Hakuna taifa linaloweza endelea kwa kuongeza tozo bali kwa kuchochea uzalishaji

Kwenye ATM sasa kutakuwa na foleni. Kamakutoa 400,000 CRDB kwa njia ya ATM nakatwa 1,000. Kwanini nihangaike na simu!
Maendeleo hayana chama lipa kodi wapinzani walituchelewesha sana
 
Ni bora kumpa wakala elf 5 ale akuhamishie float kwa wakala mwenzake kisha ampe mtu wako kuliko kuwapa hawa elf 35 yote ya nini.
... wataidhibiti hiyo kaka! Ni suala la muda.
 
Wewe mleta mada sio kuwa umetumwa na Mwigulu ili njia zetu mpya nazo mzibanie...

Hatuuzi ramani ya vita ng'oo
 
Kuna mtu alikuja na uzi jana Mods wakaufungia haraka sana sijui kwanini ila uzi ule pia ulielekeza kujiunga kwenye netwok fulani kisha unapata kutuma fedha bila gharama
 
Alafu utasikia makampuni ya mabilioni yanasamehewa kodi
Itoshe kusema Tanzania ni failed state. Tunaendelea kuthibitisha hilo kila uchwao.
Tuna "mavi"ongozi yanaongoza nchi.
Mwigulu ni mbaya sana!! Yaani siku hizi naonekana kama boda boda vile! Gari kitambo nimepaki tu! Yaani mimi ndiyo wa kupanda Shambalai na Vuga line kweli!!!
tatizo ni serikali, majiniasi wameshaleta mobile money, serikali imeleta tozo.
Tatizo ni Msoga Family
 
... wataidhibiti hiyo kaka! Ni suala la muda.
Sio rahisi,walishindwa ile ya ile hela tuma kwa namba hii ndo wataweza hii ya kutuma float maana wakala anakusanya pesa anapeleka bank anajaziwa float na mwingine nae anaenda bank kutoa float communication ndio zinatembea.
Sijui kama hawa jamaa wanajua hata Sheria na kanuni za kodi? Kodi ikiwa kubwa ni lzm itakwepwa tu.
Waliosema toza kidogo ukusanye kingi walishafanya study.
Na kichaa kweli niwape elf 30 kutuma na kutoa pesa kwann nisimpe wakala kula elf 5 hamisha float.
Hii fursa kwa mawakala kupiga pesa sasa.
 
hivi watanzania hatuwezi kubuni "bitcoin" yetu?
Nipo njiani natoka Shinyanga kupeleka hela, nimeokoa gharama za Mpesa na chenji ya bia juu, jamaa niliyekuwa nampelekea nimemsaidia kufungua akaunti benki... kwaheli MPESA!
 
Bora uitwe bodaboda, una maana gani
 
Mwenye nyumba wangu anaishi km 10 kutoka nilipopanga. Huwa natuma Kodi kwa MPesa lakini leo nimeamua kupanda daladala kwenda 400 kurudi 400 ili nimpelekee kodi yake!
 
Hawa wachawi wa kupenda kodi wasitolea jasho wapo wengi. Kitakachofuatia wataanza kutunga visheria vya kula sahani moja na wakala na kampuni za simu. Ilasina shaka chochote kilichoundwa na binadamu kina weakness, tutakula nao sambamba hizo kodi za ujamaa sijui uzalendo wakaziongee kwenye vikao vyao.
 
Kuna mtu alikuja na uzi jana Mods wakaufungia haraka sana sijui kwanini ila uzi ule pia ulielekeza kujiunga kwenye netwok fulani kisha unapata kutuma fedha bila gharama
Na hawa humu sina imani nao tangu 2016 nilishaacha kujadili mambo mazito humu ni muda tu wataanza kutuchomea kwa wenye nchi kwa kugawa data zetu.
 
Na hawa humu sina imani nao tangu 2016 nilishaacha kujadili mambo mazito humu ni muda tu wataanza kutuchomea kwa wenye nchi kwa kugawa data zetu.
Asante mkuu hii ni alert nzuri
 
Ni bora kumpa wakala elf 5 ale akuhamishie float kwa wakala mwenzake kisha ampe mtu wako kuliko kuwapa hawa elf 35 yote ya nini.
Kumbe nyie ndio mnatuibiaga ATM
Mna elimu ya uchumi kuliko Madelu.
Bongo ni Bongo FLOT SERVICE!
 
Nimejaribu jana kutuma kwa bodaboda ila nilimwambia ukweli kuwa hii bahasha ina hela na slip fulani ya bank, sema roho inakuwa juu kidogo!
Jf members wote muwe mnanituma mim il roho zisiwe juu juu[emoji12][emoji12][emoji12]
Mimi bodaboda ni mwaminifu mno, hata ukiniacha na mkeo week nzima utamkuta salama kabisaaah!
 
Hapo tusifanye kabisa miamala tuwakomoe.
Hapo sijui tutaishije
 
P
Mnajianika. Pesa za njia ya mtandao wakala kwa wakala nazo zitapigwa tozo tuone. Mmetusaidia kujianika serikali haishindwi kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…