Hakuna sababu ya kumchukia Waitara, ameonesha uzalendo wa hali ya juu

Hakuna sababu ya kumchukia Waitara, ameonesha uzalendo wa hali ya juu

October nyimbo itakuwa ni buriani chadema,buriani chadema.
Manyumbu yalikupenda sana ila bwana amekupenda zaidi.
 
Inashangaza sana kwa watu wenye akili timamu kumchukia mtu ambae amejitolea kulisaidia taifa kuibua ubadhirifu au ufisadi.
Mwita Waitara alijilipua ili kuupa umma wa watanzania ukweli juu ya unadhirifu unaofanyika ndani ya Chadema.

Mwita aitara amefanya jambo hili kwa kutumia haki yake ya kikatiba kama ibara ya 18(d) ya katiba ya JMT inayotoa haki ya kupashana habari juu ya mambo muhimu ya jamii ya Tanzania.

Mfano ni nani alikuwa anafahamu kuwa mwenyekiti wa Chadema alikuwa anaikopesha Chadema bila maandishi na sasa analipwa mil 50 kila mwezi?.

Hivyo sioni sababu ya watu kumchukia mpiga mbiu huyu ambae amelisaidia taifa kufahamu mengi yaliyokuwa yamejificha.

Jana kuna watu walimfanyia vurugu wakati anafanya shughuli za kiserikali. Inashangaza sana wanachama na wafuasi wa Chadema kufurahia kuwa alitaka kupigwa kama mwizi. Wakati ukweli ni kuwa aliondoka baada ya watu waliotumwa kumletea vurugu.

Hivyo kama mtu anasema ukweli hakuna haja ya kumchukia bila sababu. Maana ameisaidia jamii yetu kupata ukweli.
Chadema ina nguvu sana nchi nzima hadi chattle.
 
Ningemwelewa tu kama angejilipua na kuupa umma wa watanzania maovu ynayotendwa na ccm na serikali yake.
Kujilipua sio njia pekee ya kuweka wazi malalamiko ambayo unahakika yapo ya yanatakiwa kupata majawabu. Na kitu kingine ambacho tunaweza kukiona kibaya leo kumbe uchunguzi huu unaweza ukakitengeneza chama.

Ni malalamiko haya kuhusu matumizi mabaya ya pesa ya chama ndiyo hufanya kukichafua chama hasa wale ambao wanataka kuwa wanachama lakini wapata woga.
Mhe Mbowe ni kiongozi mzuri lakini ana kura moja tuu. Lazima tutengeneze uwanja ambao watu wengi watakuja tuendeleze chama na kuweza kuchukua dola.
 
Hakuna aliyetumwa pale. Ifike mahali tukubaliane kwamba si sawa kudhani kwamba kila anachofanya au anachosema kiongozi ni sahihi na kila asiyekubaliana nacho ametumwa au amenunuliwa

Haya ni mawazo mgando. Ni sawa na kukwepa ngumi kwa kufumba macho
Kwa hiyo unakubali kuwa si kila analofanya ama kusema Mwenyekiti wa Chadema ni sahihi na wanaompinga hawajanunuliwa??? 🔨
 
Maovu gani? Kuimarisha sekta ya afya? Kuimarisha miundo mbinu? Kudhibiti mafisadi na wabadhirifu?

Waliotaka kumpatia kipondo, je walikuwa wanapinga kuimarishwa kwa secta hizo?

Unaweza danganya watu fulani kwa wakati fulani, lakini huwezi kuwadanganya watu wato kwa wakati wote.
 
Chadema kule hamna kitu , JPM anafanya fresh Tu kukipiga nyundo hcho chama, haiwezekan watu wote waondoke kule wakimtuhumu mwenyekiti , Cha-cha , wangwe, Zitto, Slaa, waitara , sumaye , katambi , lowasa , n.k , tuseme Tu ukweli mwenyekiti ndo tatizo , chama kimekuwa kikubwa lakn anakiendesha Kwa fikra zile zile za mwaka 40 , za upigaji ..... Aache hzo bhana , af kuna mijitu humu inajua kabisa mwenyekiti ni uozo but they are fighting to defend the guy...yaan watu wa namna hyo huwa nawaona mapopoma aisee
Mara mia mbowe kuliko jiwe, sidhani kama hata kibila lake unalijua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uhuru wa maoni siku hizi hauko neutral tena; uko biased against maoni yako hayapendezi upinzani. Nimeona hapa watu hawajadili hoja kwa uhakika bali wanatumia hisia zaidi. Kuna hoja moja iliyoko mpaka sasa kuhusu Corona na lockdown; kwa wale jamaa wengine eleweni kuwa sina maana ya kitu hii


Pande zote mbili zina ukweli fulani: (a) Corona husambaa kwa watu wengie kukutana, (b) Watu wengi watakufa wasipopata njia za kujipatia kipato chao cha kila siku. Badala ya watu kujadili jinsi pande mbili hizo za shilingi zinawezaje kuunganishwa ili kuwa na jibu mbadala wa tatizo letu, imekuwa ni kama mashindano ya ama lockfown au hatutaelewa, na upende mwingie ukiwa tutafuangua au hatuatelewa. Hiyo ni jamii ya hatari sana kuwamo. Hata rangi kwenye picha zetu za digital huanzia 0 hadi 255 siyo 0 na 1 tu. Sasa hivi watanzania tumekuwa kama vile tuko kwenye binary life ambapo picha inakuwa pixelated sana badala realistic fuzzy life ambapo picha inakuwa smooth.
 
Back
Top Bottom