Tony Gwanco JF-Expert Member Joined Jan 22, 2013 Posts 5,913 Reaction score 1,215 Jan 30, 2013 #1 huku wanawake duniani wakipata tabu kushika mimba.madaktar nchini uswiz wamefanikiwa kuhamisha mfuko wa kizazi toka kwa mama kwenda kwa mwanaye ambaye aliolewa na kushindwa kushika mimba.imeelezwa kama mimba hiyo itazaliwa tatizo la ugumba kwisha.
huku wanawake duniani wakipata tabu kushika mimba.madaktar nchini uswiz wamefanikiwa kuhamisha mfuko wa kizazi toka kwa mama kwenda kwa mwanaye ambaye aliolewa na kushindwa kushika mimba.imeelezwa kama mimba hiyo itazaliwa tatizo la ugumba kwisha.
M Mwita toye Member Joined Dec 22, 2012 Posts 24 Reaction score 0 Jan 30, 2013 #2 Hatua za kisayansi ni kubwa na madaktar pekee ndo wanaweza kukomenti haya matokeo
UPOPO JF-Expert Member Joined Dec 17, 2010 Posts 3,563 Reaction score 5,687 Jan 30, 2013 #3 Sisi tuko bise na bibi anayetaka kugeuza gesi kuwa maji!lo wenzetu wako kwenye utafiti utafiti na sio uchawi
Sisi tuko bise na bibi anayetaka kugeuza gesi kuwa maji!lo wenzetu wako kwenye utafiti utafiti na sio uchawi
Mtanzanika JF-Expert Member Joined Feb 27, 2012 Posts 2,389 Reaction score 1,131 Jan 30, 2013 #4 UPOPO said: Sisi tuko bise na bibi anayetaka kugeuza gesi kuwa maji!lo wenzetu wako kwenye utafiti utafiti na sio uchawi Click to expand... hahaha...umenifurahisha mkuu...na umeongea jambo sahihi kabisa.
UPOPO said: Sisi tuko bise na bibi anayetaka kugeuza gesi kuwa maji!lo wenzetu wako kwenye utafiti utafiti na sio uchawi Click to expand... hahaha...umenifurahisha mkuu...na umeongea jambo sahihi kabisa.
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Joined Feb 4, 2009 Posts 76,107 Reaction score 160,001 Jan 30, 2013 #5 fuliimasoni, fuliimasoni nina andikisha wanaotaka kujiunga. Nitumie vocha ya mia tano tu
Rweye JF-Expert Member Joined Mar 16, 2011 Posts 17,057 Reaction score 7,611 Jan 30, 2013 #6 duh! ama kweli huku kwetu tatzo la mimba pekee mashuleni linatutoa meno mpaka serikali inadata ..7th world countries.
duh! ama kweli huku kwetu tatzo la mimba pekee mashuleni linatutoa meno mpaka serikali inadata ..7th world countries.
Hamad Mussa Member Joined May 9, 2012 Posts 29 Reaction score 12 Jan 30, 2013 #7 Sisi tuko bise na bibi anayetaka kugeuza gesi kuwa maji!lo wenzetu wako kwenye utafiti utafiti na sio uchawi, Hilo nalo neenoo..!
Sisi tuko bise na bibi anayetaka kugeuza gesi kuwa maji!lo wenzetu wako kwenye utafiti utafiti na sio uchawi, Hilo nalo neenoo..!