Hakuna taifa lenye jibu la Gaza iweje baada ya HAMAS, hivyo Israel itapiga kisha ikalie kama koloni

Watu tunafungua JF tupate madini tunakutana na comments za kipuuzi kama hizi,... mwenzako kaandika kitu, ikiwa hukubaliani nacho lete point zaidi sio mihemko tu. Matusi ya nini sasa hapo!
Kuna kundi la watu wanaojua kutukana limevamia JF.
 
Wewe bwabwaja upendavyo wajomba wa mungu wako wamechezea kichapo huko hawatokisahau maisha.
 
Kwahiyo tunakubaliana kwamba Gaza imebaki kifusi tu!! Nyie si mlisema Gaza ni makaburi ya mazayuni! mbona mnatia huruma tena
 
Watu tunafungua JF tupate madini tunakutana na comments za kipuuzi kama hizi,... mwenzako kaandika kitu, ikiwa hukubaliani nacho lete point zaidi sio mihemko tu. Matusi ya nini sasa hapo!
Hilo jamaa halijibu kwa hoja,ni matusi tu. Sijui Moderator , Cookie huwa hawaoni comments zake
 
Watu tunafungua JF tupate madini tunakutana na comments za kipuuzi kama hizi,... mwenzako kaandika kitu, ikiwa hukubaliani nacho lete point zaidi sio mihemko tu. Matusi ya nini sasa hapo!
Huyo jamaa ni ni Fala kwelikweli hata kubishana na mjinga kama huyo ni kupoteza nguvu zako Tu alafu ukishaona MTU anaongea matusi ujue kichwani hakuna kitu, wajinga waacheni na UJINGA wao kichwani
 
Unajua kwa nini. Wengi waliokutana kwenye kikao kile ni Suni , Shia walipendekeza kupelekwa jeshi, Suni wanagoma , wakasema Gaza itawaliwe na PLO
 
Sikiliza wewe siyo lazima usome post zangu ukiziona potezea mimi nishambuliwa natukanwa unataka nikae kimya ungeanza na matusi aliyenitukana au kwako ndiyo madini sababu katukanwa Ritz.

Huyo jamaa ni ni Fala kwelikweli hata kubishana na mjinga kama huyo ni kupoteza nguvu zako Tu alafu ukishaona MTU anaongea matusi ujue kichwani hakuna kitu, wajinga waacheni na UJINGA wao kichwani
Jamaa anaumia sana na vita ya Gaza utafikiri an faida au hasara nayo.
 
Ni kuwapiga sumu ili wawe wanazaliwa vilema
 
Matusi ya nini mwanamuqawama wa kiisilamu?hoja hujibiwa kwa hoja nzuri zaidi si kwa rungu
 
Huyu punguani hajui lolote shabiki mandazi wa JF
Mpaka uamue kutumia avatar ya gaidi lazima na wewe utakuwa ni walewale.

Birds of the same feather flock together.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…