road master
JF-Expert Member
- Jun 11, 2020
- 2,064
- 3,021
CCM ni genge la wahuniNi bora hawa wanaopigwa jua na vumbi wajenge hata nyumba ya tofali kuliko wale wanaojimilikisha nchi tokea vizazi na vizazi waliotuacha masikini.
MUNGU akapita nayeHaya ni matokeo ya mwendazake "kulichonga bunge" alitaka kulichonga bunge ili limuongezee muda wa kutawala!??unategemea mbunge aliyeshindwa kura za maoni akapewa feva na marehemu ataikosoa serikali!?? Never!!!
In short tuqaondoa wabunge mahiri wa upinzani bungeni kutatukost sisi walalahoi bila kujali itikadi zetu
I was waiting for you the whole day 😢wale majiniasi wetu huu ndiyo ulikuwa muda muafaka wa kuja na ubunifu kama suluhu ya kututoa hapa kwa wanyonya damu.
Hello, naomba dm please??wale majiniasi wetu huu ndiyo ulikuwa muda muafaka wa kuja na ubunifu kama suluhu ya kututoa hapa kwa wanyonya damu.
Naomba nidm please. Being quite doesn't helpwale majiniasi wetu huu ndiyo ulikuwa muda muafaka wa kuja na ubunifu kama suluhu ya kututoa hapa kwa wanyonya damu.
Sio rahisi,walishindwa ile ya ile hela tuma kwa namba hii ndo wataweza hii ya kutuma float maana wakala anakusanya pesa anapeleka bank anajaziwa float na mwingine nae anaenda bank kutoa float communication ndio zinatembea.
Sijui kama hawa jamaa wanajua hata Sheria na kanuni za kodi? Kodi ikiwa kubwa ni lzm itakwepwa tu.
Waliosema toza kidogo ukusanye kingi walishafanya study.
Na kichaa kweli niwape elf 30 kutuma na kutoa pesa kwann nisimpe wakala kula elf 5 hamisha float.
Hii fursa kwa mawakala kupiga pesa sasa.
Mkuu mbona umepotea?uko sahihi mkuu, sema ni vile mind zetu zinatamani desperate measures on desparate situations.
Hii Nchi ni kiboko maamuzi ya kuumiza Wananchi wao kila kukicha na wao wanaona sahihi kabisa..Itoshe kusema Tanzania ni failed state. Tunaendelea kuthibitisha hilo kila uchwao.
Tuna "mavi"ongozi yanaongoza nchi.
Ukitaka kutuma pesa kwa mtu mwambie akupe namba ya wakala, mtumie weka kwa wakala, wakala atampa cash mkononi bila kutoa.Hili jambo limetufika wote na linatuathiri sote hawa watu wamedhamiria kutufanya tuzidi kuwa masikini huku wao wakineema.
Dunia nzima Hakuna tozo kama hizi,tupeana maujuzi zaidi jinsi ya kukwepa dhuluma hizi tutumie nini sasa kufikisha pesa tutumie uber, bodaboda, parcel,mtu,konda, haingilii akili tozo za ajabu kabisa hizi,hata Magufuli asingezikubali achilia madhaifu yake zenye lengo la kuwafanya watz wazidi kuwa masikini,hali inajulikana kuna matumizi mabaya Sana ya Kodi pasipo tija kwa mlipa kodi.
Hawa watu waliokosa ubunifu awaelewi kwamba tozo hizi zinakwenda kuuwa ajira na uchumi wa wengi.Mtza anakamuliwa haswaa tozo za simu bei juu,mafuta bei juu,mbolea bei juu yaani wamelenga mle mle panapogusa maisha ya hali ya chini Ili kuwadidimiza.
Hakuna taifa linaloweza endelea kwa kuongeza tozo bali kwa kuchochea uzalishaji Ili export ikue.
Tumetoka kuisoma namba leo tunazikwa kabisa hawana huruma kabisa hawa.
Umebadiri Id inaanzia na D ili nisikuone😢uko sahihi mkuu, sema ni vile mind zetu zinatamani desperate measures on desparate situations.