kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Huu ni ukweli Tanzania Hakuna timu ambayo inaweza kuleta kombe lolote la africa zaidi ya yanga
Yanga ndo timu kubwa Tanzania.
Kama real madrid alivyo timu kubwa Spain
Na wengine wengi
Apa na ongelea ukubwa wa makombe ya ndani
Kwa hiyo basi Tanzania wanasubiri yanga wajue kucheza michezo ya africa ili walete heshima ya nchi hawa wengine watakuwa kama vita club tu kila mara kufika kwenye robo au wanaweza kufika final lakini kombe hawapati
Yanga ndiyo fahari ya Tanzania
Na ninafikiri uko mbele hakuna miaka zaidi ya moja yanga hawajajua jinsi gani ya kucheza michuano ya kimataifa
Yanga ndo timu kubwa Tanzania.
Kama real madrid alivyo timu kubwa Spain
Na wengine wengi
Apa na ongelea ukubwa wa makombe ya ndani
Kwa hiyo basi Tanzania wanasubiri yanga wajue kucheza michezo ya africa ili walete heshima ya nchi hawa wengine watakuwa kama vita club tu kila mara kufika kwenye robo au wanaweza kufika final lakini kombe hawapati
Yanga ndiyo fahari ya Tanzania
Na ninafikiri uko mbele hakuna miaka zaidi ya moja yanga hawajajua jinsi gani ya kucheza michuano ya kimataifa