Uchaguzi 2020 Hakuna tena namna ya kuizuia CHADEMA kuchukua nchi. Ila wakijirekebisha katika hili, watadumu kwenye siasa nchi kwa miaka mingi zaidi

Uchaguzi 2020 Hakuna tena namna ya kuizuia CHADEMA kuchukua nchi. Ila wakijirekebisha katika hili, watadumu kwenye siasa nchi kwa miaka mingi zaidi

..kwa uelewa wangu Uteuzi wa wagombea ubunge wa CDM umefuata kura za maoni toka majimboni kwa asilimia 99%.

..Ni jimbo moja tu la Segerea ndiyo kamati kuu ya CDM haijamteua mshindi wa kwanza ktk kura za maoni.

..Jiungeni na CDM mjenge chama, mjulikane na muaminike na wenzenu, na chama kitawateua kwa nafasi za uwakilishi.

NB:

..kwa jimbo la Monduli hivi mumeridhika na Fred Lowassa?

..Mmeridhika na jinsi Fred alivyopwaya jukwaani, na asivyoweza kujieleza?
Utaratibu wa kura za maoni CDM inabidi uangaliwe upya. Kuna majimbo huoni logic ya kuwaweka wagombea waliosimamishwa, zaidi sana ni ulafi tu na mwisho wa siku watu wa eneo husika watakiona chama kina agenda zake za siri. Watakikinai chama kwa mambo yao yakipuuzi.
 
Utaratibu wa kura za maoni CDM inabidi uangaliwe upya. Kuna majimbo huoni logic ya kuwaweka wagombea waliosimamishwa, zaidi sana ni ulafi tu na mwisho wa siku watu wa eneo husika watakiona chama kina agenda zake za siri. Watakikinai chama kwa mambo yao yakipuuzi.

..kamati kuu ikiwa inaingilia kura za maoni ndipo unapopatikana mwanya wa kuwaletea wananchi wagombea wa hovyo.
 
Sikupingi mkuu uko sahihi

Hoja hapa ni kwamba, kweli huyo aliyesimamishwa kwenye hilo jimbo kupambana na CCM wamezingatia nini considering the majority of voters wa jimbo husika?
..Inabidi uwalaumu wana-cdm wa jimbo la monduli.

..kamati kuu imepitisha mgombea waliyeletewa na wanachama walioko monduli.

NB:

..Fred hawezi hata kuomba kura. Hawezi kabisa.

..waziri mkuu alikwenda kumuombea kura na alifedheheshwa sana performance ya Fred jukwaani.

..sasa kama Fred anaweza kushinda kwa uombaji kura niliouona basi kuna tatizo kubwa huko Monduli.

..msikilize Fred Lowassa hapa.

 
Sikupingi mkuu uko sahihi

Hoja hapa ni kwamba, kweli huyo aliyesimamishwa kwenye hilo jimbo kupambana na CCM wamezingatia nini considering the majority of voters wa jimbo husika?

..inabidi ufunguke zaidi.

..au unamaanisha walioteuliwa huko siyo wa makabila ya maeneo hayo?

..kuna wanaounga mkono kuteua wagombea ambao ni wa kabila la jimbo husika.

..halafu wapo wengine wanasema jambo la msingi ni kuteua mkaazi wa eneo hilo, mtu ambaye anajulikana na wapigakura.

..mimi nakubaliana na wanaosema kigezo kiwe ni ukaazi, na siyo kabila. kwa mfano, ccm imekuwa ikiteua Waarabu na Wahindi na wanawashinda wenyeji wa maeneo husika.
 
..inabidi ufunguke zaidi.

..au unamaanisha walioteuliwa huko siyo wa makabila ya maeneo hayo?

..kuna wanaounga mkono kuteua wagombea ambao ni wa kabila la jimbo husika.

..halafu wapo wengine wanasema jambo la msingi ni kuteua mkaazi wa eneo hilo, mtu ambaye anajulikana na wapigakura.

..mimi nakubaliana na wanaosema kigezo kiwe ni ukaazi, na siyo kabila. kwa mfano, ccm imekuwa ikiteua Waarabu na Wahindi na wanawashinda wenyeji wa maeneo husika.
There is nothing personal kwenye hii hoja, yako majimbo mengi yalipatwa na hili jambo. Kuna ukaazi na ukabila, kuangalia ukabila kama kigezo sio sahihi kwa nchi yetu. Lakini kwa kutumia kigezo cha ukaazi CDM imeamua kujijengea taswira ya kikabila kwenye baadhi ya majimbo hapa nchini, litawasumbua mbeleni.
 
Wasalaam wanaJF,

Leo ni siku ya Jumapili, naamini watu wengi mko katika mapumziko ya wiki. Huu ni muda muafaka katika wiki ambao tunaweza kuutumia kujadili mambo ya kisiasa yaliyotokea na yanayotokea nchini kwetu katika kipindi hiki cha uchaguzi.

Mosi, kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu CHADEMA imefikia maturity stage katika siasa za Tanzania, kimeanza kuingia katika saturation stage kwa speed ya hali ya juu (mafanikio makubwa kwa chama cha siasa). Hiki chama kinazidi kuwa kama IMANI kwa watu wazima na hata watoto wadogo ambao hawajafikia umri wa kupiga kura. Hili ni tishio kwa chama tawala kwakuwa kizazi kimoja mbele CHADEMA itakuwa na mtaji mkubwa sana wa supporters wanaokulia katika harakati zake za kipindi hiki.

Jambo la muhimu leo ni kuwajulisha viongozi na watu wote wenye mtazamo wa mbali wanaopenda sera za chama hiki umuhimu wakuweka utaifa mbele katika maeneo yote ya nchi yetu.

Kuna majimbo ya mfano ambayo CHADEMA wameweka wagombea yenye tafsiri ya kwamba chama kina wenyewe na hakina nia ya dhati kuwaongoza watanzania kwa miaka mingi ijayo. Majimbo hayo ya mfano ni NGORONGORO, MONDULI na MOROGORO MJINI.

Hakika leo watanzania watawaunga mkono kwasababu tu wanataka kuitoa CCM madarakani, hivyo hawana budi kuyafumbia macho hichi mnacho kifanya kwenye majimbo ya watu wengine.

Ila mkae mkijua ya kwamba msipo ondoa hii tabia chafu na ya kilafi katika chama, mkaamua kutoheshimu maeneo yote kwamba yana watu wenye uwezo na ustadi wa kujiongoza wenyewe basi mjiandae na vita itakayokuwa mbele yenu baada ya kuiondoa CCM madarakani.

Narudia, CHADEMA isipoacha tabia hii chafu na ya kilafi, it will have no longevity in Tanzanian politics.

Jumapili njema.
Chadema haitakufa ccm itakufa muda sio mrefu lakini CDM itakuwepo kwa miaka mingi ijayo.
 
Unaiamini TUME kwamba itaipa upinzani nchi ?
Anyway Struggle is the Duty...., hata kama mtu unajua matokeo hauna budi kuendelea kupambania Haki, Usawa na kile unachokiamini...., Death ya CCM itatokea pale tu CCM itakapovunjika vunjika..., bila ya hivyo hakuna level playing field.....
Mpaka sasa hujui kama ccm imevunjika ila wengi wao humo ndani wanaishi kwa hofu?
 
There is nothing personal kwenye hii hoja, yako majimbo mengi yalipatwa na hili jambo. Kuna ukaazi na ukabila, kuangalia ukabila kama kigezo sio sahihi kwa nchi yetu. Lakini kwa kutumia kigezo cha ukaazi CDM imeamua kujijengea taswira ya kikabila kwenye baadhi ya majimbo hapa nchini, litawasumbua mbeleni.

..unafahamu kwamba Prof.Safari, makamu mwenyekiti wa cdm mstaafu; Dr.Mashinji katibu mkuu; John Mnyika Naibu Katibu Mkuu; Pertobas Katambi Mwenyekiti umoja wa vijana, wote ni Wasukuma? Lakini ccm waliendeleza propaganda kwamba cdm ni chama cha kaskazini.

..Siyo kama naikataa hoja yako moja kwa moja. Kuna ukweli fulani kuhusu unachokisema.
 
Unaiamini TUME kwamba itaipa upinzani nchi ?
Kwanini wasitoe nchi?Kina Nyerere waliwalazimisha kina governor Edward Twining kuitoa nchi tena kwa maneno tu Kama wanavyofanya Chadema.Una habari Tanganyika hatujapigana Vita na mwingereza ili Kupata Uhuru?
 
Mkuu naelewa propaganda ya CCM. Ila hoja hapa ni hili swala la ukabila inadhihirishwa sasa rasmi na CDM yenyewe katika ngazi ya majimbo. CCM wakiitumia hii propaganda kwa wakati huu ambapo ipo wazi wazi kabisa huko majimboni, hakuna mtu ndani ya CDM atakayeinuka kutoa utetezi wa maan.
..unafahamu kwamba Prof.Safari, makamu mwenyekiti wa cdm mstaafu; Dr.Mashinji katibu mkuu; John Mnyika Naibu Katibu Mkuu; Pertobas Katambi Mwenyekiti umoja wa vijana, wote ni Wasukuma? Lakini ccm waliendeleza propaganda kwamba cdm ni chama cha kaskazini.

..Siyo kama naikataa hoja yako moja kwa moja. Kuna ukweli fulani kuhusu unachokisema.
 
Mkuu naelewa propaganda ya CCM. Ila hoja hapa ni hili swala la ukabila inadhihirishwa sasa rasmi na CDM yenyewe katika ngazi ya majimbo. CCM wakiitumia hii propaganda kwa wakati huu ambapo ipo wazi wazi kabisa huko majimboni, hakuna mtu ndani ya CDM atakayeinuka kutoa utetezi wa maan.

..I see your point.

..lakini hakuna chama ambacho ni immune from propaganda.
 
Unaiamini TUME kwamba itaipa upinzani nchi ?

Anyway Struggle is the Duty...., hata kama mtu unajua matokeo hauna budi kuendelea kupambania Haki, Usawa na kile unachokiamini...., Death ya CCM itatokea pale tu CCM itakapovunjika vunjika..., bila ya hivyo hakuna level playing field.....
CCM yenye dola haivunjiki, trust me. Dola hutumika kumaliza matatizo ya chama.
 
Hiyo ibada haimusaidii kitu Lisu alitakiwa aende na mlurheri mbowe kwa sababu yeye katoliki
 
Wasalaam wanaJF,

Leo ni siku ya Jumapili, naamini watu wengi mko katika mapumziko ya wiki. Huu ni muda muafaka katika wiki ambao tunaweza kuutumia kujadili mambo ya kisiasa yaliyotokea na yanayotokea nchini kwetu katika kipindi hiki cha uchaguzi.

Mosi, kama kichwa cha habari kinavyosema hapo juu CHADEMA imefikia maturity stage katika siasa za Tanzania, kimeanza kuingia katika saturation stage kwa speed ya hali ya juu (mafanikio makubwa kwa chama cha siasa). Hiki chama kinazidi kuwa kama IMANI kwa watu wazima na hata watoto wadogo ambao hawajafikia umri wa kupiga kura. Hili ni tishio kwa chama tawala kwakuwa kizazi kimoja mbele CHADEMA itakuwa na mtaji mkubwa sana wa supporters wanaokulia katika harakati zake za kipindi hiki.

Jambo la muhimu leo ni kuwajulisha viongozi na watu wote wenye mtazamo wa mbali wanaopenda sera za chama hiki umuhimu wakuweka utaifa mbele katika maeneo yote ya nchi yetu.

Kuna majimbo ya mfano ambayo CHADEMA wameweka wagombea yenye tafsiri ya kwamba chama kina wenyewe na hakina nia ya dhati kuwaongoza watanzania kwa miaka mingi ijayo. Majimbo hayo ya mfano ni NGORONGORO, MONDULI na MOROGORO MJINI.

Hakika leo watanzania watawaunga mkono kwasababu tu wanataka kuitoa CCM madarakani, hivyo hawana budi kuyafumbia macho hichi mnacho kifanya kwenye majimbo ya watu wengine.

Ila mkae mkijua ya kwamba msipo ondoa hii tabia chafu na ya kilafi katika chama, mkaamua kutoheshimu maeneo yote kwamba yana watu wenye uwezo na ustadi wa kujiongoza wenyewe basi mjiandae na vita itakayokuwa mbele yenu baada ya kuiondoa CCM madarakani.

Narudia, CHADEMA isipoacha tabia hii chafu na ya kilafi, it will have no longevity in Tanzanian politics.

Jumapili njema.


Kwanza, hakuna chama kinachochukuwa nchi. Chama kinashinda kura na kutengeneza serkali. Kuchukuwa ni sawa na kupinduwa. Pili, mpaka sasa hakuna anayeweza kuongelea mafaninkio. Mfafanikio yatapimwa kwa ushindi wa uraisi, ubunge, na udiwani. sasa hayo mafanikio ya CHADEMA unayoyaongelea sasa hivi ni yepi? Ngonja baada ya Oktoba 28 ndiyo tutaweza kuona mafanikio ya CHADEMA, CCM, etc, Ukwel ni kuwa hata CHADEMA ispopata uraisi mafanikio yake yatapimwa na nafasi watakazopata za ubunge na udiwani. Kwa upande wangu mafanikio yatakuwepo kama CHADEMA itatetea nafasi zake za ubunge/udiwani. Kama wataweza kupata madiwani na wabunge idadi ileile au zaidi mimi najuwa wamefanikiwa. Maana kuminywa kwa uhuru wa vyama kufanya siasa kumeathiri vyama vya siasa vya upinzani kukuwa.
 
Back
Top Bottom