Hakuna tena cha kuikoa Ukraine. Hata Marekani wameshajua ndio maana wanawapa misaada hewa

Urusi anapukutishwa mdogo mdogo,

Subirini muone watu wana mahesabu ya mbali siyo ya karibu kama haya yenu ya ki ccm
Hizo hesabu za mbali zingekuwa na maana kama watu wa Ukraine hawafi maelf na maelf pia kama maeneo yangekuwa hayachukuliwi.
But Ukraine wanakufa kama kuku na maeneo yanaendelea kuchukuliwa.
 
Hizo hesabu za mbali zingekuwa na maana kama watu wa Ukraine hawafi maelf na maelf pia kama maeneo yangekuwa hayachukuliwi.
But Ukraine wanakufa kama kuku na maeneo yanaendelea kuchukuliwa.
Halafu tunatakiwa kuelewa kuwa maeneo ya Mashariki ya Ukraine ambayo yametekwa na Urusi ndio yenye uzalishaji mkubwa kwenye kilimo na viwanda. Kwa hiyo Urusi atayatumia maeneo hayo kujijenga kiuchumi.
 
Ukraine tatizo hakuna watu wa kutosha kuwavutia waingie jeshini.Wamebaki watoto wadogo na wazee kwa asilimia kubwa.
Labda waanze kutumia mamluki kutoka Afrika
 
Nilianzisha uzi kuhusu Urusi naona nimepigwa ban ya kuanzisha
UziπŸ˜€
Hivi kuna mtu anasomaga thread zako? Maana mi najua una Id Kama mia hivi! Ukianzisha uzi unajijibu mwenyewe πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wale waliokuwa wanaikashfu Russia wapo wapi humu JF. Unasikia Super power anachakazwa na kanch kadogo Ukrain. Kipo wapi sasa.
 
Vita vilipoanza watu wa Ukraine vijana kwa watoto,wake kwa waume walifanya hashuo wakajipanga foleni kutaka kwenda mstari wa mbele wakapigane na mrusi.Leo imekuwa ni wa kukimbizwa na kujificha
Ngoja nije na mchoro wake utapendeza.
wanawakimbia ila kwa miaka 3 mnateka vijiji vitatu , hata kama hatuna shule ila chagueni njia za kutudanganya
 
Hizo hesabu za mbali zingekuwa na maana kama watu wa Ukraine hawafi maelf na maelf pia kama maeneo yangekuwa hayachukuliwi.
But Ukraine wanakufa kama kuku na maeneo yanaendelea kuchukuliwa.
vita ipi watu hawafi?
 
Wakati mrusi anaombea vita isiishe, aendelee kukuza uchumi wake
 
Urusi anapukutishwa mdogo mdogo,

Subirini muone watu wana mahesabu ya mbali siyo ya karibu kama haya yenu ya ki ccm
Nyie ndiyo mlisema mrusi hana uchumi wa kupigana zaidi ya miezi mitatu naona sasa hivi mnabadirisha magoli tu
 
Nyie ndiyo mlisema mrusi hana uchumi wa kupigana zaidi ya miezi mitatu naona sasa hivi mnabadirisha magoli tu
Uchumi wa Urusi umebaki imara baada ya kukamata viwanda vyote vikubwa vya Ukraine.Ana maligahafi nyingi za chuma kutengeneza silaha mpya fursa ambayo mataifa ya NATO imeondoka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…