Chagu wa Malunde
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 8,734
- 5,750
Inashangaza sana kwa watu wenye akili timamu kumchukia mtu ambae amejitolea kulisaidia taifa kuibua ubadhirifu au ufisadi.
Mwita Waitara alijilipua ili kuupa umma wa watanzania ukweli juu ya unadhirifu unaofanyika ndani ya Chadema.
Mwita aitara amefanya jambo hili kwa kutumia haki yake ya kikatiba kama ibara ya 18(d) ya katiba ya JMT inayotoa haki ya kupashana habari juu ya mambo muhimu ya jamii ya Tanzania.
Mfano ni nani alikuwa anafahamu kuwa mwenyekiti wa Chadema alikuwa anaikopesha Chadema bila maandishi na sasa analipwa mil 50 kila mwezi?.
Hivyo sioni sababu ya watu kumchukia mpiga mbiu huyu ambae amelisaidia taifa kufahamu mengi yaliyokuwa yamejificha.
Jana kuna watu walimfanyia vurugu wakati anafanya shughuli za kiserikali. Inashangaza sana wanachama na wafuasi wa Chadema kufurahia kuwa alitaka kupigwa kama mwizi. Wakati ukweli ni kuwa aliondoka baada ya watu waliotumwa kumletea vurugu.
Hivyo kama mtu anasema ukweli hakuna haja ya kumchukia bila sababu. Maana ameisaidia jamii yetu kupata ukweli.
Mwita Waitara alijilipua ili kuupa umma wa watanzania ukweli juu ya unadhirifu unaofanyika ndani ya Chadema.
Mwita aitara amefanya jambo hili kwa kutumia haki yake ya kikatiba kama ibara ya 18(d) ya katiba ya JMT inayotoa haki ya kupashana habari juu ya mambo muhimu ya jamii ya Tanzania.
Mfano ni nani alikuwa anafahamu kuwa mwenyekiti wa Chadema alikuwa anaikopesha Chadema bila maandishi na sasa analipwa mil 50 kila mwezi?.
Hivyo sioni sababu ya watu kumchukia mpiga mbiu huyu ambae amelisaidia taifa kufahamu mengi yaliyokuwa yamejificha.
Jana kuna watu walimfanyia vurugu wakati anafanya shughuli za kiserikali. Inashangaza sana wanachama na wafuasi wa Chadema kufurahia kuwa alitaka kupigwa kama mwizi. Wakati ukweli ni kuwa aliondoka baada ya watu waliotumwa kumletea vurugu.
Hivyo kama mtu anasema ukweli hakuna haja ya kumchukia bila sababu. Maana ameisaidia jamii yetu kupata ukweli.