hzo.... Pia mziki wa America na Africa ni tofaut xan... Wizkid,A.K.A, Olamide... Hawa n baadhi ya 2ya wasanii wakubwa waliosimama wenyewe... 2punguze uteam den 2coment fact...
Hongera, unakipaji cha chuki unastahili kuajiliwa kama mnyongaji.
Kama label hazina maana yeye anataka kuanzisha ya nini? au anayo ya nini?!!!Ila wasanii wengi wa Africa naona hizi Lebo za nje hawazifagili mmoja wapo wizkid naona sasa hivi anakazania lebo yake ya starboy worldwide, olamide YBNL na hata ice prince ambaye yupo chini ya legendary MI chocolate city mkataba wake unaisha na anaanzisha lebo yake. Hao wote ni wasanii wakubwa Africa, nahisi lebo za nje bado hawaja ujua mziki wa Africa na soko Lake,kwa mimi hapa Africa lebo kubwa naiona mavins ya Don jazy. Kwa diamond naona nae anaamini kama hao wasanii wa Nigeria, ila mwisho wa siku kila mtu achwe afanye anachokitaka as long anaona kitamfikisha ktk target zake.
Kaongea point za kijinga!!!Kaongea point