Kilichopigiwa kura zaidi ni sera ya kuilinda Marekani, Sera za Democrats zimeiharibu sana Marekani,
Haya ni baadhi ya mambo waliyofanya Bidden na Haris kwenye awamu yao, Trump kashinda kwasababu kaapa anaenda kuyafuta na kuyarekebisha.
Mfumuko wa bei na maisha kuwa juu, vyuma vimekaza Marekani, watu wengi uchumi daraja la chini la kati waliofanya kazi 1 kukidho mahitaji yao lakini awamu hii wanafanya kazi 2, Wamarekani wengi hawakuwa tayari kumpa kura Harris kwasababu angefanya maisha yawe magumu zaidi kiuchumi, Vitu vya muhimu kama chakula, mafuta, umeme, Kodi za nyumba n.k vimepanda mno gharama, Ndio sababu ya wanawake wengi wanaoshinda nyumbani wakiwa na uhakika wa kupokea pesa za matunzo na pesa za malezi ya mtoto wamempigia kura Harris lakini wanaume na wanawake wengi wanaojitafutia pesa wamemchagua Trumo
Ongezeko la kodi na kuwatoza kodi wafanyakazi kwenye Tips na overtime, Kwa marekani ni utamaduni uliozoeleka ukiuhudumiwa na watu kama waiter unatoa tip, hii huwa inapigwa kodi, Overtime masaa ya ziada kazini yanapigwa kodi.
Kuruhusu wanaume kubadili jinsia na kuishi kwenye hostel za wanafunzi wa kike, kuoga nao kwenye mabafu, kwenye michezo, n.k. michezoni wanaume wamevunja rekodi nyingi,
Kuruhusu maharamia milioni 20 kuingia Marekani, Siku ya kwanza Biden kuingia ofisini alifuta sheria nyingi za Trump zilizozuia maharamia kuingia nchini, Matokeo yake mipaka ikawa wazi, magenge ya kihalifu yamesafirisha wanawake na watoto wengi sana kuwatumikisha kwenye biashara ya ngono, wahalifu kuanzia wauaji, wabakaji, majambazi, n.k. wanatoroka nchi zao kwenda Marekani, Uhalifu umezidi mno Marekani, magenge ya Venezuela yameanza kuchukua kimabavu apartments.
Kupunguza support kwa Israel mshrika mkuu wa Marekani, Kamala alionyesha dalili za wazi kuwavumilia waandamaji wa Hamas kwa kuwaruhusu kufunga barabara, kuweka kambi vyuoni, n.k. Netanyahu alihutubia bunge la Marekani bila ya uwepo wa Kamala na Biden licha ya wabunge wa Democrats kuhudhuria, Mipango ya Israel kuishambulia Iran ilivujishwa, n.k.
Kuruhusu watoto kubadili jinsia bila ridhaa ya wazazi, hii ilifanya wazazi kupoteza controll ya watoto wanaoshawishika kirahisi
Kufundisha watoto wadogo elimu ya viungo vya uzazi, ikiwemo sex, masturbation, n.k.
Kuruhusu wanawake kufanya late term abortion, kuharibu mimba iliyofikia miezi 9
Haya ni baadhi ya mambo waliyofanya Bidden na Haris kwenye awamu yao, Trump kashinda kwasababu kaapa anaenda kuyafuta na kuyarekebisha.
Mfumuko wa bei na maisha kuwa juu, vyuma vimekaza Marekani, watu wengi uchumi daraja la chini la kati waliofanya kazi 1 kukidho mahitaji yao lakini awamu hii wanafanya kazi 2, Wamarekani wengi hawakuwa tayari kumpa kura Harris kwasababu angefanya maisha yawe magumu zaidi kiuchumi, Vitu vya muhimu kama chakula, mafuta, umeme, Kodi za nyumba n.k vimepanda mno gharama, Ndio sababu ya wanawake wengi wanaoshinda nyumbani wakiwa na uhakika wa kupokea pesa za matunzo na pesa za malezi ya mtoto wamempigia kura Harris lakini wanaume na wanawake wengi wanaojitafutia pesa wamemchagua Trumo
Ongezeko la kodi na kuwatoza kodi wafanyakazi kwenye Tips na overtime, Kwa marekani ni utamaduni uliozoeleka ukiuhudumiwa na watu kama waiter unatoa tip, hii huwa inapigwa kodi, Overtime masaa ya ziada kazini yanapigwa kodi.
Kuruhusu wanaume kubadili jinsia na kuishi kwenye hostel za wanafunzi wa kike, kuoga nao kwenye mabafu, kwenye michezo, n.k. michezoni wanaume wamevunja rekodi nyingi,
Kuruhusu maharamia milioni 20 kuingia Marekani, Siku ya kwanza Biden kuingia ofisini alifuta sheria nyingi za Trump zilizozuia maharamia kuingia nchini, Matokeo yake mipaka ikawa wazi, magenge ya kihalifu yamesafirisha wanawake na watoto wengi sana kuwatumikisha kwenye biashara ya ngono, wahalifu kuanzia wauaji, wabakaji, majambazi, n.k. wanatoroka nchi zao kwenda Marekani, Uhalifu umezidi mno Marekani, magenge ya Venezuela yameanza kuchukua kimabavu apartments.
Kupunguza support kwa Israel mshrika mkuu wa Marekani, Kamala alionyesha dalili za wazi kuwavumilia waandamaji wa Hamas kwa kuwaruhusu kufunga barabara, kuweka kambi vyuoni, n.k. Netanyahu alihutubia bunge la Marekani bila ya uwepo wa Kamala na Biden licha ya wabunge wa Democrats kuhudhuria, Mipango ya Israel kuishambulia Iran ilivujishwa, n.k.
Kuruhusu watoto kubadili jinsia bila ridhaa ya wazazi, hii ilifanya wazazi kupoteza controll ya watoto wanaoshawishika kirahisi
Kufundisha watoto wadogo elimu ya viungo vya uzazi, ikiwemo sex, masturbation, n.k.
Kuruhusu wanawake kufanya late term abortion, kuharibu mimba iliyofikia miezi 9