Hakuna ubishi Majani ni G.O.A.T. Taja beats ambazo alizitendea haki kiuhakika

Eli Cohen

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2023
Posts
4,460
Reaction score
13,715
Mi nilikuwa nashangaa sana waliokuwa wanamcompare majani na Mj, Ujue beat nyingi za P ni classic hata ukizisikiliza leo, tofauti na yale madebe aliyokuwa anayapiga Master J
 
Master J hamna kitu kabisa. Yani kwa vile tulikuwa gizani ilifanya kila mtu ahisi kwamba master J ni balaa. Ukiskiliza album ya Wagosi wa kaya ndio utaelewa kwamba J alikuwa ni ndezi tu.
Mi nilikuwa nashangaa sana waliokuwa wanamcompare majani na Mj, Ujue beat nyingi za P ni classic hata ukizisikiliza leo, tofauti na yale madebe aliyokuwa anayapiga Master J
 
Master J hamna kitu kabisa. Yani kwa vile tulikuwa gizani ilifanya kila mtu ahisi kwamba master J ni balaa. Ukiskiliza album ya Wagosi wa kaya ndio utaelewa kwamba J alikuwa ni ndezi tu.
Kweli kabisa
Majani ali kuwa anapika bit, anamix , ana engineer sauti, na bado ililuwa inatoka ngoma kali, we fikiria majani kwa kipindi hiki wakati teknolojia ipo juu sijui ingekuwaaaje
 
Kweli kabisa
Majani ali kuwa anapika bit, anamix , ana engineer sauti, na bado ililuwa inatoka ngoma kali, we fikiria majani kwa kipindi hiki wakati teknolojia ipo juu sijui ingekuwaaaje
balaa zito yani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…