Hakuna Taifa lililoendelea kwa ziara za Rais Nje ya Nchi

Hakuna Taifa lililoendelea kwa ziara za Rais Nje ya Nchi

Hivi unaweza kuwa tajiri kwa kumuiga tajiri namna anavyofanya Kazi? Tajiri ana gari wew una baiskeli tena chakavu, tajiri ana kiwanda wew hata nyumba tu ya nyasa na ya udongo. Tunayopitia cc kwa wenzetu walipitia zamani so lazima na cc tunywe kikombe hichi tena kwa mapenzi yake yy mama.
Jambo la msingi ni kuwawezesha watanzania kuwekeza nchini mwao na sio kuwapa rasilimali wageni ili wazifaidi.

Ni sawa na baba wa nyumba kutafuta watoto wa jirani waje kulima shamba lake na kutegemea pesa ya kukodisha shamba lake .

Badala ya kuwapa shamba wanae walilime faida ya mauzo itakuwa kubwa kuliko ile ya kulikodisha shamba lake.

Serikali inatakiwa kutafuta namna ya kutusaidia wananchi kumiliki uchumi wetu wenyewe na sio kuleta wageni ambao faida kubwa huipeleka kwao.

Tatizo kubwa ni kwamba Waafrika hatupendani hivyo sio rahisi kuwezeshana.

Na pili ni kuwa watawala wanapenda tuendelee kuwa maskini ili iwe rahisi kututawala siku zote na waendelee kutudanganya tu kuwa kuna jambo wanafanya wakati kiuhalisia wanaofaidi ni wao na familia zao tu.
 
Wawekezaji wengi wanakuja kuwekeza kwa masharti ya kodi nafuu, ardhi eneo zuri, vibali vya kuajiri wafanyakazi wanaowataka kuvipata vibali vya kuishi nchini bila shida, kuhamisha na kuingiza pesa nchini bila masharti magumu, kuwezeshwa kukopa pia benki za ndani ya nchi, kuzalisha bidhaa na kuuza nyingi ya bidhaa hizo nchi za nje, kuajiri wafanyakazi wanaowataka wao popote pale.
Hayo yooote yanafanyika kwa kigezo cha uwekezaji kama Mahoteli , viwanda, magari , mashamba n.k.
Wanaofaidika ni baadhi (binafsi ya viongozi) wanaoshriki nao, misaada midogo midogo kwa jamii kama vyakula madawa vyandarua na michango midogo mno katika jamii yetu.
Athari zake wananchi kuendelea kuwa maskini zaidi na kupata pesa kidogo katika ajira za kazi ngumu, wafanyabiashara wa ndani kuendelea kukamuliwa kukidhi matumizi ya serikaki kuu .
Hakuna makampuni makubwa au yanayo julikana kuja kuwekeza hapa kwa kuwa wapo makini mno na sera zao.
Wanaokuja ni wababaishaji na wakisaidiana na wale wale tunawaita wafanyabiashara wetu wakubwa ambao wengi wao wamepata mali kibabaishaji na ndio wanaogoza nchini.

Inasikitisha kila miaka hakuna maendeleo yenye tija kwa wananchi wa Tanzania zitakuja chaguzi na maneno meeengi tu mwishowe ni yale yale.

Watanzania wengi bado kujitambua na kungamua ya kweli na hilo linawagharimu.

Jambo zuri katika yooote haya wananchi wanaridhika na wanasubiri katika shida zao.

Hakuna ukweli na ndio chanzo cha matatizo yetu Watanzania.
Mungu atuonee huruma lakini mara nyingine inabidi wewe mwanadamu ujitambue na kujisaidia ndipo huruma yake mola hutimia.
 
Tupe njia yako mbadala itakayoleta maendeleo,siyo kupinga tu halafu hutupi alternative yoyote ya kutuwezesha kusonga mbele.
Mataifa mengi tu yameendelea sababu ya uwekezaji wa nje,unapotuambia hakuna unaongopa,maendeleo ya South Afrika ni uwekezaji wa makampuni ya nje,huo ni mfano mmoja tu,ipo mingine mingi.
 
Tuambiwe tangiable benefits za hizo safari tangu zimeanza awamu ya nne mpaka sasa.

Ukiachana na msururu wa wezi wa rasilimali zetu unaokuja kila wakati na kutuachia mashimo tu.
Kama huwezi kuona kwa macho, ukiandikuwa hapa ndiyo hutoelewa kabisa
 
Badala kutwa kwenda kuomba hela angeomba viwanda ambavyo resources tunazo
Jamani nchi ni sisi ni kama maisha ya mtu mmoja mmoja na familia

Kama baba kila siku anaenda kuomba hela duka hadi duka huko ni kujidhalilisha na maisha yote atakuwa hivyo hivyo
Ila akiomba dhana za kufanyia kazi angefanya cha ziada

Kutwa mama kwenda kuomba samaki kwanini haombi NDOANO?
 
Badala kutwa kwenda kuomba hela angeomba viwanda ambavyo resources tunazo
Jamani nchi ni sisi ni kama maisha ya mtu mmoja mmoja na familia

Kama baba kila siku anaenda kuomba hela duka hadi duka huko ni kujidhalilisha na maisha yote atakuwa hivyo hivyo
Ila akiomba dhana za kufanyia kazi angefanya cha ziada

Kutwa mama kwenda kuomba samaki kwanini haombi NDOANO?
Hiyo shughuli ya viwanda inapaswa ifanywe na wazawa maana wageni wataleta viwanda vya kuboresha raw materials tu na sio kutoa final products sahau hilo.
 
Ukitaka kujua safari sio njia ya kuleta maendeleo angalia nchi za scandnavia na ulaya kwa ujumla wake.

Hawana mambo kama haya kwa viongozi wao kusafiri safiri.

Ila bado wao ndio wanatupa misaada.

Na nchi zao zinaendelea kila kukicha.
Tangu stroke ikugonge ubongo, Hakuna ulichobakiza.

Kwahiyo hizo nchi za Scandinavia zimeendeleaje?
 
Hiyo shughuli ya viwanda inapaswa ifanywe na wazawa maana wageni wataleta viwanda vya kuboresha raw materials tu na sio kutoa final products sahau hilo.

Wazawa ni waoga wa biashara kubwa za viwanda au ni hela chafu wengine wanazo na wanaogopa kuzitoa

Au lingine serikali sio rafiki kwa matajiri wakubwa sana wanaona watakuwa tishio sijui

Ufungue kiwanda Africa ni kufungua na kituo cha polisi na mapato pamoja sijui kama utatoboa
 
Tangu stroke ikugonge ubongo, Hakuna ulichobakiza.

Kwahiyo hizo nchi za Scandinavia zimeendeleaje?
Industrialization on key natural resources and heavy taxation.

Kule serikali imeshiriki pakubwa kwenye uwekezaji wa viwanda na jamaa wanalipa kodi haswa.

Hakuna masihara kwenye makusanyo ya kodi na kusimamia matumizi yake.

Hakuna shortcut ya maendeleo hao wawekezaji ni story tu ya kubuy time.
 
Wazawa ni waoga wa biashara kubwa za viwanda au ni hela chafu wengine wanazo na wanaogopa kuzitoa

Au lingine serikali sio rafiki kwa matajiri wakubwa sana wanaona watakuwa tishio sijui

Ufungue kiwanda Africa ni kufungua na kituo cha polisi na mapato pamoja sijui kama utatoboa
Ni kweli investment ya viwanda inahitaji mtaji mkubwa na kwakua serikali ina fedha yenyewe ndio inatakiwa iwe muwekezaji mkubwa na sio kuganga njaa kwa wageni huko.

Usimamizi mzuri wa mapato utaleta matokeo mazuri.

Ila kwakua kuna viwavi wanatafuna tu fedha za uma basi itatuchukua muda sana kufikia malengo yetu.
 
Ni kweli investment ya viwanda inahitaji mtaji mkubwa na kwakua serikali ina fedha yenyewe ndio inatakiwa iwe muwekezaji mkubwa na sio kuganga njaa kwa wageni huko.

Usimamizi mzuri wa mapato utaleta matokeo mazuri.

Ila kwakua kuna viwavi wanatafuna tu fedha za uma basi itatuchukua muda sana kufikia malengo yetu.

Kweli kabisa mkuu
 
Sisi matajiri hatukopi, JPm jembe. Tunakopa kufungua nchi, mama anaupiga mwingi
 
Industrialization on key natural resources and heavy taxation.

Kule serikali imeshiriki pakubwa kwenye uwekezaji wa viwanda na jamaa wanalipa kodi haswa.

Hakuna masihara kwenye makusanyo ya kodi na kusimamia matumizi yake.

Hakuna shortcut ya maendeleo hao wawekezaji ni story tu ya kubuy time.
Ni watanzania wangapi Kati ya watanzania Milioni 60 wanaolipa Kodi ?
 
USA,UK,SPAIN, FRANCE, GERMANY.NK!! haya mataifa yako juu leo mpaka kesho! ajili ya Foreign investment!! ikiwa ni pamoja na Slave trade iliwanyanyua sana!! angalia mataifa yooote Duniani super powers walifuga watumwa na walikuwa na invetment Abroad!!

Reli ya kati iliwekwa ajili ya kusafirisha Maligahfi Ulaya!!!! gharama zoote zile za uendeshaji na reli ilipita katikati ya Mashamba ya mikonge!! nchi ambazo hazikuwekeza nje ya nch zao!! km falme za kiarabu zilipoteza u-super power wao!!

Kwa mfano Oman, haikuwa na makoloni, ni maskini tu mpaka leo!...Huyo Bwana Trump wako huyo ni kitukuu cha wawekezaji sugu!! wa kale yeye anakula Matunda tu!! Leo hii sudani ya kusini imemegwa ajili ya uwekezaji wa ndani wa Mafuta!! kati ya china na USA!

Msumbiji kuna vita ya ndani ajili ya uwekezaji wa kuchimba mafuta!...sioni tatizo km wao wanakuita uende kwao si wana kuhitaji!!!..... km watataka kuwekeza wao ni kuwapa masharti tu! sisi siyo kisiwa!

kulinganisha taifa la USA na TZ, ni sawa na kumlinganisha Maza house mzuri na H/girl! hta iweje TZ italihitaji USA!! Kuliko USA inavo hitaji TZ!!.....H/girl anamuhitaji Maza House ili aendelee apate na hela ya kutuma kwao!! kuliko maza house anavo muhitaji kumtunzia nyumba yake!!

Ok!! hamtaki wawekezaji waje!! haya wekezeni nyie!! limeni. chimbeni dhahabu zenu, zalisheni viwandani kwenu....na je hayo mazao mtamuuzia nani??....ok! labda mtatumia wenyewe!!! je Hela mna fyatulia wapi? Bukoba au???

OK! dhahabu mnachimba nyie wenyewe mtazifanyia nini??? zaidi ya urembo!.....Dawa za Hosp mtatoa wapi bila hao majamaa!!...... Matrekta ya kulimia na madawa mashambani mnavyo??? mwekezaji akija si anakusogezea kiwanda cha Matrekta? Madawa!! nk..

Labda cha msingi ungesema anakuja kuwekeza nini??...sisi siyo kisiwa tunahitaji watu wengine km wao wanavyotuhitaji! yuwa heshimu ebu nikuulize mbona ndg zenu wengi tu wako Ulaya?? na wanatuma hela huko?? je wapigwe beat?? wawakatae??

na ukifika Ulaya ni speed yako tu!! kuna wengi hawataki hata kurudi huko! km Mange Kimambi! nyie mnatamani kwa wenzenu lkn nyie wakija mna nuna huo ni uchoyo wa asili!!! sababu tu mnaona wengine wanapata!!!

Magari yao, ndege zao, Lami zao, baiskel zao jamni hee!! Radio zao mnasikiliza weee!! viwanda vyao vivyomo nchini kwenu mnatumia mnajichekesha weeee!! vijimeno vyeupe tena bila aibu!! wala sony!! no made from africa!! ni nje tupu mpaka chupi ulio vaa hapo ulipo!!

sasa mtu km huyu anakusogezea huduma karibu na kwa bei rahisi!!!! hutaki!!!! heee!! wajameni....Ok! Cameroon aliwahi sema kwamba basi waafrica Oleweni mkalia lia weee!! tuu mpaka leo!!,,watu km wewe ndo walisababisha haya! waafrica mlie lie!! oleweni tu!

km hamtaki kuliwa basi na nyie msile!!!....na mkiugua msije huku Ulaya kutibiwa kaeni huko huko mfe kama jiwe!!....kila mtu afe na chake tuone nani zaidi..........Jiwe ange wahi Ulaya tu angepona! lkn sasa kiburi cha kijinga na umimi wa kizamani km huu wako!
Nimekukubali mkuu watu wachoyo choyo na walafi wataliangamiza taifa kwa sababu ya ubinafsi
 
Raisi kikwete alisafili kila taifa kwa kipindi chake lakini tatizo la ajira lilikuwa linaitwa bomu la taifa,

Alikutana na hao wanaoitwa wawekezaji na wengine wakawa matapeli lakini uchumi bado ukawa chini na nchi ikaendelea kuitwa masikini na watu wenye shida wengi.

Kama alikuja obama akaja clinton akaja bill gate na wengine,
Ikasainiwa mikataba ishilini kwa raisi wa china lakini mpaka sasa umasikini upo palepale na hakuna tathimini ya kuonyesha watazania wamefaidikaje na hao watu, na inchi yenye rasilimali kibao
Sasa huyu wa sasa atamleta nani atakaewashinda wale wa kikwete?

Kwa sasa tunamsubili yesu na muhamad pekee labda ndo watamaliza hizi shida za uwekezaji kama tumeshindwa kutumia akili zetu sisi kama taifa.

Raisi akae atulie, wenye shida ya uwekezaji watakuja tu kwa kua kila kitu tunacho hapa TZ, najua watajileta tu kuliko kuongeza matumizi yasiokua na faida zaidi ya kulamba hata kile tulicho kusanya.
Ni ngumu kupata matokeo tofauti kwa kutumia mbinu au Formular ileile kwa tatizo lilelile... na nimuhimu kuwa na mbinu mbadala zilizotafitiwa kwa mazingira yako.
 
USA,UK,SPAIN, FRANCE, GERMANY.NK!! haya mataifa yako juu leo mpaka kesho! ajili ya Foreign investment!! ikiwa ni pamoja na Slave trade iliwanyanyua sana!! angalia mataifa yooote Duniani super powers walifuga watumwa na walikuwa na invetment Abroad!!

Reli ya kati iliwekwa ajili ya kusafirisha Maligahfi Ulaya!!!! gharama zoote zile za uendeshaji na reli ilipita katikati ya Mashamba ya mikonge!! nchi ambazo hazikuwekeza nje ya nch zao!! km falme za kiarabu zilipoteza u-super power wao!!

Kwa mfano Oman, haikuwa na makoloni, ni maskini tu mpaka leo!...Huyo Bwana Trump wako huyo ni kitukuu cha wawekezaji sugu!! wa kale yeye anakula Matunda tu!! Leo hii sudani ya kusini imemegwa ajili ya uwekezaji wa ndani wa Mafuta!! kati ya china na USA!

Msumbiji kuna vita ya ndani ajili ya uwekezaji wa kuchimba mafuta!...sioni tatizo km wao wanakuita uende kwao si wana kuhitaji!!!..... km watataka kuwekeza wao ni kuwapa masharti tu! sisi siyo kisiwa!

kulinganisha taifa la USA na TZ, ni sawa na kumlinganisha Maza house mzuri na H/girl! hta iweje TZ italihitaji USA!! Kuliko USA inavo hitaji TZ!!.....H/girl anamuhitaji Maza House ili aendelee apate na hela ya kutuma kwao!! kuliko maza house anavo muhitaji kumtunzia nyumba yake!!

Ok!! hamtaki wawekezaji waje!! haya wekezeni nyie!! limeni. chimbeni dhahabu zenu, zalisheni viwandani kwenu....na je hayo mazao mtamuuzia nani??....ok! labda mtatumia wenyewe!!! je Hela mna fyatulia wapi? Bukoba au???

OK! dhahabu mnachimba nyie wenyewe mtazifanyia nini??? zaidi ya urembo!.....Dawa za Hosp mtatoa wapi bila hao majamaa!!...... Matrekta ya kulimia na madawa mashambani mnavyo??? mwekezaji akija si anakusogezea kiwanda cha Matrekta? Madawa!! nk..

Labda cha msingi ungesema anakuja kuwekeza nini??...sisi siyo kisiwa tunahitaji watu wengine km wao wanavyotuhitaji! yuwa heshimu ebu nikuulize mbona ndg zenu wengi tu wako Ulaya?? na wanatuma hela huko?? je wapigwe beat?? wawakatae??

na ukifika Ulaya ni speed yako tu!! kuna wengi hawataki hata kurudi huko! km Mange Kimambi! nyie mnatamani kwa wenzenu lkn nyie wakija mna nuna huo ni uchoyo wa asili!!! sababu tu mnaona wengine wanapata!!!

Magari yao, ndege zao, Lami zao, baiskel zao jamni hee!! Radio zao mnasikiliza weee!! viwanda vyao vivyomo nchini kwenu mnatumia mnajichekesha weeee!! vijimeno vyeupe tena bila aibu!! wala sony!! no made from africa!! ni nje tupu mpaka chupi ulio vaa hapo ulipo!!

sasa mtu km huyu anakusogezea huduma karibu na kwa bei rahisi!!!! hutaki!!!! heee!! wajameni....Ok! Cameroon aliwahi sema kwamba basi waafrica Oleweni mkalia lia weee!! tuu mpaka leo!!,,watu km wewe ndo walisababisha haya! waafrica mlie lie!! oleweni tu!

km hamtaki kuliwa basi na nyie msile!!!....na mkiugua msije huku Ulaya kutibiwa kaeni huko huko mfe kama jiwe!!....kila mtu afe na chake tuone nani zaidi..........Jiwe ange wahi Ulaya tu angepona! lkn sasa kiburi cha kijinga na umimi wa kizamani km huu wako!
Unamawazo mgando sana, na uelewa wako kwenye maswala ya kiuchumi ni mdogo mno... maswala ya ukoloni (utumwa) na uhalifu (wizi wa mali) ni aina ya mbinu za kiuchumi zisizoweza kufanya kazi kwetu kwa mazingira ya sasa.

Sisi tunahitaji uchumi wa kisayansi ambao unahusisha elimu,tafiti, technolojia, uzalishaji rahisi wenye kuhususisha raslimali watu na muindo mbinu.

Tunahitaji uchumi wa kifedha, tuingize zaidi kuliko kutoa hatuhitaji mwekezaji anaebeba kingi na kutuachia kidogo hasa kwenye maliasili. Tunahitaji kuwa na makusanyo rafiki ya kodi kwa watu wetu ili kushawishi kundi kubwa kutoona kulipa kodi ni adhabu.

Tunahitaji uchumi wa kisiasa, tuwe na sera nzuri ndani, sera nzuri za nje tuwe na marafiki wengi wa kushirikiana nao tukifaidika pamoja na hasa zaidi sisi (kusiwe na mikataba ya kinyonyaji), tunahitaji siasa safi, sheria zenye kulinda maslahi yetu kwanza kabla ya kulainisha kwa wageni na iwe chanzo cha mambo kama xenophobia.

Tunahitaji uchumi wa ajira, iwe kujiajiri ama kuajiriwa hapa ntakupa mfano wa China kwenye hili wamevutia wawekezaji kuingiza mitaji ya makampuni yenye uzalishaji wa bidhaa za mwisho kwa mlaji, hapa wamepewa masharti kwa asilimia 100 ya malighafi wanazotumia kuzalisha bidhaa hizo na zinapatikana ndani watanunua ndani kabla ya kuruhusiwa kuagiza nje ili kukuza pato la ndani. Pia ajira ni lazima waajiri 95% wazawa kwa localization programme yaani kukiwa na expert mwisho ni two years awe amerithisha majukumu yake kwa local employees. Hapo mambo ya working permit hawana mchezo nayo kama tunavyo pelekwa sisi ... tulianza na two years, then 5yrs na sasa 8 years permit kwa expert kuvinjari nchini... upuuzi mtupu.

Ngoja nikuachie hapo kwa sasa.
 
Unamawazo mgando sana, na uelewa wako kwenye maswala ya kiuchumi ni mdogo mno... maswala ya ukoloni (utumwa) na uhalifu (wizi wa mali) ni aina ya mbinu za kiuchumi zisizoweza kufanya kazi kwetu kwa mazingira ya sasa.
Naomba ni kusaidie Mkuu....Mawazo mgando ni jibu rahisi kwa hoja tata!.....uchumi wako leo!! ume-copy na ku paste! kwa huyo muongo anaekunyonya! jua alikudanganya. wewe bado ni Mtumwa smart! chini ya Mwamvuli wa ukoloni Mamboleo!
isi tunahitaji uchumi wa kisayansi ambao unahusisha elimu,tafiti, technolojia, uzalishaji rahisi wenye kuhususisha raslimali watu na muindo mbinu.
Elimu, technk...km ulivyo sema ni vya kimagaharibi zaidi kamwe usitegemee kuchomoka humo!
Tunahitaji uchumi wa kifedha, tuingize zaidi kuliko kutoa hatuhitaji mwekezaji anaebeba kingi na kutuachia kidogo hasa kwenye maliasili. Tunahitaji kuwa na makusanyo rafiki ya kodi kwa watu wetu ili kushawishi kundi kubwa kutoona kulipa kodi ni adhabu.
Rudia kusoma tena!! fedha? ndo ulivyo fundishwa? Ok! fedha mnazitengeneza wapi? Magogoni au!.....Hilo kundi litoe wapi pesa ya kodi wkt maligahafi imechukuliwa?? dogo acha utani bana!
unahitaji uchumi wa kisiasa, tuwe na sera nzuri ndani, sera nzuri za nje tuwe na marafiki wengi wa kushirikiana nao tukifaidika pamoja na hasa zaidi sisi (kusiwe na mikataba ya kinyonyaji), tunahitaji siasa safi, sheria zenye kulinda maslahi yetu kwanza kabla ya kulainisha kwa wageni na iwe chanzo cha mambo kama xenophobia.
Yaani hata marafiki wa nchi yako huwajui!! na wao wamesha kuoneni ni mzigo!! hata ije sera/ siasa gani bila ubunifu hamchomoki!..ulinyonywa na bado unanyonywa, utanyonywa tu!! kwa akili km hizi niamini mie!
Tunahitaji uchumi wa ajira, iwe kujiajiri ama kuajiriwa hapa ntakupa mfano wa China kwenye hili wamevutia wawekezaji kuingiza mitaji ya makampuni yenye uzalishaji wa bidhaa za mwisho kwa mlaji, hapa wamepewa masharti kwa asilimia 100 ya malighafi wanazotumia
Buni mbinu zako zinazo lingana na mahitaji na mazingira uliyomo na watu wako kwa kutumia akili zako zinavotenda kazi!!....hii kuiga iga ndo inazidi kuwafanya muwe wajinga wa kukaririr hovyo na maskini mpaka leo!
 
Safari ya wiki mbili kwa ajili ya filamu kama Taifa kuna manufaa ya hili??
 
Back
Top Bottom