Pre GE2025 Hakuna ubishi tena baada ya press ya leo kuwa Mbowe ni CCM oyeee!

Pre GE2025 Hakuna ubishi tena baada ya press ya leo kuwa Mbowe ni CCM oyeee!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Kwa hii sinema amefanya leo Mbowe hakuna ubishi tena kuwa yeye ni CCM. Kule CHADEMA yupo tu kuchangamsha genge.

Hata kashkash anazopitia ni maigizo tu aonekane kumbe naye yumo.

Kapita mule mule hadi matamko ya msahama kwa ambao hawamkosoa. Umetoka kusema kuna ummoja ila kila Lissu akifanya kitu huyoo kuitisha press kuja kujiosha!

Pia soma: Kuelekea 2025 - Freeman Mbowe: Nitatoa uamuzi wa kugombea Uenyekiti siku ya Jumamosi saa 5 asubuhi

Eti akiona chama kinatumbikia hatovumilia ataingia mzigoni! Kwahiyo njia yake ndio sahihi, wengine wakuna mwenye uwezo? Huko nyuma ilikuwa fununu saivi tumepiga mstari, yupo CHADEMA kuhakikisha wanakuwa mazuzu milele, akitokea wa kumchallenge ni kumpiga vita hadi mwisho maana ndio itakuwa mwisho wa kuwafanya mazuzu. Tunaona hata humu nguvu inavyotumika kubwa kumpopoa Lissu, lakini safari hii Lissu kaamua kukiwasha😂😂

I said what I said, mje na mapovu ya maji ya kosho la tatu ambalo ni safi safi :KEKLaugh: :BearLaugh:
 
Kwa hii sinema amefanya leo Mbowe hakuna ubishi tena kuwa yeye ni CCM. Kule CHADEMA yupo tu kuchangamsha genge.

Hata kashkash anazopitia ni maigizo tu aonekane kumbe naye yumo.

Kapita mule mule hadi matamko ya msahama kwa ambao hawamkosoa. Umetoka kusema kuna ummoja ila kila Lissu akifanya kitu huyoo kuitisha press kuja kujiosha!

Eti akiona chama kinatumbikia hatovumilia ataingia mzigoni! Kwahiyo njia yake ndio sahihi, wengine wakuna mwenye uwezo? Huko nyuma ilikuwa fununu saivi tumepiga mstari, yupo CHADEMA kuhakikisha wanakuwa mazuzu milele, akitokea wa kumchallenge ni kumpiga vita hadi mwisho maana ndio itakuwa mwisho wa kuwafanya mazuzu. Tunaona hata humu nguvu inavyotumika kubwa kumpopoa Lissu, lakini safari hii Lissu kaamua kukiwasha😂😂

I said what I said, mje na mapovu ya maji ya kosho la tatu ambalo ni safi safi :KEKLaugh: :BearLaugh:

View: https://x.com/Mwanahalisitz/status/1869377470366916616?t=wTTSSwsN1XgNQtRj--H2QQ&s=19
 
Kwa hii sinema amefanya leo Mbowe hakuna ubishi tena kuwa yeye ni CCM. Kule CHADEMA yupo tu kuchangamsha genge.

Hata kashkash anazopitia ni maigizo tu aonekane kumbe naye yumo.

Kapita mule mule hadi matamko ya msahama kwa ambao hawamkosoa. Umetoka kusema kuna ummoja ila kila Lissu akifanya kitu huyoo kuitisha press kuja kujiosha!

Eti akiona chama kinatumbikia hatovumilia ataingia mzigoni! Kwahiyo njia yake ndio sahihi, wengine wakuna mwenye uwezo? Huko nyuma ilikuwa fununu saivi tumepiga mstari, yupo CHADEMA kuhakikisha wanakuwa mazuzu milele, akitokea wa kumchallenge ni kumpiga vita hadi mwisho maana ndio itakuwa mwisho wa kuwafanya mazuzu. Tunaona hata humu nguvu inavyotumika kubwa kumpopoa Lissu, lakini safari hii Lissu kaamua kukiwasha😂😂

I said what I said, mje na mapovu ya maji ya kosho la tatu ambalo ni safi safi :KEKLaugh: :BearLaugh:
kwahiyo Lisu atakua kapata mawenge na kapoteza uelekeo kabisa baada ya mkutano wa mbowe wa leo, right?

dah,
ila tamaa ni kitu mbaya zaidi aise, Lisu haamini kwamba kabla ya pasaka atakua mwanachama wa kawaida wa chadema,

yaan back bencher 🤣

ataweza kweli maisha bila press conference?🐒
 
kwahiyo Lisu atakua kapata mawenge na kapoteza uelekeo kabisa baada ya mkutano wa mbowe wa leo, right?

dah,
ila tamaa ni kitu mbaya zaidi aise, Lisu haamini kwamba kabla ya pasaka atakua mwanachama wa kawaida wa chadema,

yaan back bencher 🤣

ataweza kweli maisha bila press conference?🐒
Lissu kajua kuwavuruga this time, moja haikai mbili haisimami😂😂🤣
 
Aaah wapi, ndio kwanza jogoo amewika, mwendo wa kuwapelekea moto tu😎😎
imekua rahisi mno chadema kupata mgombea urasi makini ambae atatokana na miongoni mwa viongozi waandamizi watakapochaguliwa chadema 🐒

atakua anajuta mno muungwana, tamaa na mdomo mdomo wake na makelele ni kitu mbaya sana aise dah!
 
Kwa hii sinema amefanya leo Mbowe hakuna ubishi tena kuwa yeye ni CCM. Kule CHADEMA yupo tu kuchangamsha genge.

Hata kashkash anazopitia ni maigizo tu aonekane kumbe naye yumo.

Kapita mule mule hadi matamko ya msahama kwa ambao hawamkosoa. Umetoka kusema kuna ummoja ila kila Lissu akifanya kitu huyoo kuitisha press kuja kujiosha!

Eti akiona chama kinatumbikia hatovumilia ataingia mzigoni! Kwahiyo njia yake ndio sahihi, wengine wakuna mwenye uwezo? Huko nyuma ilikuwa fununu saivi tumepiga mstari, yupo CHADEMA kuhakikisha wanakuwa mazuzu milele, akitokea wa kumchallenge ni kumpiga vita hadi mwisho maana ndio itakuwa mwisho wa kuwafanya mazuzu. Tunaona hata humu nguvu inavyotumika kubwa kumpopoa Lissu, lakini safari hii Lissu kaamua kukiwasha😂😂

I said what I said, mje na mapovu ya maji ya kosho la tatu ambalo ni safi safi :KEKLaugh: :BearLaugh:
Lissu ni yeye aiii mwamba kavaa bulletproof kabisa
 
Back
Top Bottom