Tony Gwanco
JF-Expert Member
- Jan 22, 2013
- 5,913
- 1,215
huku wanawake duniani wakipata tabu kushika mimba.madaktar nchini uswiz wamefanikiwa kuhamisha mfuko wa kizazi toka kwa mama kwenda kwa mwanaye ambaye aliolewa na kushindwa kushika mimba.imeelezwa kama mimba hiyo itazaliwa tatizo la ugumba kwisha.