Ila wasanii wengi wa Africa naona hizi Lebo za nje hawazifagili mmoja wapo wizkid naona sasa hivi anakazania lebo yake ya starboy worldwide, olamide YBNL na hata ice prince ambaye yupo chini ya legendary MI chocolate city mkataba wake unaisha na anaanzisha lebo yake. Hao wote ni wasanii wakubwa Africa, nahisi lebo za nje bado hawaja ujua mziki wa Africa na soko Lake,kwa mimi hapa Africa lebo kubwa naiona mavins ya Don jazy. Kwa diamond naona nae anaamini kama hao wasanii wa Nigeria, ila mwisho wa siku kila mtu achwe afanye anachokitaka as long anaona kitamfikisha ktk target zake.