Hakuna tena Mahubiri ya habari njema, kuacha dhambi, msisitizo ni matoleo

Hakuna tena Mahubiri ya habari njema, kuacha dhambi, msisitizo ni matoleo

Imani imezidi kumkamata MTU MWEUSI na watumishi wameendelea kusisitiza Kutoa ZAKA na FUNGU LA 10, UJENZI NA MAENDELEO YA JIMBO nk.

Hakuna tena Mahubiri ya HABARI NJEMA, KUACHA DHAMBI nk MsisitIzo ni MATOLEO na ili kulipa uzito basi kanisa LITATOA Mualiko kwa Mchungaji/Mtumishi anayejua kushawishi vizuri.

Imefika wakati Muumini anabeba sadaka yake ya Elfu 2 na njiani anapopita anakuta kuna kipofu kanyoosha mkono kuomba hela na pengine ana mtoto anayehitaji hata kikombe tu cha chai, lakini Muumini huyu atapita na kujiwazia kuwa hela aliyonayo ni ya SADAKA KANISANI.

HAKIKA INGEKUWA KIPINDI KILE CHA YESU ANGESEMA HIVI " ENYI WATUMISHI ACHENI KUWADANGANYA WAUMINI WENU", " ENYI WAUMINI TUMIENI AKILI NA UJINGA UWATOKE"/

Pili Muumini Masikini atahimizwa kutoa matoleo lakini akiugua hana hata hela ya panadol lakini uongozi wa Kanisa ukipata taarifa za kuugua wao watasema " TUMUWEKE KWENYE MAOMBI". Badala ya kutoa fedha kidogo za Sadaka.

KANA KWAMBA SADAKA NI KWA AJILI TU YA HUDUMA KWA WATUMISHI , UTAWALA NA UJENZI lakini siyo kusaidia waumini wasiojiweza.

KIDOGO NAWASIFU RC angalau
Kwani RC hawana mahubiri ya sadaka huku kwetu padri ametangaza hataki kuona mtu anatoa chini ya elfu moja hataki chenji kwenye sadaka.
 
Kwani RC hawana mahubiri ya sadaka huku kwetu padri ametangaza hataki kuona mtu anatoa chini ya elfu moja hataki chenji kwenye sadaka.
Kwani RC hawana mahubiri ya sadaka huku kwetu padri ametangaza hataki kuona mtu anatoa chini ya elfu moja hataki chenji kwenye sadaka.
🤣🤣. Ndio Maana nasema siku hizi Makanisani Msisitizo ni SADAKA.
Zamani Msisitizo ilikuwa ni Habari ya Matendo Mema, Kuacha dhambi na kumuabudu Mungu.
 
Toa sadaka mleta mada.
Mbona kuhonga unahonga au kula unakula daily?
Kama hutaki kutoa sadaka basi acha sio kuja kumwaga shombo huku mambo ya kiimani yanaenda kiimani.
 
🤣🤣. Ndio Maana nasema siku hizi Makanisani Msisitizo ni SADAKA.
Zamani Msisitizo ilikuwa ni Habari ya Matendo Mema, Kuacha dhambi na kumuabudu Mungu.
Zamani zipi unazozisema wewe?
Toa sadaka vyote umepewa bure na mwisho wa siku utaviacha hapahapa duniani.
Kiburi na jeuri ya nini?
 
Imani imezidi kumkamata MTU MWEUSI na watumishi wameendelea kusisitiza Kutoa ZAKA na FUNGU LA 10, UJENZI NA MAENDELEO YA JIMBO nk.

Hakuna tena Mahubiri ya HABARI NJEMA, KUACHA DHAMBI nk MsisitIzo ni MATOLEO na ili kulipa uzito basi kanisa LITATOA Mualiko kwa Mchungaji/Mtumishi anayejua kushawishi vizuri.

Imefika wakati Muumini anabeba sadaka yake ya Elfu 2 na njiani anapopita anakuta kuna kipofu kanyoosha mkono kuomba hela na pengine ana mtoto anayehitaji hata kikombe tu cha chai, lakini Muumini huyu atapita na kujiwazia kuwa hela aliyonayo ni ya SADAKA KANISANI.

HAKIKA INGEKUWA KIPINDI KILE CHA YESU ANGESEMA HIVI " ENYI WATUMISHI ACHENI KUWADANGANYA WAUMINI WENU", " ENYI WAUMINI TUMIENI AKILI NA UJINGA UWATOKE"/

Pili Muumini Masikini atahimizwa kutoa matoleo lakini akiugua hana hata hela ya panadol lakini uongozi wa Kanisa ukipata taarifa za kuugua wao watasema " TUMUWEKE KWENYE MAOMBI". Badala ya kutoa fedha kidogo za Sadaka.

KANA KWAMBA SADAKA NI KWA AJILI TU YA HUDUMA KWA WATUMISHI , UTAWALA NA UJENZI lakini siyo kusaidia waumini wasiojiweza.

KIDOGO NAWASIFU RC angalau
Sadaka ilikuwa zamani tulipoambiwa pesa si msingi wa maendeleo. Sasa hivi pesa ni msingi maedeleo ni matokeo
 
Leo nimepata mafundisho kutoka kwa Padri na si tapeli. Amesema uhusiano wa kwanza wa binadamu uwe kati yako wewe na Mungu kwa sala. Sala humuweka shetani mbali.

Uhusiano wa pili ni kujitoa kwaajili ya wenye uhitaji. Huwezi kujiita Mkristu wakati kuna mjane unaemfahamu ana shida ya pango. Hata ikibidi ukose chakula msaidie.

Tatu funga hata siku moja kwa wiki. Yesu mwenyewe aliteswa sasa wewe ni nani uishi duniani bila mateso!
Padri wako nae kapotoka uhusiano wa Mungu na mwanadamu hauwi kwa sala tu bali kwa Matendo mema na kufuata amri zake. Sala hata mganga wa kienyeji ana sali.

Kutoa sadaka kwa wahitaji hata wauaji na wazinzi wanatoa..

Kufunga hata walevi na waasherati wanafunga.

Kinacho matter ni MATENDO yako ndio yataamua mahusiano yako na Mungu
 
Padri wako nae kapotoka uhusiano wa Mungu na mwanadamu hauwi kwa sala tu bali kwa Matendo mema na kufuata amri zake. Sala hata mganga wa kienyeji ana sali.

Kutoa sadaka kwa wahitaji hata wauaji na wazinzi wanatoa..

Kufunga hata walevi na waasherati wanafunga.

Kinacho matter ni MATENDO yako ndio yataamua mahusiano yako na Mungu
Basi wewe uwe padri wangu
 
KIDOGO NAWASIFU RC angalau
Kanisa lote la yesu Kristo limo katika majaribu hata huko Kuna computer kwa ajiri ya kukusanya mapato ole wako ukosekane kwenye hiyo mashine ukristo wako unatiliwa mashaka upendo kusaidia yatima na wajane kuwahurumia wasiokua na kipato SIYO Tena kua ni injiri ni Mambo yaliyopitwa na wakati hayana tija kwa kanisa la .com ni kujenga majengo taasisi na sherehe za kupongeza wandamizi kujenga roho zilizo potea kuhamasisha kupenda majirani nk ni kupoteza muda ukengeufu huu ulifanyika ulaya leo majengo makubwa yamekosa waumini walipo gundua yanayohubiriwa yanalenga kitu hayana faida kwa maisha ya peponi hayamuandai kuingia mbinguni wakapotezea
 
Umesema ukweli Mtupu

Hawana huruma na roho za watu

Sasahivi wanachohubiri na kusisitiza ni MATOLEO TU

Hasa Radio SAFINA Arusha Ndio umekuwa mradi wa kibiashara wanauza mpaka maji, vitambaa eti na Kalamu za Israel.

Hahahaa.... Amakweli wajinga ndio waliwao
 
Imani imezidi kumkamata MTU MWEUSI na watumishi wameendelea kusisitiza Kutoa ZAKA na FUNGU LA 10, UJENZI NA MAENDELEO YA JIMBO nk.

Hakuna tena Mahubiri ya HABARI NJEMA, KUACHA DHAMBI nk MsisitIzo ni MATOLEO na ili kulipa uzito basi kanisa LITATOA Mualiko kwa Mchungaji/Mtumishi anayejua kushawishi vizuri.

Imefika wakati Muumini anabeba sadaka yake ya Elfu 2 na njiani anapopita anakuta kuna kipofu kanyoosha mkono kuomba hela na pengine ana mtoto anayehitaji hata kikombe tu cha chai, lakini Muumini huyu atapita na kujiwazia kuwa hela aliyonayo ni ya SADAKA KANISANI.

HAKIKA INGEKUWA KIPINDI KILE CHA YESU ANGESEMA HIVI " ENYI WATUMISHI ACHENI KUWADANGANYA WAUMINI WENU", " ENYI WAUMINI TUMIENI AKILI NA UJINGA UWATOKE"/

Pili Muumini Masikini atahimizwa kutoa matoleo lakini akiugua hana hata hela ya panadol lakini uongozi wa Kanisa ukipata taarifa za kuugua wao watasema " TUMUWEKE KWENYE MAOMBI". Badala ya kutoa fedha kidogo za Sadaka.

KANA KWAMBA SADAKA NI KWA AJILI TU YA HUDUMA KWA WATUMISHI , UTAWALA NA UJENZI lakini siyo kusaidia waumini wasiojiweza.

KIDOGO NAWASIFU RC angalau
Umekwisha hubiria wangapi mpaka sasa? Unalalama tu huna cha kufanya. We kahubiri achana na wengine. Kila mtu atatoa hesabu siku ile kivyake.

Maadamu hakuna aliyelazimishwa, na wao ni watu wazima, na hizo pesa hukuwasaidia kuzitafuta, kelele za nini?
 
Rudini ukatoliki ndio dhehebu pekee la Yesu Kristo. hayo mengine ni ubatili na tamaa ya madaraka na fedha.
 
Matayo 24 Kwa maana watatokea makristo na manabii wa uongo
Umetaja verse ya maandiko wakati huko huko kwenye hizo upon faith now mahubiri ni 10mins 50mins ni michango.

Na wanakwambia tutabanana hivyo hivyo lazima utoe vinginevyo mambo hayaendi!.
 
Ukishaona roho ya fedha imeingia Kanisani ujue hapo Roho wa Mungu hayuko!Kanisa linakuwa limebaki ni sawa na pango la Wanyanganyi tu.
 
Mwamposa anaombea watu kwa mafungu ya hela utaskia wenye elfu hamsini wapite mbele, baadae wenye elfu30 mwendo ni huohuo mpaka kufikia wenye elf5 tena anaitamka kiunyonge japo wanaojitokeza ni wengi

Sasa hv vidada ambavyo ndio humuita mwamposa na kumwambia huku kuna muijiza .... Yupo wap ehhhh yani ni siasa tupu vingine vidangaji tu

Sent from my HUAWEI LUA-U22 using JamiiForums mobile app
 
Rudini ukatoliki ndio dhehebu pekee la Yesu Kristo. hayo mengine ni ubatili na tamaa ya madaraka na fedha.
Sina hakika yote makanisa ni yale yale, Kama iliumbwa kwa mfano wa MUNGU una utambuzi kasikilize injili.,ndicho kilicho kupeleka kanisani ,mengine waachie!!
 
Umesema ukweli Mtupu

Hawana huruma na roho za watu

Sasahivi wanachohubiri na kusisitiza ni MATOLEO TU

Hasa Radio SAFINA Arusha Ndio umekuwa mradi wa kibiashara wanauza mpaka maji, vitambaa eti na Kalamu za Israel.

Hahahaa.... Amakweli wajinga ndio waliwao
Naichukia hii safina hatari. Inakula pesa wajinga kupitiliza akiwemo bibi angu
 
Back
Top Bottom