- Thread starter
-
- #21
Utaratibu wa kura za maoni CDM inabidi uangaliwe upya. Kuna majimbo huoni logic ya kuwaweka wagombea waliosimamishwa, zaidi sana ni ulafi tu na mwisho wa siku watu wa eneo husika watakiona chama kina agenda zake za siri. Watakikinai chama kwa mambo yao yakipuuzi...kwa uelewa wangu Uteuzi wa wagombea ubunge wa CDM umefuata kura za maoni toka majimboni kwa asilimia 99%.
..Ni jimbo moja tu la Segerea ndiyo kamati kuu ya CDM haijamteua mshindi wa kwanza ktk kura za maoni.
..Jiungeni na CDM mjenge chama, mjulikane na muaminike na wenzenu, na chama kitawateua kwa nafasi za uwakilishi.
NB:
..kwa jimbo la Monduli hivi mumeridhika na Fred Lowassa?
..Mmeridhika na jinsi Fred alivyopwaya jukwaani, na asivyoweza kujieleza?