GadoTz
JF-Expert Member
- Nov 20, 2014
- 370
- 636
Mwaka huu 2016 ulikuwa mwaka wa wcb wasafi kwenye burudani hapa bongo. Wasafi ni kama bongofleva sasa imekuwa kama ya kwao jinsi wanavyoitawala wanavyotaka.
Angalia kila ngoma walioachia kwao imekuwa ni hit, wasanii wao wameitawala industry kila angle.
Kwetu - Rayvanny
Natafuta kick -Rayvanny
Bado - Harmonize
Matatizo - Harmonize
Ibaki story -Mavoko
Kokoro - Mavoko
Kidogo -Diamond
Salome -Diamond
Watora Mali
Inde
Waache waoane
Nini siri ya mafanikio kutoka kwenye hii timu?
Ubunifu
Juhudi
Kuthamini kazi yao
Nidhamu ya kazi
Uwekezaji mkubwa kwenye kazi yao
Usimamizi mzur au tuseme management makini inayojua vema industry ya muziki
Haya ni baadhi ya mambo yanayowafanya Wcb kuendelea kuwa juu siku baada ya siku na kuwa label ya mfano
Sasa hivi wanamiliki studio yao, wanaandaaa show zao wenyewe tena kubwa kubwa(mwakani voda imewapa mikoa 10 kufanya tour yao ya wasafi festival) , kila msanii wao ni brand, na ni wazi kila msanii sasa anaitazama wcb kama kioo.
Wanasema kuwachukia wasafi ni kujiongezea maumivu yasiyo ya lazima, mnafikiri wengine waige nini au wanakwama wapi ili kwenda sambamba na wcb?
Mnafikiri mwakani 2017 utakuwa vipi kwenye industry upande wa wcb na wasanii wengine?
Hizi ni baadhi ya nyuzi nilizoandika mwaka huu kuhusu wasafi
WCB na Wasafi Tour
Raymond ni msanii hodari na mwenye kipaji cha aina yake
Karibuni!
Angalia kila ngoma walioachia kwao imekuwa ni hit, wasanii wao wameitawala industry kila angle.
Kwetu - Rayvanny
Natafuta kick -Rayvanny
Bado - Harmonize
Matatizo - Harmonize
Ibaki story -Mavoko
Kokoro - Mavoko
Kidogo -Diamond
Salome -Diamond
Watora Mali
Inde
Waache waoane
Nini siri ya mafanikio kutoka kwenye hii timu?
Ubunifu
Juhudi
Kuthamini kazi yao
Nidhamu ya kazi
Uwekezaji mkubwa kwenye kazi yao
Usimamizi mzur au tuseme management makini inayojua vema industry ya muziki
Haya ni baadhi ya mambo yanayowafanya Wcb kuendelea kuwa juu siku baada ya siku na kuwa label ya mfano
Sasa hivi wanamiliki studio yao, wanaandaaa show zao wenyewe tena kubwa kubwa(mwakani voda imewapa mikoa 10 kufanya tour yao ya wasafi festival) , kila msanii wao ni brand, na ni wazi kila msanii sasa anaitazama wcb kama kioo.
Wanasema kuwachukia wasafi ni kujiongezea maumivu yasiyo ya lazima, mnafikiri wengine waige nini au wanakwama wapi ili kwenda sambamba na wcb?
Mnafikiri mwakani 2017 utakuwa vipi kwenye industry upande wa wcb na wasanii wengine?
Hizi ni baadhi ya nyuzi nilizoandika mwaka huu kuhusu wasafi
WCB na Wasafi Tour
Raymond ni msanii hodari na mwenye kipaji cha aina yake
Karibuni!