Hakuna tena Mahubiri ya habari njema, kuacha dhambi, msisitizo ni matoleo

WA MADHA AHUNI ATAKULA MADHABAHUNI SOMA MAANDIKO MKUU NDIO MAANA USAINI KAMA KITABU CHA MCHANGO WA MSIBA UNAPELEKA MWENYEWE

UNATUMIA BAR 20000+ KWA SIKU NN KUMTOLEA MUNGU 10K PWK

IMANI N KUWA NA UHAKIKA WA MAMBO YATARAJIWAYO..
 
WENGINE TUMETOKA KIMAISHA KWA KUINENEA SADAKA USIPELEKE SADAKA UKINUNGUNIKA PILI INENE SADAKA MWAMBIE MUNGU NATOA BUKU NISAIDIE BIASHARA KAZI ZANGU WATOTO WAFAULU WAWE NA MOYO WA KUSOMA UTAMSHANGA MUNGU KWA SADAKA YAKO YA BUKU
 
WENGINE TUMETOKA KIMAISHA KWA KUINENEA SADAKA USIPELEKE SADAKA UKINUNGUNIKA PILI INENE SADAKA MWAMBIE MUNGU NATOA BUKU NISAIDIE BIASHARA KAZI ZANGU WATOTO WAFAULU WAWE NA MOYO WA KUSOMA UTAMSHANGA MUNGU KWA SADAKA YAKO YA BUKU
🙏Amen🔥🔥Wakuskia Askie
 
Kalamu za Israel?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Reactions: BRB
Ukijua huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, na kwamba hizi dini ni habari za kutungwa na watu tu, hii michezo ya kuigiza midogo midogo haitakutatiza.
 
Kalamu za Israel?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukikuta wanadanganya watu hapo utacheka sana, eti wanakuambia hizi kalamu zimetoka Israel ukiandikia tu utapata baraka za Israel na maji ya kawaida yaliyopigwa stika za Safina Redio

Katika jambo hawalisahau ni Tuma sadaka yako kwenda namba 07....jina litakuja DANIEL LEMA

Huwa nawaonea huruma sana wakazi wa Arusha wanaotoa hizi pesa, sasahivi wanashindana na Redio SHALOM kaloleni

Yaani ni Wizi tu.
 
Sio kwamba hawakemei dhambi,ila wanakemea kinafiki. Kipindi baadhi ya wanasiasa,waandishi na wafanya biashara walipokuwa wanaonewa,kuteswa,kubambikiwa kesi za uhujumu uchumi na kufungwa,viongozi wa dini waliowengi walikaa kimya huku wakimpongeza mwendazake. Wanachagua dhambi ya kukemea huku baadhi ya dhambi zikionekana ni halali. Hiyo ndio kansa kuu katika imani na dini za leo. Unafiki!!!
 
Hakuna Dini njema Kama Ukristo,Watanzania musije mukaitikia Dini ya Ugaidi iongezeke kwenu mutajuta⚰️Kama ambavyo Watoto wa Shule Nigeria wanavyotekwa na Magaidi kila siku,Dini la Magaidi🐷
Usipandikize chuki dada mkubwa.!
 
Usisahau wanambiwa wanunue sijui cd zenye mafundisho yao cd moja alfu tano unaambiwa ukieka ndani miujiza kama yote bibj angu nae kaingia huo mkenge kajaza cd za aina moja ndani
 
Woote wasipotoa hilo kanisa litaendeshwaje. acha mawazo mfu
 
Haaahaaaha.
 
WENGINE TUMETOKA KIMAISHA KWA KUINENEA SADAKA USIPELEKE SADAKA UKINUNGUNIKA PILI INENE SADAKA MWAMBIE MUNGU NATOA BUKU NISAIDIE BIASHARA KAZI ZANGU WATOTO WAFAULU WAWE NA MOYO WA KUSOMA UTAMSHANGA MUNGU

Ukijua huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, na kwamba hizi dini ni habari za kutungwa na watu tu, hii michezo ya kuigiza midogo midogo haitakutatiza.
Sio mm n zaburi 14:1 nayo inasema mpumbavu amesema moyoni mwake hakuna MUNGU wameharibu matendo yao na kuyafanya chukizo.
 
Ukijua huyo Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote hayupo, na kwamba hizi dini ni habari za kutungwa na watu tu, hii michezo ya kuigiza midogo midogo haitakutatiza.
Kuna miji isiyo na kuta kuna miji isiyo na vitabu kuna miji haina wafalme isiyo na nyumba wala hazina na tena kuna miji haina hata mahali pa kuchezea michezo lkn mji usiyo na hekalu , msikiti , au mahali pa kuabudia kwa ibada za kipagani hakuna mtu aliyewahi kuuona mji wa namna hiyo kumcha MUNGU ni sehemu ya asili ya mwanadam. lkn KUKANA UWEPO WAKE MUNGU ni ugonjwa ustaarabu na dalili ya uharibifu wa tabia ambayo ni sawa na kujiua kimakusudi na vile vile n dalili ya uharibifu wa ulimwengu.
 
Kalamu za Israel?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ndugu yangu ndio maana Suleiman aliomba Hekima. Binadamu unapokuwa Masikini wa Akili basi utadanganywa sana. Ndio maana baadhi ya watumishi wameteka Akili za waumini wengi. Inahitaji hekima kubwa kubaini hili neno ni Halisi au Tango Pori.

Unakuta Mchungaji anakuja anasema eti Jana ameongea na Mungu na Mungu kamuagiza aje atuambie moja, mbili, tatu. Kwakweli Mimi huwa sikubali kama kweli kapewa hayo maagizo. Kwanza akutane naye wapi.
 
Ujenzi hauishi harambee haziishi ni kuomba pesa tu waamini hawaambiwi ukweli kwamba dhambi ni mbaya amri za Mungu na sheria za Musa wametupilia hukooo.

Ndo maana hawaoni hata maono wapo wapo tu. Haiwezekani rais anakufa akiwa madarakani hakuna cha askofu nabii mtume padre aliyeona maono tahazari ikachukuliwa,

Waambieni Mamndenyi ame wa disqualify.
 
Bila Shaka mleta maada muumini mzuri wa Kanisa,na anasikitka kuona mafundisho kuhusu usafi wa kiroho yaani utakatifu,maonyo yanapotea kanisani.Kanisa limejikita upande mmoja yaani kuhubiri matoleo(sadaka) ,sasa badala ya kulalama nini kifanyike?

WENGINE TUMETOKA KIMAISHA KWA KUINENEA SADAKA USIPELEKE SADAKA UKINUNGUNIKA PILI INENE SADAKA MWAMBIE MUNGU NATOA BUKU NISAIDIE BIASHARA KAZI ZANGU WATOTO WAFAULU WAWE NA MOYO WA KUSOMA UTAMSHANGA MUNGU KWA SADAKA YAKO YA BUKU
Sadaka Sio chambo sadaka ni upendo kwa wasiokua navyo ndio maana mungu alimtoa mwanae kwetu sisi hiyo ndiyo sadaka kuzidi zote hakutegemea kupata chochote Ila sisi tupate wokovu nawewe kafanye hivyo matapeli wanaosema ukitoa utazidishiwa Wana lobu zako utarajie zaidi wengi wamefilisika kwa kua sadaka haikutoka moyoni ilitoka kichwani
 
Hata mahubiri ya kurudi kwa yesu kwa mara ya pili hakuna siku hizi[emoji29][emoji29], wanahubiri maendeleo,mali,utajiri na mengineyo ya dunia pekee .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…