Madimba jr
JF-Expert Member
- Aug 12, 2017
- 1,577
- 3,146
kama ni hivyo mbona Kiba na Mond hawawabebi jamaa zao wa Kigoma? au ndo tuamini maneno ya Msindi Sele?mkuu wa bongo fleva clouds.. ni b 12.. na b12 ni mtoto wa arusha, hawezi watosa jamaa zake.. msaidizi wa b 12 ni adam mchomvu nae mtoto wa arusha.. wanajua wakiwatosa weusi wakirudi likizo makwao arusha watatengwa na jamaa wa kitaa..
so wasanii wa arusha wana nafasi sana clouds.. na weusi ndio best wasanii wa arusha.. so wanapewa chance wao sana
Ni kuamua kama unafanya mziki biashara au mziki harakati.kama ni hivyo mbona Kiba na Mond hawawabebi jamaa zao wa Kigoma? au ndo tuamini maneno ya Msindi Sele?
Mmmmmmmhhhhh.Hujui mchezo wa industry hii weView attachment 967465
Usijali Qchief soon utasajiliwa WasafiHujui mchezo wa industry hii weView attachment 967465
nimekuelewa sana mkuuNi kuamua kama unafanya mziki biashara au mziki harakati.
Mziki biashara, utaepuka maugomvi yasiyokuwa na maana, upige pesa yako uwekeze uendelee na maisha. Mziki harakati utaongea sana na kuponda watu, usiitwe kwenye show, uchague upande mwisho ufulie ubaki kulaumu kwamba ulibaniwa.
Mimi siyo fan wa weusi wa sasa, ila hawa jamaa uwa wanajitahidi kuwa neutral na pia comments zao. Yani hata kipindi cha uchaguzi walikataa fanya kampeni chama chochote kulinda biashara yao ya mziki
huyu jamaa nae unga unamsumbua sana yupo km TID haeleweke wa rangi gani leo blue kesho samawati aaaggggrrrrr gunia la misumari hawaHujui mchezo wa industry hii weView attachment 967465
Alianza ChidHivi Young killer Ndio alisema WEUSI wanabebwa?? Au Joh
Huyu nae alicho bakiza ni kulia lia tu si alisema ana acha mzikiHujui mchezo wa industry hii weView attachment 967465
kama ni hivyo mbona Kiba na Mond hawawabebi jamaa zao wa Kigoma? au ndo tuamini maneno ya Msindi Sele?
Mtetezi wa Clouds media kwenye ubora wako π π πUsijali Qchief soon utasajiliwa Wasafi
Ahahahhahahhahah mkuu kuwa muwazi kabisa , sababu halisi sio usingizie visivyokuweposio kama wao ni bora kuzidi wengine hapana,bali ni nidhamu,unyenyekevu na utii wao katika kazi jambo hili ndilo linawafanya CMG wavutiwe sana na vijana hawa kutoka Arusha,wasanii wengine mna cha kujifunza kutoka kwa Weusi na show za CloudsView attachment 967447
Ukiona watu wote wana mawazo yanafanana ujue kuna tatizo mkuu.Mtetezi wa Clouds media kwenye ubora wako π π π
Hujui kitu wewe nenda pale WCB kahesabau waKigoma ni wangapi??kama ni hivyo mbona Kiba na Mond hawawabebi jamaa zao wa Kigoma? au ndo tuamini maneno ya Msindi Sele?