Hakuna tofauti kati ya biashara na ajira

Hakuna tofauti kati ya biashara na ajira

IMG_2249.JPG


Hayo maneno yanaweza kukufumbua macho
 
Ulinganishi wako asee sio relevant kabisa
Niliwai fanya kazi financial instituation flan na nlideal sana na mambo ya mikopo.

Nakupa mifano kwa vitendo
1. Nlikua nkishika salary slip za waajiriwa wengi wao wa serikali asilimia 99.5% hawakuwai fikisha Salary inayo zidi 5M per Month na kama walikuepo niwachache sana
Ambapo kuna wafanyabiashara wadogo tu wanapata zaidi ya iyo pesa na niweng sana mfano nina jamaa namfahamu yupo Mbagala anauza kuku wa kukaanga tena bloir kwa siku anauza sio chini ya kuku 70 na kwa mwezi asipo uza sana mauzo yakipungua anafunga na 2M as profit sio sale naomba uwelewe apo. Kwa mauzo ayo just assume mtu ametoka chuo na degree yake unajua analipwa kima cha chini sh ngapi? Not more than 800K na unajua mpka afike kwenye 2M inahitajika effort gani? Inabidi ajiendeleze kitaaluma ( for instance 2 yrs ili awe na master degree ) mda huu mtu anasoma kubost mshahara wake na kupandishwa jua mwenye biashara atakua mbali

2. Wafanyakazi wengi wa serikali wanalipwa mishahara ya kipumbavu na si tu serikalin ata sector binafsi mfano unajua customer care wa voda na tigo wanalipwa sh ngapi not more than 450k pitisha apo income tax, Nssf , wengine loan board toa apo 15% na bima wanarudi nyumbani na 280k - 340k w
Je unajua kuna wamama uko mbande wanafuga kuku kwa mtaji wa 1.5M na wanapata faida ya almost 750k

Aya unajua mwalimu wa primary mwenye diploma analipwa sh ngapi 419,000 kama basic take home apo inaweza fika ata laki 280,000 jua akikopa apo atapokea 130,000 na kitu


Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa unajua wanalipwa between 4-6M sema wanaposh na kwakua wapo kwenye system wanajua wanayoyafanya kupata pesa

Mfano mwingine

Najua unajua wakufunzi wengi wa vyuo vikuu wale maprofessor na madokta unajua wanalipwa kiasi gani ?
Haizidi 8M mkuu sema kinacho wabeba wanakua na posho na marupu rupu mengi na wanatengeneza pesa nyingi nje ya ajira mfano wanaandika ma proposal wanafundisha part time na mambo mengine je wametumia muda gani kuarchie ivyo vitu kama sio chini ya miaka 7-10 ila mfanyabiashara kwa muda uo atakua mbali sana.


Kuna kipindi nliwai shika salary slip ya daktari mmoja mpk anaenda staafu alikua ajagusa 5M

Uko mabank Unajua mateller wanapo anza wanalipwa kiasi gani ? Wengine mpaka 550,000 sema benefit wanazo pata ni bonus pamoja na loan za magari na nyumba zisizo na interest

Biashara inafaida zake na hasara zake lakini pia ajira inafaida zake na hasara japo
Ajira faida yake ni kua tu mtu anakua assured kila mwezi ata pokea fixed amount uki biashara mtu anaiaji ku struggle ili asishuahe mauzo

Ajira mtu anatumia salary kama collateral ya mkopo so anauwezo wa kujenga ila kwa biashara mtu kupata mkopo kwa biashara inayo anza ni ngumu na akipata ni mdogo

Ajira mtu anafaida ya Social security scheme baaada ya kustaafu ila kwa biashara hakuna labda kama alikua anafanya saving

Fatilia watu wengi walio staafu wakapata pesa zao asilimia kubwa awaendelei coz hawana elimu za biashara nje ya ajira zao

So naungana na mdau apo juu kuwa biashara inalipa sana kama ukiwa na nidhamu na ukijua unachofanya ila ajira ni utumwa uliokithiri na ulemavu wa kufikilisha ubongo
 
Mkuu umejaribu kupita au kupata exposure kwenye makampuni binafsi?...

Tuanze na haya
1. Biashara kama Mo.entreprises hiwesi fananisha na mkurujenzi yoyote wa juu hata spate mshahara was bill 5 Kwa mwaka ,mfano MEtl INA revenue za bilioni 70 kwenye vinywaji tu na trilioni 2 Kwa ujumla .sasa assume Net Margin in 25% ? Mkurugenzi gani was juu anapata bil hata 10 mashahara?

-mkurugenzi anaelipwa sana mfano Kenya anapata tsh mil 200 Kwa mwezi late CEO wa safaricom

2. Ukizungumzia SMEs labda sanasana medium enterprises....ila large enterprises wapo watanzania wanazimiliki zikitengeneza faida bilioni hadi 10 Kwa mwaka

3.Unawajua watanzania wenyehisa nyingi kwenye mabenki?au taasisi kubwa hapa tanzania?.......
CEO wote mfano hapa tanzania share based compensations sijawahi ona kwenye large businesses anaemiliki hata 1% ,compensation ni ndogo sana ukilinganisha na dividends or residual /reserves
4.in general employees wanakula 10-20% ,shareholders they take it all

5.Biashara ni kaz pia kama kazi nyingime ,Luna wafanyabiasahra wadogo na wakubwa,pia kunawafanyakazi wadogo na wakubwa...............sio kila MTU anaweza Fanya Biashara,ila kama una passion na capability ,

Biashara it pays than salary ,sababu sekta binafsi ndio imeajiri sana kuliko hata serikali....sekta rasmi pia IPO mbele kwenye ajira ,ambapo Biashara zinamilikiwa na watu
Nafhani jamaa anazungumzia chances za kutoboa kufikia hiyo level ya Metl ni ndogo sana kuliko muajiriwa kula maisha...

Msoto wa kusimamisha biashara sio wa kitoto
 
Mara nyingi tunachanganya biashara, kazi na kujiajiri.

Iko hivi:
1. Mfanyakazi ni Mtu aliye ajiriwa au amejiajiri awe mchuuzi au mjasiriamali. Utakuwa mfanyakazi kama kipato chako kinategemea uwepo wako sehemu ya kazi.

2. Mfanyabiashara ni mtu ambaye amejenga taasisi ambayo mara nyingi ni kampuni, yenye mifumo na utaratibu rasmi wa uendeshaji wake. Hapa mwenye kampuni anaweza kupata faida hata kama hafanyi kazi. Kwa sababu kuna watu wanamfanyia kazi.

Tofauti na kazi, biashara inaingiza pesa hata bila mmiliki kuwepo au kuhusika. Mara nyingi mmiliki akishaweka mifumo madhubuti anakaa pembeni na ana oversee kwa juu pale na kuweka mikakati zaidi..

Biashara inaweza kurithishwa lakini lazi haiwezi kurithishwa. Ukiwa CEO wa kampuni kubwa hata kama unalipwa ma billion uki retire au kufa ndo mwisho wa mabilioni yako. Watoto au familia yako haiwezi kurithi kazi yako.

Utajiri unakuja pale ambapo mtu anakuwa na biashara (portifolio) zaidi ya moja. Umeshaweka mipango yako wewe unapata gawio tu, huku ukiendelea kula bata.

Infact mtoa mada ana point, kwa sababu watu wengi wanaojiita wafanyabiashara ni wafanyakazi waliojiajiri. Wabongo hatuna utamaduni wa kuweka mifumo na utaratibu wa usimamizi wa biashara zetu kiasi kwamba muhusika mkuu akiondoka na biashara inakufa.
Nitatofautiana na wewe kwenye maana ya mfanyabiashara. Naona wewe unachanganya maana ya mfanyabiashara na mifumo ya kufanyia baishara.

Mfanyabiashara, huyu ni mtu yeyote anayefanya biashara halali. Biashara ni kitendo cha mtu au watu ktk mfumo wa kibiashara waliouchagua, kuuza huduma au bidhaa kwa nia ya kupata fedha. Biashara inaweza kuwa for profit or for charitable cause. Inaweza kumilikiwa na serikali au watu binafsi.

Now...mifumo ya kufanya biashara ni ipi kwa hapa Tz?
1. Sole proprietor..huyu ni mfanyabiashra binafsi, yaani mtu mmoja anaamua kufungua business yeye kama yeye, na anaimiliki yeye mwenyewe. Eg mangi kafungua kiosk chake mtaani, au mtu kaweka kibanda cha Mpesa, Au kanunua daladala 10 kazisajili kwa jina lake zinapiga mzigo daily. In short ni biashara yoyote ile halali, ila inamilikiwa na mtu binafsi, individually.
Disadvantage ya mfumo huu wa kibiashara ni kuwa mmiliki akifa na biashara inasimama maana owner hayupo, na itakuwa sehemu ya mirathi yake itakayogawiwa kwa wanafaika wa mirathi hiyo.

Pia mfumo huu hauna kikomo cha uwajibikaji kama ilivyo kwa makampuni...lolote likitokea utashitakiwa mmiliki personally.

2. Ubia/partnership
Wabia, na watu kuanzia wawili na kuendelea ambao wameamua kushirikiana kubiashara, wakigawana faida na hasara. Wanaweza kusajili jina lao la kibiashara. Usually huwa mnatengeneza mkataba wenu wa ubia(parnership deed, ikielezea taratibu za ubia huo)
Mfumo huu pia hauno ukomo wa uwajibikaji(limited liability), mnaweza kushitakiwa wabia wote hata kama ni partner mmoja ndiye kazingua huko nje. Au mdai anaweza kumchagua partner anyeonekana ana ukwasi ndiyo akamshitaki, Na mali zenu binafsi zinaweza kutumika kufidia madeni ya ubia wenu.

Ubia unaweza kuisha pale ambapo mbia mmoja akifariki, au kwa makubaliano ya wabia wote, au kwa amri ya mahakama, au kusudio la ubia likiisha, mfano wapo wanoingia kwenye ubia kukamilisha project fulani, hiyo project ikiisha na ubia umeisha.

Kodi hulipwa na kila mbia personally kwa kila pato apatalo katika ubia huo.

3. Kampuni.
Kisheria zetu, kampuni ikishasajiliwa ni mtu kabisa(artificial person) anayemiliki mali zake, anaajiri wafanyakazi, anaweza kushitaki au kushitakiwa n.k ila nyuma ya mtu huyo, yaani kampuni wamejificha watu waitwao wanahisa.

Mfumo huu wa biashara una ukomo wa uwajibikaji, yaani limited liability. Ikiwa na maana ya kuwa mashitaka yanayoihusu kampuni yataihusu kampuni pekee na si wanahisa, mali binafsi za wanahisa hazitatumika kwenye kulipa madeni ya kampuni.

Isipokuwa mwanahisa atawajibika kwa kiwango cha hisa zake ktk kampuni ambazo alikuwa hajazilipia. Eg kama mwanahisa alikuwa na hisa 50, na amelipia 30 walipofanya kitu kiitwacho kitaalamu "call of shares", basi ikitokea kampuni inawajibika au inavunjwa basi mwanahisa huyo atalipa thamani ya hisa zake 20 tu ambazo alikuwa hajazilipia na si zaidi ya hapo.

Ni katika mazingira machache sana ambako wanahisa wenyewe wanaweza kushitakiwa personally, hii kitaalamu tunaita "...lifting of the veil of incorporation"

Kodi hulipwa na kampuni lenyewe likitengeneza faida, na pia gawio la wanahisa (dividend) nalo hukatwa kodi. Kampuni linaweza kurithishwa vizazi na vizazi.

Kampuni linaweza kuwa la umma, yaani public limited company, haya ni makampuni ambayo yanauza hisa kwa wananchi kwenye soko la hisa la Dar, DSE. Mfano CRDB na Vodacom. Kampuni linaweza kuwa private, yaani linamilikiwa na watu wanaoanzia wawili lakini hawazidi 50. Kampuni linaweza kuwa la charity, not for profit, limited by guarantee.

Lastly, ipo mifumo mingi ya ku earn money, unaweza kuajiriwa na wamiliki wa biashara kwenye mifumo niliyoitaja hapo juu. Unaweza kumiliki biashara kama sole proprietor, au ukaingia kwenye ubia na mtu/watu. Unaweza kumiliki kampuni ambao ni mfumo bora kabisa kuliko hiyo ya mwanzo miwili. Lakini yote kwa yote, unaweza kuwa Investor ktk makampuni yanayouza hisa.
 
Ulinganishi wako asee sio relevant kabisa
Niliwai fanya kazi financial instituation flan na nlideal sana na mambo ya mikopo.

Nakupa mifano kwa vitendo
1. Nlikua nkishika salary slip za waajiriwa wengi wao wa serikali asilimia 99.5% hawakuwai fikisha Salary inayo zidi 5M per Month na kama walikuepo niwachache sana
Ambapo kuna wafanyabiashara wadogo tu wanapata zaidi ya iyo pesa na niweng sana mfano nina jamaa namfahamu yupo Mbagala anauza kuku wa kukaanga tena bloir kwa siku anauza sio chini ya kuku 70 na kwa mwezi asipo uza sana mauzo yakipungua anafunga na 2M as profit sio sale naomba uwelewe apo. Kwa mauzo ayo just assume mtu ametoka chuo na degree yake unajua analipwa kima cha chini sh ngapi? Not more than 800K na unajua mpka afike kwenye 2M inahitajika effort gani? Inabidi ajiendeleze kitaaluma ( for instance 2 yrs ili awe na master degree ) mda huu mtu anasoma kubost mshahara wake na kupandishwa jua mwenye biashara atakua mbali

2. Wafanyakazi wengi wa serikali wanalipwa mishahara ya kipumbavu na si tu serikalin ata sector binafsi mfano unajua customer care wa voda na tigo wanalipwa sh ngapi not more than 450k pitisha apo income tax, Nssf , wengine loan board toa apo 15% na bima wanarudi nyumbani na 280k - 340k w
Je unajua kuna wamama uko mbande wanafuga kuku kwa mtaji wa 1.5M na wanapata faida ya almost 750k

Aya unajua mwalimu wa primary mwenye diploma analipwa sh ngapi 419,000 kama basic take home apo inaweza fika ata laki 280,000 jua akikopa apo atapokea 130,000 na kitu


Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa unajua wanalipwa between 4-6M sema wanaposh na kwakua wapo kwenye system wanajua wanayoyafanya kupata pesa

Mfano mwingine

Najua unajua wakufunzi wengi wa vyuo vikuu wale maprofessor na madokta unajua wanalipwa kiasi gani ?
Haizidi 8M mkuu sema kinacho wabeba wanakua na posho na marupu rupu mengi na wanatengeneza pesa nyingi nje ya ajira mfano wanaandika ma proposal wanafundisha part time na mambo mengine je wametumia muda gani kuarchie ivyo vitu kama sio chini ya miaka 7-10 ila mfanyabiashara kwa muda uo atakua mbali sana.


Kuna kipindi nliwai shika salary slip ya daktari mmoja mpk anaenda staafu alikua ajagusa 5M

Uko mabank Unajua mateller wanapo anza wanalipwa kiasi gani ? Wengine mpaka 550,000 sema benefit wanazo pata ni bonus pamoja na loan za magari na nyumba zisizo na interest

Biashara inafaida zake na hasara zake lakini pia ajira inafaida zake na hasara japo
Ajira faida yake ni kua tu mtu anakua assured kila mwezi ata pokea fixed amount uki biashara mtu anaiaji ku struggle ili asishuahe mauzo

Ajira mtu anatumia salary kama collateral ya mkopo so anauwezo wa kujenga ila kwa biashara mtu kupata mkopo kwa biashara inayo anza ni ngumu na akipata ni mdogo

Ajira mtu anafaida ya Social security scheme baaada ya kustaafu ila kwa biashara hakuna labda kama alikua anafanya saving

Fatilia watu wengi walio staafu wakapata pesa zao asilimia kubwa awaendelei coz hawana elimu za biashara nje ya ajira zao

So naungana na mdau apo juu kuwa biashara inalipa sana kama ukiwa na nidhamu na ukijua unachofanya ila ajira ni utumwa uliokithiri na ulemavu wa kufikilisha ubongo
Mkuu umeandika vizuri sana tena na mifano hai lukuki. Ubarikiwe.
 
Kumbuka hakuna ajira anayorithishwa mtoto ila mzazi ukiparangana ukafika kiwango fulani ukawa namtoto mjanja anaendeleza ndo unawapata akina MO leo sio kwamba alianza zero akawa alipo bali kuna mtu alianza yy akaendeleza na atarithisha je ww unarithisha nafasi ya ukurugenzi?

Au tuseme umefikia nafasi fulani bado kidogo uwe mkurugenzi je utarithisha hiyo nafasi na mtoto aanzie hapo? Tofauti ni kubwa mno mkuu tuache utani ila kama hauko interested usishawishi na wengine.
 
We jamaa kuna sehemu utakua umekopi.

Mimi mwaka 2017 kwa mara ya kwanza nilisafiri Dar kwenda Songea,baada ya kukaa siku 3 ndo nikawaona wale dagaa nyasa nikawapenda nikajaribu kuleta Dar kuuza aisee biashara ina raha ndugu yangu hapo bado mwanafunzi tu sina muda wa kutisha lakini niliweza kupata faida ya laki 150+ kwenye kila mzigo wa laki 2 na hapo niliuza kwa bei ya chini sana kuliko wengine.

Futa hayo mawazo mgando maana hata wewe ulipoajiriwa aliyekuajiri ni mfanya biashara pia.
Salam wajomba na mashangazi,

Kumekuwa na tabia ya watu kutaka kuumwambfy ujasiriamali/biashara na kuufanya uonekane ni bora zaidi mara elfu moja ya ajira lakini ukichunguza kwa makini advantage iliopo katika ujasiriamali ni ndg sana.kivp? angalia hapa.
Ulinganishi wa juu
Wafanyabiashara wakubwa kama Mo na bakhresa hawawazidi sana wakurugenzi na mameneja wa makampuni makubwa na mabenki maana hawa huwa na hisa katka makampuni hayo na hupata mgao mkubwa sana ila tu sabab wao sio maarufu watu hawafahamu.

Kwaiyo kuwa mwajiriwa katk nafs za juu ya taasisi ni njia mojawapo ya kutajirika,usiseme ni ngumu kufika huko sabab kutajirika kama mo na bakhresa ni ngum zaidi.

Ulinganishi wa kati
Wafanyabiashara wenye kipato cha kati kwenye range ya 5,000,000 - 100,000,000 net profit kwa mwezi. Nao hawatofautiani sana na waajiriwa kwenye taasisi kubwa za binafsi.usiseme taasisi za binafsi ni wachache hata wafanyabiashara wanaopata hiyo faida kwa mwezi ni wachche mnoo na wanatumia mda mwingi na kazi ngum na uvumilivu kufikia hapo ukilinganisha na waajiriwa wanaopata kipato sawa na hicho kwa mwezi.

Ulinganishi wa chini
Kundi hili la wafanyabiashara wadg ndio liko hoi zaidi ukilinganisha na wenzao walioajiriwa , yani hawa wakiteleza kidg tu mtaji wte chali.wengi wao hupata wakati mgumu sana kukukza biashra zao na ni aslimia ndg kati yao hufanikiwa kupanda kwenda kundi la kati, pia hutumia muda mrefu sana ukilinganisha na wenzao walioajiriwa .

Ushauri wangu, usitishwe na habar za biashara.cha msingi tumia rasililimali ulizonazo kupata elimu hasa katika masuala ya sayansi na biashara .
Mfano mtu mwenye elimu ngazi ya shahada ya uzamili (masters)katika masuala ya engineering, medicine , law, finance ana nafsi kubwa ya kufanikiwa maisha kuliko mtu anaeanza biashara
No hard feelings, just common sense!.
 
Kwenye orodha ya matajiri Duniani.... hakuna tajiri mwajiriwa....ni kweli kuwa inahitaji jitihada kubwa na maarifa kujiajiri na ikakulipa....ila kama unahitaji mafanikio ya uhakika katika maisha basi kujiajiri ndio njia sahihi....kuajiriwa iwe njia ya kupitia kutafutia mitaji hasa kwa sisi tuliotoka katika familia za kimasikini....

Kwani hata mikopo ni rahisi kuipata ukiwa kwenye ajira....tatizo la ajira kipato chako anakupangia mtu mwengne tofauti na biashara faida unapanga wewe ....kuajiriwa ni utumwa wa kisasa na athari yake ni pale ajira inapokwisha wengi hurudi kwenye umasikini....hiyo mishahara mikubwa unayosema kwa mfanyabiashara mkubwa ni faida ya siku moja...

Watu kama kina azam wameajiri wakurugenzi na wanawalipa mishahara mikubwa kama hiyo...je wao wanaingiza kiasi gani?...mkinga kariakoo anaagiza kontena ya nguo za 500m na faida ni mara mbili....na mzigo anauza ndani ya mwezi mmoja au miwili.... mkuu muajiriwa ni masikini wa badae.... tutafute mitaji.
 
Biashara daima itabaki kuwa bora kuliko ajira kama ikiendeshwa vizuri. Uchumi wa dunia hii unaendeshwa na kukuzwa na businesses ambazo kwa sehemu kubwa ni sekta binafsi.

Hata hao mabosi unaosema wanalipwa fedha nyingi nao wapo chini ya business ambazo wameajiriwa. Jiulize ikiwa hao waajiriwa wanalipwa fedha nyingi, je wamiliki wa biashara watakuwa na fedha kiasi gani?

Kitu ambacho unatakiwa kujua ni kuwa biashara inaweza kukua na kufikia thamani kubwa sana. Jambo ambalo ajira haiwezi kufanya, ongezeko la mshahara haliwezi linganishwa na business inayokuwa.

Wote hatuwezi kuwa wafanyabiashara na wala wote hatuwezi kuwa wafanyakazi somewhere....we need each other. Ila siku zote mmiliki wa biashara ndiye anatake home a mammoth share.

Mwisho usiwadharau wafanyabiashara wadogo ukawaona wana hali duni sana. Hao mamantilie, wauza dagaa mitaani, na wengineo wengi wanawazidi kipato wafanyakazi wengi tu wa serikali au private.

Mimi kazi yangu ya kiprofessional imenikutanisha na wateja wengi wasio na elimu sana, wengine ni darasa la 7 tu...ila wana mafanikio ya kifedha makubwa sana ambayo kwa mtu anayetegemea ajira kama chanzo kikuu cha kipato kamwe hawezi kuyafikia. Usiidharau biashara mkuu.
Asante sana kwa kumwelewesha huyu jamaa. Naomba nijazie kwa mifanyo kwenye haya ya pili na ya tatu.

Haya ya 1: ni kweli kabisa ukiona mfanyakazi analipwa pesa nzuri ujue mwenye biashara anachukua kikubwa.

Niliwahi kufanyia kazi kampuni x ambayo mtu wa juu alikuwa analipwa 20m na marupurupu. Kwa mwezi tulikuwa tunaingiza 2-3 b. Jamaa wakishatoa kodi mishahara na pesa za uendeshaji walikuwa wanabakisha faida ya 700m mpaka 1b

Aya ya 2:
Nikweli kiwango cha ukuaji wa mshahara ni tofauti na ukuaji wa biashara. Biashara ina nafasi kubwa.

Hiyo kampuni x niliyoizungumzia hapo juu mtaji wake ulikuwa 100b mwenye kampuni akaamua kuiuza na ikanunuliwa kwa 400b.

Baada ya kuuzwa tulibaki na mishahara yetu ile ile lakini mwenye biashara akapata faida mara dufu. Kumbuka hapo amepata billion 300 nje ya zile milioni 700 alizokuwa akipata kwa miaka 4 toka alipoanza biashara hiyo.
 
Asante sana kwa kumwelewesha huyu jamaa. Naomba nijazie kwa mifanyo kwenye haya ya pili na ya tatu.

Haya ya 1: ni kweli kabisa ukiona mfanyakazi analipwa pesa nzuri ujue mwenye biashara anachukua kikubwa.

Niliwahi kufanyia kazi kampuni x ambayo mtu wa juu alikuwa analipwa 20m na marupurupu. Kwa mwezi tulikuwa tunaingiza 2-3 b. Jamaa wakishatoa kodi mishahara na pesa za uendeshaji walikuwa wanabakisha faida ya 700m mpaka 1b

Aya ya 2:
Nikweli kiwango cha ukuaji wa mshahara ni tofauti na ukuaji wa biashara. Biashara ina nafasi kubwa.

Hiyo kampuni x niliyoizungumzia hapo juu mtaji wake ulikuwa 100b mwenye kampuni akaamua kuiuza na ikanunuliwa kwa 400b.

Baada ya kuuzwa tulibaki na mishahara yetu ile ile lakini mwenye biashara akapata faida mara dufu. Kumbuka hapo amepata billion 300 nje ya zile milioni 700 alizokuwa akipata kwa miaka 4 toka alipoanza biashara hiyo.
Duh sio mchezo Milion Mia 700 kwamwaka?

Kujiajiri raha sana hasa ukiwa namtaji. Sisi wenye biashara ndogondogo namitaji yetu haba vipato vyetu ukivichunguza vinalingana namishahara yawalimu, manesi, namaaskari.

Ila sisi tunawigo mpana wakutanua vipato vyetu, kwamfano mwezi wakwanza nampango wakuongeza biashara nyingine ishaifanyia mahesabu nakatika hiyo biashara nikikosa sana nikitoa gharama zauendeshaji basi sitakosa laki 2 na50 kwamwezi, huo nimfano wangu mimi ambaye mtaji wangu nimdogo kwahiyo mpaka hapo nitakuwa nimeongeza kipato chalaki 2 na50.

Je niwaajiri wangapi wanaweza kuwaongezea mshahara wafanyakazi wao kiasi chalaki 2 kwamwezi?
 
Duh sio mchezo Milion Mia 700 kwamwaka?

Kujiajiri raha sana hasa ukiwa namtaji. Sisi wenye biashara ndogondogo namitaji yetu haba vipato vyetu ukivichunguza vinalingana namishahara yawalimu, manesi, namaaskari.

Ila sisi tunawigo mpana wakutanua vipato vyetu, kwamfano mwezi wakwanza nampango wakuongeza biashara nyingine ishaifanyia mahesabu nakatika hiyo biashara nikikosa sana nikitoa gharama zauendeshaji basi sitakosa laki 2 na50 kwamwezi, huo nimfano wangu mimi ambaye mtaji wangu nimdogo kwahiyo mpaka hapo nitakuwa nimeongeza kipato chalaki 2 na50.

Je niwaajiri wangapi wanaweza kuwaongezea mshahara wafanyakazi wao kiasi chalaki 2 kwamwezi?
Sio kwa miaka hiyo walikuwa wanapata kila mwezi. Yaani kwa miaka ni milioni 700 x miezi 12.

Kwa kweli kama unaweza kujiajiri bora ufanye hivyo.

Nyongeza ya mishahara huwa nibkila Baada ya contract kuisha kwa upande wa private sector na kiasi kinachoongezwa so zaidi ya asilimia 10 ya mishahara wako.
 
WADAU HEBU TUELEWANE VIZURI

1. Kuajiriwa na kujiajiri wote wawili mnakuwa mnatafuta JOB; tofauti yenu ni "Degree of freedom", wa pili anaweza akachelewa kazini hata nusu saa kama hana attittude nzuri na asifanywe chochote na yeyote. Ila wa kwanza avute hata dakika 5 tu, atakiona cha moto, atafanywa mbaya, mara warning letter, mara kikao na H.R e.t.c

2. Mfanya biashara " mkubwa" kama mo** yuko tofauti kabisa. Kumbuka kuwa anafanya kitu kilekile kama cha aliyejiajiri but he is SMART.
-Hana job
-Kodi halipi kizembe (anajua kukwepa kodi).
-Hatumii pesa zake jamani; nimewasoma baadhi ya wadau hapo juu wamekazana "mpaka uwe na mtaji mkubwa, mara hela nyingi n.k" it doesn't work like that; watu hawa ni smart wanatumia hela zenu hizo mnazoziita 'ndogo'. Anazikusanya huko huko unakopeleka, bank au Pension funds i don't care na wanampa anazifanyia anachotaka kwa promise ya 'small percent'
-Hatumii nguvu zake au talent yake; anategemea usomeshe mtoto wako au ndugu yako apate hiyo masters au P.h.d, halafu yeye ainunue kwako kwa kuwa wewe mwenzangu na mie hujui jinsi ya kuitumia.

3. Mwekezaji a.k.a "Investor" this guy ndo Smart kupitiliza, we unahangaika unakuza kibiashara chako, na unahisi ni muda wa kukipeleka DSE; Jamaa ndo anakuja;
- Anaangalia una perform kiasi gani kwenye biashara zako annual returns
-Anakadiria future yako itakuwaje; halafu ananunua sehemu ya biashara yako kwa njia ya hisa.
-Sehemu inayobakia anakuachia wewe, uendeshe, usimamie mara mfanyakazi kazingua, mara T.R.A n.k yeye kakunja nne anasubiria R.O.I
 
WADAU HEBU TUELEWANE VIZURI

1. Kuajiriwa na kujiajiri wote wawili mnakuwa mnatafuta JOB; tofauti yenu ni "Degree of freedom", wa pili anaweza akachelewa kazini hata nusu saa kama hana attittude nzuri na asifanywe chochote na yeyote. Ila wa kwanza avute hata dakika 5 tu, atakiona cha moto, atafanywa mbaya, mara warning letter, mara kikao na H.R e.t.c

2. Mfanya biashara " mkubwa" kama mo** yuko tofauti kabisa. Kumbuka kuwa anafanya kitu kilekile kama cha aliyejiajiri but he is SMART.
-Hana job
-Kodi halipi kizembe (anajua kukwepa kodi).
-Hatumii pesa zake jamani; nimewasoma baadhi ya wadau hapo juu wamekazana "mpaka uwe na mtaji mkubwa, mara hela nyingi n.k" it doesn't work like that; watu hawa ni smart wanatumia hela zenu hizo mnazoziita 'ndogo'. Anazikusanya huko huko unakopeleka, bank au Pension funds i don't care na wanampa anazifanyia anachotaka kwa promise ya 'small percent'
-Hatumii nguvu zake au talent yake; anategemea usomeshe mtoto wako au ndugu yako apate hiyo masters au P.h.d, halafu yeye ainunue kwako kwa kuwa wewe mwenzangu na mie hujui jinsi ya kuitumia.

3. Mwekezaji a.k.a "Investor" this guy ndo Smart kupitiliza, we unahangaika unakuza kibiashara chako, na unahisi ni muda wa kukipeleka DSE; Jamaa ndo anakuja;
- Anaangalia una perform kiasi gani kwenye biashara zako annual returns
-Anakadiria future yako itakuwaje; halafu ananunua sehemu ya biashara yako kwa njia ya hisa.
-Sehemu inayobakia anakuachia wewe, uendeshe, usimamie mara mfanyakazi kazingua, mara T.R.A n.k yeye kakunja nne anasubiria R.O.I
Hao wafanya biashara wote ni investor pia Note.
 
The funny thing hata dunia ya kwanza waajiriwa wapo,wanaojiajiri pia wapo.
Kikubwa ni kuangalia tu unataka nini,kwa uzoefu wangu mdogo was nchi ya Tanzania mazingira ya kujiajiri na kutoboa ni magumu mno.

Yaani ukifanya survey ya mtumishi wa mwisho kwa mshahara serikalini maisha yake ni mazuri mara 10 ya wafanyabiashara/wajasiriamali wengi.

I.e.wajasiriamali wengi wa Tanzania ambao wesema wamejiajiri wanapata tu hela ya kula,yaani mitaji yao ni chini ya milioni 1.

kitu ambacho mtu aliyeajiriwa anaweza kukifanya muda wowote.
*hali ya umasikini wa wajasiriamali wadogo ni kubwa mno,kuliko wa watumishi wa serikali wanaopata ujira/mshahara mdogo*,ingawa wenye pesa nyingi ni wajasiriamali.

Watu wanazungumzia Uhuru..........mfanya biashara ambaye anapata laki 5 kwa mwezi,wengi wanafanya kazi zaidi ya masaa 12 hawana weekend hawana sikuu.
Wakati mwalimu wa aina hiyo anafanya kazi masaa 8 siku 5,ana weekend,ana sikukuu,......akitoka kazini ana boda boda.
Anaonesha video.

Mwisho kibongo bongo wengi wamekua wajasiriamali baada ya kufeli shule na kukosa kuajiriwa na si kama wanapasssion na biashara.

Kikubwa ni kuchagua unapoona unafaa,ukiajiriwa humrithishi mwanao ajira,ila hata ukijiajiri millioni 50(pesa ambayo zaidi ya 50% ya wafanyabiashara wa bongo ndio mitaji yao ama chini ya hapo),huwezi warithisha watoto wako 3 na mke wako, nao waje kua na hizo.

Kikubwa uangalie tu unapoona unafaa........mwajiriwa anayelipwa milioni 2 kwa mwezi ni ngumu umshawishi akalime matikiti maji akitegemea apate millioni 50,kwa hesabu za makaratasi wakati anaona mjini yanauzwa 500,tena wanayoyauza anaenda kazini anawaona anarudi anawaona.............
 
Salam wajomba na mashangazi,

Kumekuwa na tabia ya watu kutaka kuumwambfy ujasiriamali/biashara na kuufanya uonekane ni bora zaidi mara elfu moja ya ajira lakini ukichunguza kwa makini advantage iliopo katika ujasiriamali ni ndg sana.kivp? angalia hapa.
Ulinganishi wa juu
Wafanyabiashara wakubwa kama Mo na bakhresa hawawazidi sana wakurugenzi na mameneja wa makampuni makubwa na mabenki maana hawa huwa na hisa katka makampuni hayo na hupata mgao mkubwa sana ila tu sabab wao sio maarufu watu hawafahamu.

Kwaiyo kuwa mwajiriwa katk nafs za juu ya taasisi ni njia mojawapo ya kutajirika,usiseme ni ngumu kufika huko sabab kutajirika kama mo na bakhresa ni ngum zaidi.

Ulinganishi wa kati
Wafanyabiashara wenye kipato cha kati kwenye range ya 5,000,000 - 100,000,000 net profit kwa mwezi. Nao hawatofautiani sana na waajiriwa kwenye taasisi kubwa za binafsi.usiseme taasisi za binafsi ni wachache hata wafanyabiashara wanaopata hiyo faida kwa mwezi ni wachche mnoo na wanatumia mda mwingi na kazi ngum na uvumilivu kufikia hapo ukilinganisha na waajiriwa wanaopata kipato sawa na hicho kwa mwezi.

Ulinganishi wa chini
Kundi hili la wafanyabiashara wadg ndio liko hoi zaidi ukilinganisha na wenzao walioajiriwa , yani hawa wakiteleza kidg tu mtaji wte chali.wengi wao hupata wakati mgumu sana kukukza biashra zao na ni aslimia ndg kati yao hufanikiwa kupanda kwenda kundi la kati, pia hutumia muda mrefu sana ukilinganisha na wenzao walioajiriwa .

Ushauri wangu, usitishwe na habar za biashara.cha msingi tumia rasililimali ulizonazo kupata elimu hasa katika masuala ya sayansi na biashara .
Mfano mtu mwenye elimu ngazi ya shahada ya uzamili (masters)katika masuala ya engineering, medicine , law, finance ana nafsi kubwa ya kufanikiwa maisha kuliko mtu anaeanza biashara
No hard feelings, just common sense!.
Umetazama masuala kama kujipangia muda, mapumziko, scaling ya mapato, kumnyenyekea mtu, n.k?
 
WADAU HEBU TUELEWANE VIZURI

1. Kuajiriwa na kujiajiri wote wawili mnakuwa mnatafuta JOB; tofauti yenu ni "Degree of freedom", wa pili anaweza akachelewa kazini hata nusu saa kama hana attittude nzuri na asifanywe chochote na yeyote. Ila wa kwanza avute hata dakika 5 tu, atakiona cha moto, atafanywa mbaya, mara warning letter, mara kikao na H.R e.t.c

2. Mfanya biashara " mkubwa" kama mo** yuko tofauti kabisa. Kumbuka kuwa anafanya kitu kilekile kama cha aliyejiajiri but he is SMART.
-Hana job
-Kodi halipi kizembe (anajua kukwepa kodi).
-Hatumii pesa zake jamani; nimewasoma baadhi ya wadau hapo juu wamekazana "mpaka uwe na mtaji mkubwa, mara hela nyingi n.k" it doesn't work like that; watu hawa ni smart wanatumia hela zenu hizo mnazoziita 'ndogo'. Anazikusanya huko huko unakopeleka, bank au Pension funds i don't care na wanampa anazifanyia anachotaka kwa promise ya 'small percent'
-Hatumii nguvu zake au talent yake; anategemea usomeshe mtoto wako au ndugu yako apate hiyo masters au P.h.d, halafu yeye ainunue kwako kwa kuwa wewe mwenzangu na mie hujui jinsi ya kuitumia.

3. Mwekezaji a.k.a "Investor" this guy ndo Smart kupitiliza, we unahangaika unakuza kibiashara chako, na unahisi ni muda wa kukipeleka DSE; Jamaa ndo anakuja;
- Anaangalia una perform kiasi gani kwenye biashara zako annual returns
-Anakadiria future yako itakuwaje; halafu ananunua sehemu ya biashara yako kwa njia ya hisa.
-Sehemu inayobakia anakuachia wewe, uendeshe, usimamie mara mfanyakazi kazingua, mara T.R.A n.k yeye kakunja nne anasubiria R.O.I
Sawa kiongozi , ila ujue faida ya investments sio ya kirahisi kama ulivyoisema , Hasa zile hisa za equity ambazo zinampa muwekezaji umiliki wa moja kwa moja wa rasilimali za uzalishaji.jahazi likienda mrama anakua wa mwisho kulipwa ka ma kitabaki chchte.

Hisa nyingine kama bond zinalipa fixed amount kwa mda flani na huwa ni kiasi kidg mnoo , mpk uwekeze fedha nyingi sna ndo utapata malipo ya maana. So sio simple kma unavyoiweka.
 
Umetazama masuala kama kujipangia muda, mapumziko, scaling ya mapato, kumnyenyekea mtu, n.k?
Mkuu mwajiriwa anaetafuta sympathy kwa boss wake ni yule ambaye uwezo wake wa kutenda kazi ni mdogo.mchapakazi na mtaalam katika fani yake kamwe hawezi kujipendekeza kwa boss.huwa kuna mitual respect kati yake na boss maana boss akizingua tu kuna waajiri wengine wengi wanamuhitaji.
 
Ulinganishi wako asee sio relevant kabisa
Niliwai fanya kazi financial instituation flan na nlideal sana na mambo ya mikopo.

Nakupa mifano kwa vitendo
1. Nlikua nkishika salary slip za waajiriwa wengi wao wa serikali asilimia 99.5% hawakuwai fikisha Salary inayo zidi 5M per Month na kama walikuepo niwachache sana
Ambapo kuna wafanyabiashara wadogo tu wanapata zaidi ya iyo pesa na niweng sana mfano nina jamaa namfahamu yupo Mbagala anauza kuku wa kukaanga tena bloir kwa siku anauza sio chini ya kuku 70 na kwa mwezi asipo uza sana mauzo yakipungua anafunga na 2M as profit sio sale naomba uwelewe apo. Kwa mauzo ayo just assume mtu ametoka chuo na degree yake unajua analipwa kima cha chini sh ngapi? Not more than 800K na unajua mpka afike kwenye 2M inahitajika effort gani? Inabidi ajiendeleze kitaaluma ( for instance 2 yrs ili awe na master degree ) mda huu mtu anasoma kubost mshahara wake na kupandishwa jua mwenye biashara atakua mbali

2. Wafanyakazi wengi wa serikali wanalipwa mishahara ya kipumbavu na si tu serikalin ata sector binafsi mfano unajua customer care wa voda na tigo wanalipwa sh ngapi not more than 450k pitisha apo income tax, Nssf , wengine loan board toa apo 15% na bima wanarudi nyumbani na 280k - 340k w
Je unajua kuna wamama uko mbande wanafuga kuku kwa mtaji wa 1.5M na wanapata faida ya almost 750k

Aya unajua mwalimu wa primary mwenye diploma analipwa sh ngapi 419,000 kama basic take home apo inaweza fika ata laki 280,000 jua akikopa apo atapokea 130,000 na kitu


Wakuu wa wilaya na wakuu wa mikoa unajua wanalipwa between 4-6M sema wanaposh na kwakua wapo kwenye system wanajua wanayoyafanya kupata pesa

Mfano mwingine

Najua unajua wakufunzi wengi wa vyuo vikuu wale maprofessor na madokta unajua wanalipwa kiasi gani ?
Haizidi 8M mkuu sema kinacho wabeba wanakua na posho na marupu rupu mengi na wanatengeneza pesa nyingi nje ya ajira mfano wanaandika ma proposal wanafundisha part time na mambo mengine je wametumia muda gani kuarchie ivyo vitu kama sio chini ya miaka 7-10 ila mfanyabiashara kwa muda uo atakua mbali sana.


Kuna kipindi nliwai shika salary slip ya daktari mmoja mpk anaenda staafu alikua ajagusa 5M

Uko mabank Unajua mateller wanapo anza wanalipwa kiasi gani ? Wengine mpaka 550,000 sema benefit wanazo pata ni bonus pamoja na loan za magari na nyumba zisizo na interest

Biashara inafaida zake na hasara zake lakini pia ajira inafaida zake na hasara japo
Ajira faida yake ni kua tu mtu anakua assured kila mwezi ata pokea fixed amount uki biashara mtu anaiaji ku struggle ili asishuahe mauzo

Ajira mtu anatumia salary kama collateral ya mkopo so anauwezo wa kujenga ila kwa biashara mtu kupata mkopo kwa biashara inayo anza ni ngumu na akipata ni mdogo

Ajira mtu anafaida ya Social security scheme baaada ya kustaafu ila kwa biashara hakuna labda kama alikua anafanya saving

Fatilia watu wengi walio staafu wakapata pesa zao asilimia kubwa awaendelei coz hawana elimu za biashara nje ya ajira zao

So naungana na mdau apo juu kuwa biashara inalipa sana kama ukiwa na nidhamu na ukijua unachofanya ila ajira ni utumwa uliokithiri na ulemavu wa kufikilisha ubongo
I love this
 
Back
Top Bottom