Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
Uwazi wa mikataba kwa umma, ndipo kilio kilipo, tuingie mikataba safi, ya vipindi vifupi kadri iwezekanavyo, mamlaka zetu kama tra ziweze kufanya kazi yake kwa uhuru, gawio letu lisiwe chini ya 30% govt gain up!
Huku 70% ikitumika kulipia ujenzi na gharama za wabia, nathubutu kusema hakuna ubaya wowote, isipokuwa tutajiongezea mapato yetu kwa Trilion kadhaa!
N. B, viongozi wetu waache woga, wasonge mbele tuzidishe mapato yetu ya ndani hatimaye tuweze kujitegemea na kuwa stable country!
-Tuongeze mapato ya kiushuru kwa taifa ukizingatia Tanzania yetu walipa kodi ni wachache sana, na wanaolalama wengi wao si walipa kodi, bali kupiga tu kelele! / vyanzo hivi vya kodi vya lazima ndio njia nzuri zaidi ya kuongeza mapato!
Huku 70% ikitumika kulipia ujenzi na gharama za wabia, nathubutu kusema hakuna ubaya wowote, isipokuwa tutajiongezea mapato yetu kwa Trilion kadhaa!
N. B, viongozi wetu waache woga, wasonge mbele tuzidishe mapato yetu ya ndani hatimaye tuweze kujitegemea na kuwa stable country!
-Tuongeze mapato ya kiushuru kwa taifa ukizingatia Tanzania yetu walipa kodi ni wachache sana, na wanaolalama wengi wao si walipa kodi, bali kupiga tu kelele! / vyanzo hivi vya kodi vya lazima ndio njia nzuri zaidi ya kuongeza mapato!